Wenzetu wanapo sherekea miaka 50 ya uhuru wao kisiasa,
sio vibaya nasi tukisherehekea miaka 50 kwa kutengeneza playlist
ya nyimbo bora zilizo vuma ndani ya miaka hii 50.
List yangu ni:-...
Wana jukwaa Diamond yupo zake Zanzibar kufanya show jambo la kusikitisha wazenji wamesusa ,show ya diamond imekuwa na watu wachache na mapengo kila mahala
Wazenji huu si uungwana hata kama...
Kila mtu kuna mchezo ambao aliupenda enzi za utoto, na kama hakucheza michezo utotoni basi wewe atakua na kasoro.
kiukweli mimi ukiacha mchezo wa kombolela mchecho mwingne nilioupenda ni huu:
Nataman kujua vipindi mbalimbali vya television za Tanzania vilivyobora kwa nyakat mbalimbali ili nikipta wasaa wa kukaa mbele ya tv nipate kuona madini ya maana
Nasema hili coz kuna baadhi ya...
Wakuu Natafuta wimbo wa OTTU JAZZ BAND_PANAPOTOKEA VITA. Ameimba Tx MOSHI. Wimbo unazungumzia Madhara ya vita huku zikitajwa baadhi ya nchi zilizokuwa na machafuko wakati huo Liberia na Somalia...
Kile kibao cha Despacito kilichoachiwa na Luis Fonsi,kimevuja record ya dunia kwa kuangaliwa na watu bilioni nne ndani ya miezi tisa,Diamond na wewe ufuate nyayo.Bilioni nne tena VEVO.
Wote hawa ni wachambuzi wa muziki wa dance hapa nchini, Adamu akiwa kitu cha City FM na Zomboko akiwa ITV na Redio one.
Sisi wapenzi wa dance naomba tupige kura nani zaidi? Mimi kura yangu...
WHY MEN ARE CALLED "GROOM”, AND THE WOMAN “THE BRIDE” ON WEDDING DAY?..
Why is the newly wedded man called groom and the woman called bride? A friend of mine got tired of his wife just about six...
Mwenye hii singeli... sijajua wimbo unaitwaje ila nausikia tu naipenda simba mshabiki wa damu au naipenda yanga shabiki wa damu, mwenye huu mzigo naomba anitumie, na kama ni nyimbo mbili tofaut...
Habar wakuu
Hii ni kwa wale wanaopenda kusikiliza mziki aina ya reggae
Ebu tupia ngoma yoyote ya reggae riddim ukiisikilozaga mwili unasisimka
Mm ni THRE IS A WAY by Tarrus riley
Tupia ngoma...
Poleni kwa majukumu wakuu, ninalo wazo, kupitia uzi huu na jukwaa hili wale wenye vipaji vya kuigiza na kutengeneza move yaani kutunga story tukutane hapa tuone tutashirikiana vipi, mimi nilikuwa...
Wakubwa Mimi ni miongoni mwa wapenzi wakubwa wa kucheck movies,ila movies ninazozipenda ni action,vita na zile za kutisha japo Mara nyingine huwa napenda pia tamthilia za kisiasa sna ujasusi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.