NEW BONGO MIX FOR FREE LISTENING
You can also check out some new and Classic bongo music on this mix. The mix is NOT FOR SALE but for FREE LISTENING and will be showcased on bongo radio in the...
Wengi wamekuwa na mashaka kuwa Oliver Mtukudzi amefaliki Dunia lakini hizo zote zilikuwa ni hisia tu baada ya Mwana Muziki huyo mzaliwa wa Nchi ya Zimbabwe kukaa kimya kwa muda mlefu na huku...
Wasalaam wana jf
Haya ni mawazo yangu binafsi na pia ndo mtazamo wangu, pengine nisiwe sawa au nikawa sahihi kwa asilimia kazaa.
Nimeanza kumfuatia Richard mda mrefu sana, nimekuwa nikifuatilia...
Habalini wana jamvi kuna nyimbo inaitwa malaika. Ameimba mwanamke na mwanaume anaitikia. Acha alio imba maliamu mukeba je ni msanii gani alio imba na pia naomben link ya iyo nyimboo
Habarini wakuu,
Kuna huu wimbo wa kitambo kidogo miaka ya 2008 ndo nilikua nikiusikiaga, sasa nimeukumbuka sana nataka niu-download ila kila nikiuliza kwa namna tofauti google siupati.
Nikaona...
The Odyssey ni episode film iliyotoka mwaka 1997; inayogusa maisha ya kifalme na safari ya mashujaa walioondoka nyumbani kwenda vitani. Wakiwa vitani walipambana kwa juhudi na akili na...
Kuna nyuzi nimesoma ya mbunge huko kenya, aliyewahi igiza kama rukia, basi nikakumbuka mchezo huu uliopendwa sana kipindi hicho.
Uhaba wa Television uliwalazimu wengi kuangalia kwa majirani, kwa...
waungwana habari za siku tele,
Ninaomba mwenye link ya download za family matters comedy, desmond, perfect strangers na wengine naomba, mimi ni mpenzi wa comedy.
Siku njema.
Jana nikiwa naangalia kipindi cha Friday night Live niliwaona young killer na Young D mmoja akionyesha ukomavu na utu uzima huku mwingine akiendelea kuishi kwenye ulimwengu uliopita.
Nitakuwa...
Wanawake wazuri wazuri wameolewa yamebaki madung'a iembe yanahangaika.......
Ni track ya zamani sana kibongo flava..
Naomba kwa yeyote mwenye nayo aipandishe hapa
Asanten sana
Habari zenu!
Kama kichwa cha habari kisemavyo, endapo msanii Diamond Platnums asingekuwapo basi bongo flava kimataifa isingevuka boda.
Mpaka sasa kimataifa ni yeye ndio amekuwa kama nembo ya bongo...
Wakuu naomba kuuliza swali la fasta, nimesikia wimbo flani ukiimbwa kwa sauti ya aslay...KWELI NAWATONGOZAGAAA, WANANIKUBALIAGAA...........
Naomba kujua ni wimbo gani huu tafadhali?
Huyu ndio msanii wangu bora wa kike kwa sasa,ana sauti nzuri,melody inanoga, na producer wake anatoa audio njema kabisa.Pambana dada muziki wako mtamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.