Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

0 Reactions
2 Replies
711 Views
Subscribe to Baby j TV to get more news and favourite videos just click then subscribe so as to stay updated Baby j TV
0 Reactions
0 Replies
588 Views
NEW BONGO MIX FOR FREE LISTENING You can also check out some new and Classic bongo music on this mix. The mix is NOT FOR SALE but for FREE LISTENING and will be showcased on bongo radio in the...
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Haha nimecheka kweli Hawa guys wanahitaji tuzo sijui ni wa sehem gani
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Wengi wamekuwa na mashaka kuwa Oliver Mtukudzi amefaliki Dunia lakini hizo zote zilikuwa ni hisia tu baada ya Mwana Muziki huyo mzaliwa wa Nchi ya Zimbabwe kukaa kimya kwa muda mlefu na huku...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wasalaam wana jf Haya ni mawazo yangu binafsi na pia ndo mtazamo wangu, pengine nisiwe sawa au nikawa sahihi kwa asilimia kazaa. Nimeanza kumfuatia Richard mda mrefu sana, nimekuwa nikifuatilia...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
They don't make them like this nowadays, Classic!!!. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habalini wana jamvi kuna nyimbo inaitwa malaika. Ameimba mwanamke na mwanaume anaitikia. Acha alio imba maliamu mukeba je ni msanii gani alio imba na pia naomben link ya iyo nyimboo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ngoma mpya ya kijana Ashley. Kijana kuvunja mbaya ndani ya dakika 3
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Habarini wakuu, Kuna huu wimbo wa kitambo kidogo miaka ya 2008 ndo nilikua nikiusikiaga, sasa nimeukumbuka sana nataka niu-download ila kila nikiuliza kwa namna tofauti google siupati. Nikaona...
0 Reactions
16 Replies
12K Views
Kwa wale wenzangu na mimi wapenda muzik, jaribu kutune 94.1 dira fm, ujilie uvipendavyo mkumbuke siipigii promo.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
The Odyssey ni episode film iliyotoka mwaka 1997; inayogusa maisha ya kifalme na safari ya mashujaa walioondoka nyumbani kwenda vitani. Wakiwa vitani walipambana kwa juhudi na akili na...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Kuna nyuzi nimesoma ya mbunge huko kenya, aliyewahi igiza kama rukia, basi nikakumbuka mchezo huu uliopendwa sana kipindi hicho. Uhaba wa Television uliwalazimu wengi kuangalia kwa majirani, kwa...
5 Reactions
40 Replies
14K Views
waungwana habari za siku tele, Ninaomba mwenye link ya download za family matters comedy, desmond, perfect strangers na wengine naomba, mimi ni mpenzi wa comedy. Siku njema.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jana nikiwa naangalia kipindi cha Friday night Live niliwaona young killer na Young D mmoja akionyesha ukomavu na utu uzima huku mwingine akiendelea kuishi kwenye ulimwengu uliopita. Nitakuwa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wanawake wazuri wazuri wameolewa yamebaki madung'a iembe yanahangaika....... Ni track ya zamani sana kibongo flava.. Naomba kwa yeyote mwenye nayo aipandishe hapa Asanten sana
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu! Kama kichwa cha habari kisemavyo, endapo msanii Diamond Platnums asingekuwapo basi bongo flava kimataifa isingevuka boda. Mpaka sasa kimataifa ni yeye ndio amekuwa kama nembo ya bongo...
8 Reactions
54 Replies
10K Views
Wakuu naomba kuuliza swali la fasta, nimesikia wimbo flani ukiimbwa kwa sauti ya aslay...KWELI NAWATONGOZAGAAA, WANANIKUBALIAGAA........... Naomba kujua ni wimbo gani huu tafadhali?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Huyu ndio msanii wangu bora wa kike kwa sasa,ana sauti nzuri,melody inanoga, na producer wake anatoa audio njema kabisa.Pambana dada muziki wako mtamu.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom