Mimi ni mmoja ya watu ambao tangu zamani nilikua sipend kabisa kuangalia muvi za kibongo. Kuna ndugu yangu mmoja alinishawishi kwa kuniletea cd kama kumi hivi ila baada ya kuziangalia nimeapa...
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na mabishano kati ya sinza na Tabata ni wapi panabamba kwa starehe
Kwa hapo awali wengi wanasema ilikuwa sinza lakini kwa sasa tabata imechukuwa nafasi...
Siku chache tangu Mwanadada Hoyce Temu anyakue taji la Miss Tanzania, mwaka 1999, Emmanuel Nkulila alitoa wimbo wa Tanzania Nzima Hakuna Mrembo kama Wewe. Stori zilizo zagaa...
Ohh, how about a round of applause
Yeah, standing ovation
Oooh ohh yeah, yeah yeah yeah yeah
You look so dumb right now
Standing outside my house
Trying to apologize
You're so ugly when you cry...
Kutokana na kuripotiwa vibaya na baadhi yetu, kwa sababu moja au nyingine, tumekuwa tukiwarushia mvua ya madongo wadau wa Bongo movies walioandamana kupinga uwiano mbovu wa kibiashara kati ya...
Kipindi Bongo movie ipo katika ubora wake, Dar 2 Lagos ndio movie iliyonivutia haswa na kufanya nishawishike kuinunua na inabaki movie pekee ya kibongo kuinunua.
Je wewe ni movie gani kutoka...
SABABU ZILIZONIFANYA NISIANGALIE BONGO MOVIE TENA!!.
1.Wachawi wanakamatwa na Mgambo.
2.Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu
3.Jini anavuka barabara anaangalia kulia na kushoto...
[Verse 1]
Mujini Kipenzi, Silani Shilingi baby
Kupendana zamani ndo wanavyosemaga
Wazuri ni wengi, ila uongo mwingi baby
Wakishaviona vya ndani basi wanakumwaga
Ndo maana Ukichelewa dukani, mie...
Kama kawa my first and top TV show prison break sasa maandalizi Ya season 5 yameisha stay tuned bonge la season soon will be released
Jamani nimeona kionjo chake but mpaka sasa sijajua ratiba za...
. .. Aisee mimi n mpenzi sana wa hizi movies za mapanga na mafarasi.. nmeangalia Game of throne.. Spartacus.. Viking... NAOMBA Mwenye kujua series au movies nyingine za disain hii anisaidie
Wakuu ndio kwanza nimeanza kutizama aina hii ya movies, si mchezo nimenogewa lakini mpaka sasa nimetazama Nikita, Athena na prisonbreak naomba kwa wadau mnitajie series nyingine kali za kijasusi...
Dj Khaled amezidi kuipa nguvu albamu yake mpya ‘Grateful’.
Rapper huyo ameamua kuwaongeza mastaa wengine wawili, katika albamu hiyo, wakiwemo muimbaji Rihanna na Rapper Nas. Khaled amesema...
Habarini, leo nimepanda daladala nikasikia nyimbo mbili za bendi fulani za zamani, nilikuwa dogo ila nilikuwa najitambua! Nimeusikia wimbo huu nimekumbuka mbali sana tabora, nimeshawishika...
Nimekuwa mpenzi mkubwa sana wa Korean Historical Drama...
Kwakweli huwa navutiwa sana nikiziangalia...
Historical Drama ambazo nimefanikiwa kuzitazama mpaka sasa ni;
Jumong
Land of wind
Emperor...
Leo hii bongo muvi wanalalamika wamekosa soko na muvi za njee ndo zinaharibu soko lakini wamesahau kitu kimoja kinaitwa uwekezaji leo hii bongo fleva mtu anawekeza zaidi ya M 30 au 40 kwa video ya...
Msaada kwa wanaojua series za kikorea kali zaid nikimaanisha nzuri zaid ila na pendelea zziwe za mjini zisizo za action au history most na prefer za romance , fantasy, melody and comedy au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.