Kaa kimyaMi mzee magambo nayemfaham alikuwa anatengeneza makochi
Yap tupo wa kinondonino toka enzi ya lang'ata,tazara na vijana kabla Biafra hawajaiharibuNadhani mleta uzi ulitakiwa kuspecify kuwa huu uzi ni wa watu walioishi kinondoni enzi hizo unazosema, ingekuwa vizuri zaidi.....By the way ngoja wanaomjua mzee Magambo waje.
Pumba. Vuuu unahisi kila mtu amekulia mtaani kwenuAlikuwa maarufu sana watoto wengi nikiwemo na Mimi tulikuwa tukimuogopa,alikuwa akiuza Karanga kwenye Kikapu sambamba na kuimba alikuwa akivalia kiasili,,,nimegundu humu jf wengi ni watoto ama ni mangosha yamekuja mjini wamekula idi mbili tatu afu wanasumbua
[emoji1] [emoji1]Pumba. Vuuu unahisi kila mtu amekulia mtaani kwenu
Afadhali bro. umeongea point,hakuna mtu wa Dsm asiyemjua magambo watu wanajifanya kujua halafu kumbe ni wakuja tupu.Alikuwa maarufu sana watoto wengi nikiwemo na Mimi tulikuwa tukimuogopa,alikuwa akiuza Karanga kwenye Kikapu sambamba na kuimba alikuwa akivalia kiasili,,,nimegundu humu jf wengi ni watoto ama ni mangosha yamekuja mjini wamekula idi mbili tatu afu wanasumbua
we km mpaka leo hujajua kam kinondoni ndio Dsm sijui wa wapi? hivi jambo gani lifanyike kinondoni wana Dsm wasilijue.Nadhani mleta uzi ulitakiwa kuspecify kuwa huu uzi ni wa watu walioishi kinondoni enzi hizo unazosema, ingekuwa vizuri zaidi.....By the way ngoja wanaomjua mzee Magambo waje.
wengine walikuwa bado wananyonya halafu wanasingizia hbr za facebook.Mzee magambo alikuwa anauza karanga na kutoa burudani fupi, kibwagizo chake anakutisha na sura yake na yale mavazi yake duu. Utoto balaa eti tulikuwa tunamuogopa. Enzi zetu Kariakoo ya zamani.
Wewe ukadhani dsm wote tumekulia ushwazi..??? Kuna mtu hajawahi panda daladala hapa dsm..Alikuwa maarufu sana watoto wengi nikiwemo na Mimi tulikuwa tukimuogopa,alikuwa akiuza Karanga kwenye Kikapu sambamba na kuimba alikuwa akivalia kiasili,,,nimegundu humu jf wengi ni watoto ama ni mangosha yamekuja mjini wamekula idi mbili tatu afu wanasumbua