Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Mimi ni mmoja ya watu ambao tangu zamani nilikua sipend kabisa kuangalia muvi za kibongo. Kuna ndugu yangu mmoja alinishawishi kwa kuniletea cd kama kumi hivi ila baada ya kuziangalia nimeapa...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na mabishano kati ya sinza na Tabata ni wapi panabamba kwa starehe Kwa hapo awali wengi wanasema ilikuwa sinza lakini kwa sasa tabata imechukuwa nafasi...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Siku chache tangu Mwanadada Hoyce Temu anyakue taji la Miss Tanzania, mwaka 1999, Emmanuel Nkulila alitoa wimbo wa Tanzania Nzima Hakuna Mrembo kama Wewe. Stori zilizo zagaa...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Ohh, how about a round of applause Yeah, standing ovation Oooh ohh yeah, yeah yeah yeah yeah You look so dumb right now Standing outside my house Trying to apologize You're so ugly when you cry...
0 Reactions
6 Replies
857 Views
  • Redirect
Kutokana na kuripotiwa vibaya na baadhi yetu, kwa sababu moja au nyingine, tumekuwa tukiwarushia mvua ya madongo wadau wa Bongo movies walioandamana kupinga uwiano mbovu wa kibiashara kati ya...
0 Reactions
Replies
Views
Kipindi Bongo movie ipo katika ubora wake, Dar 2 Lagos ndio movie iliyonivutia haswa na kufanya nishawishike kuinunua na inabaki movie pekee ya kibongo kuinunua. Je wewe ni movie gani kutoka...
7 Reactions
65 Replies
17K Views
SABABU ZILIZONIFANYA NISIANGALIE BONGO MOVIE TENA!!. 1.Wachawi wanakamatwa na Mgambo. 2.Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu 3.Jini anavuka barabara anaangalia kulia na kushoto...
13 Reactions
22 Replies
3K Views
[Verse 1] Mujini Kipenzi, Silani Shilingi baby Kupendana zamani ndo wanavyosemaga Wazuri ni wengi, ila uongo mwingi baby Wakishaviona vya ndani basi wanakumwaga Ndo maana Ukichelewa dukani, mie...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
  • Redirect
Kama kawa my first and top TV show prison break sasa maandalizi Ya season 5 yameisha stay tuned bonge la season soon will be released Jamani nimeona kionjo chake but mpaka sasa sijajua ratiba za...
5 Reactions
Replies
Views
Hii nyimbo imeimbwa na kutengenezwa na wanafunzi wa UDOM College of Informatics and Virtual Education(CIVE)
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Redirect
. .. Aisee mimi n mpenzi sana wa hizi movies za mapanga na mafarasi.. nmeangalia Game of throne.. Spartacus.. Viking... NAOMBA Mwenye kujua series au movies nyingine za disain hii anisaidie
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wakuu ndio kwanza nimeanza kutizama aina hii ya movies, si mchezo nimenogewa lakini mpaka sasa nimetazama Nikita, Athena na prisonbreak naomba kwa wadau mnitajie series nyingine kali za kijasusi...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kama unafuatilia hizi series toa maoni yako hapa, kwangu ni very interesting , Sina muda na michezo ya kifilipino na kibongo.
3 Reactions
Replies
Views
Dj Khaled amezidi kuipa nguvu albamu yake mpya ‘Grateful’. Rapper huyo ameamua kuwaongeza mastaa wengine wawili, katika albamu hiyo, wakiwemo muimbaji Rihanna na Rapper Nas. Khaled amesema...
0 Reactions
0 Replies
726 Views
  • Redirect
Habarini, leo nimepanda daladala nikasikia nyimbo mbili za bendi fulani za zamani, nilikuwa dogo ila nilikuwa najitambua! Nimeusikia wimbo huu nimekumbuka mbali sana tabora, nimeshawishika...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nimekuwa mpenzi mkubwa sana wa Korean Historical Drama... Kwakweli huwa navutiwa sana nikiziangalia... Historical Drama ambazo nimefanikiwa kuzitazama mpaka sasa ni; Jumong Land of wind Emperor...
5 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Leo hii bongo muvi wanalalamika wamekosa soko na muvi za njee ndo zinaharibu soko lakini wamesahau kitu kimoja kinaitwa uwekezaji leo hii bongo fleva mtu anawekeza zaidi ya M 30 au 40 kwa video ya...
1 Reactions
Replies
Views
Msanii anaitwa Nkunda star nimetokea kuipenda hii nyimbo japo sijui kisukuma jamaa kajitahidi sio mbaya sana ila kama katukana mfyuuuu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Redirect
Msaada kwa wanaojua series za kikorea kali zaid nikimaanisha nzuri zaid ila na pendelea zziwe za mjini zisizo za action au history most na prefer za romance , fantasy, melody and comedy au...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom