Habari wakuu,
Kuna filamu moja ya Tanzania ambayo ndani yake msanii JB ametumia jina la Erick Ford, kwa anayeifahamu jina anipatie tafadhali.
Natanguliza Shukrani.
Habari wa JF. Kwanza nawapongeza ITV Tanzania kwa kuweka wawakilishi wao nchi kadhaa za Afrika Mashariki. Kenya-Dennis Musundi, Rwanda-Bryceson Bichu, DRC-Austerie Marivika, siwakumbuki wa Burundi...
Habari, kwa yoyote mpenda movies aliepo Zanzibar hasa town hapa Na ana movies Na unahitaji nyingine kama Mimi,
Tunaweza wasiliana tuonane Na kubadilishana movies series Na mambo kama hayo.
Binafsi...
Wadau kwema??
Leo nikiwa nasafiri kutokea Morogoro kuja Dar, njiani kwenye Bus katika video tulizowekewa ni pamoja na ya Msanii anaitwa Ruby, wimbo ni Forever ule Original Version ukiacha remix...
Wakuu, nipo Dar sasa tokea mwezi wa nne mwaka huu. Pamoja na kuwa niliisha ulizia pahala bendi hiyo inapopatikana pindi nikifika Dar lakini sasa nimesahau hivo pamoja na kuulizia lakini maelekezo...
Part 1( Corner stoner)
Huwa inakuwa kawaida ya vijana wengi kwenye kitaa chetu kukutana na kujadili mambo mawili matatu.
Katika hiki kijiwe cha kona nitakuwa ninawaletea stori zilizotokea hii...
Pande za USA msanii nguli wa HIP HOP ametoa povu lake kumdiss Rais wake Donald Trump, katika BET HIP HOP AWARDS FREESTYLE , katika kuonyesha jinsi gani asivyomkubali Trump Eminem alitoa mistari...
Mambo vp wapenzi wa burudani...
Kuna hii ngoma ya huyu mtu TASH, ana ngoma fulani inaitwa NAZINGUA sijui CHAPIA (kama sikosei).. Ni ya kitambo kidogo, anaimba kwa kurap-rap hivi.. So naikubali...
Habari zenu wakuu,poleni na majukumu.naomba mwenye kuzifahamu ngoma Kali za sweet reggae aniwekee nizitafute au aniwekee link kwa kudownload.natanguliza shukrani.
Jana nimesikia track ya mchizi Chindo unayoelezea story za mwana wa ndichi ila nimejaribu kuitafuta lkn mwisho wa siku dolo.Plz mwenye nayo ani Pm au aweke link niiendee kwa ju.Amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.