Miaka hiyo mpambano wa Kanda Bongoman na Bozi Boziana.... ilikuwa Ni vita ya Tatu ya Dunia kwa Africa

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
sisi ambao tumekuwepo miaka ya nyuma mika ile muzik wa zaile umetapakaa nchi na kwa ujumla bara zima la africa nadhan mnakumbuka kulivyokuwa na mpambano wa kukata na shoka kat ya kanda bongoman na bozi boziana.

bongomani alikuwa ndiye mfalme wa kwasakwasa nakumbuka alivyofanya balaa kenya mpaka arap moi kufikia hatu kumpiga marufuku na kumpa masaaa 24 aondoke. ilikuwa ni pata shika nguo kuchanika katika uwanja wa nyayo. watu walikufa kwa kukanyagana. ilikuwa ikipiga Isambe watu wanaungua makalio. hawakai kabia kwenye viti. wanainuka kwanza wasubiri viti vipoe basi ukiisha wimbo kabla hawajarudi kukaa inapigwa inde monie..hapo tena wanasimama..

ilikuwa ni mateso sana kwenye kumbi,majumbani,sehemu mbali mbali za starehe. huyu ndo alikuwa kanda bongo man mfalme wa kwasakwasa.

alikuwepo pia mtu mzima bozi boziana huyu yeye alikuwa na nzawisa miaka ile tunaimba "mayai ya kuku ya bata twayala,ukitaka kufaidi nunua na soda.... mtoto aki... mnawishe... ilikuwa ni issue hapa mjini.

ukienda radio one mchana unasikia nani zaidi akipambanishwa kanda na bozi na mara nyingi kanda alikuwa akiibuka mshindi. ila bozi boziana alibaki kuwa na heshima. nilisikitika tu kwenye mwaliko mmoja alikuja dar akapiga badaye akachoka sana mpaka kwenda kupiga ukumbi flan tabata unaitwa MADISON SQUARE IN ile barabara ya camp...

tumetoka mbali sana vijana tuheshimiane. nyie endelee kuwa na team zenu. sisi muziki tumecheza na kusikiliza miaka ile. wapigaji magita wakiwepo akina nene tachakou,diblo dibala, dally kimoko, salahdeen, djuna mumbafu, ngouma lokito....n.k

DWQDW.jpg
DAFAS.jpg
SAD.jpg
sda.jpg
 
images


muchana....
hapo upo kwenye bus safari masaa sita ambayo leo ni masaa mawili/Matatu.
ni bongoman,ghatto, yondo sister,boziboziana wenzake watakaoifanya safari ndefu kuwa fupi.
 
Acha kabisa mfalme wa kwasakwasa Kanda Bongo Man. Na zile kofia zake afu suruali tumboni anateleza tu dah hahaha apa nasikiliza ISAMBE ikitoka INDEMONIE halafu YOLANDE nashusha BILI Naweka MUCHANA Kisha Naweka YEZU KRISTU hahaha utavunja kiuno shikamoo Kanda Bongo Man
 
Miaka hiyo hawakuwa hawa pekee na nachelea kusema kwamba Bozi Boziana hakuwa maarufu kihiivyo....

Waliokimbiza sana kipindi hicho walikuwa hawa hapa...

Pepe Kalle
Kanda Bongoman
Aurlus Mabele
Geo Bilongo
Yondo Sister
Shimita
Wenge Musica BCBG
Luciana Demingongo (L'e Neuvielle Generetion band "Zipompapompa")
Lutchana Mobulu
Zaiko Langalanga
Jean Baron

Na wengine...
 
Wakuu kuna wimbo nautafuta sana aliemba simfaham, hata album siifaham nakumbuka maneno machache

Mume wangu nimulevi....anakunywa pombe

Mume wangu nimukevi....analewa pombe

Kambelembele maamax2, Kambelembele maamax2


Please naomba msaada anayemjuwa muimbaji
 
Miaka hiyo hawakuwa hawa pekee na nachelea kusema kwamba Bozi Boziana hakuwa maarufu kihiivyo....

Waliokimbiza sana kipindi hicho walikuwa hawa hapa...

Pepe Kalle
Kanda Bongoman
Aurlus Mabele
Geo Bilongo
Yondo Sister
Shimita
Wenge Musica BCBG
Luciana Demingongo (L'e Neuvielle Generetion band "Zipompapompa")
Lutchana Mobulu
Zaiko Langalanga
Jean Baron

Na wengine...
Ongeza na vijana
George Bilongo,
Jarry's Fimbo,
Lucien Bokilo,
Dindo Yogo,
Alain Kounkou
 
sisi ambao tumekuwepo miaka ya nyuma mika ile muzik wa zaile umetapakaa nchi na kwa ujumla bara zima la africa nadhan mnakumbuka kulivyokuwa na mpambano wa kukata na shoka kat ya kanda bongoman na bozi boziana.

bongomani alikuwa ndiye mfalme wa kwasakwasa nakumbuka alivyofanya balaa kenya mpaka arap moi kufikia hatu kumpiga marufuku na kumpa masaaa 24 aondoke. ilikuwa ni pata shika nguo kuchanika katika uwanja wa nyayo. watu walikufa kwa kukanyagana. ilikuwa ikipiga Isambe watu wanaungua makalio. hawakai kabia kwenye viti. wanainuka kwanza wasubiri viti vipoe basi ukiisha wimbo kabla hawajarudi kukaa inapigwa inde monie..hapo tena wanasimama..

ilikuwa ni mateso sana kwenye kumbi,majumbani,sehemu mbali mbali za starehe. huyu ndo alikuwa kanda bongo man mfalme wa kwasakwasa.

alikuwepo pia mtu mzima bozi boziana huyu yeye alikuwa na nzawisa miaka ile tunaimba "mayai ya kuku ya bata twayala,ukitaka kufaidi nunua na soda.... mtoto aki... mnawishe... ilikuwa ni issue hapa mjini.

ukienda radio one mchana unasikia nani zaidi akipambanishwa kanda na bozi na mara nyingi kanda alikuwa akiibuka mshindi. ila bozi boziana alibaki kuwa na heshima. nilisikitika tu kwenye mwaliko mmoja alikuja dar akapiga badaye akachoka sana mpaka kwenda kupiga ukumbi flan tabata unaitwa MADISON SQUARE IN ile barabara ya camp...

tumetoka mbali sana vijana tuheshimiane. nyie endelee kuwa na team zenu. sisi muziki tumecheza na kusikiliza miaka ile. wapigaji magita wakiwepo akina nene tachakou,diblo dibala, dally kimoko, salahdeen, djuna mumbafu, ngouma lokito....n.k

View attachment 588935 View attachment 588937 View attachment 588938 View attachment 588939
Hapo kwenye Red sisi tulikuwa tunaimba:-
Nyama ya bata nakula.... Nyama ya bata nakula,....... Nasukumizia na soda na Mavi ya swala yeyoooo.
Mama mnawishe mwanao kanyanya, mnawishe mwanao kanyanya na chupi mvalishe yeyooo!!!!
Mnawishe na chupi mvalishe
 
Acha kabisa mfalme wa kwasakwasa Kanda Bongo Man. Na zile kofia zake afu suruali tumboni anateleza tu dah hahaha apa nasikiliza ISAMBE ikitoka INDEMONIE halafu YOLANDE nashusha BILI Naweka MUCHANA Kisha Naweka YEZU KRISTU hahaha utavunja kiuno shikamoo Kanda Bongo Man
Mfalme wa kwasakwasa ni Pepe Kale "Empire Bakuba" mkuu, sikiliza hii kitu inatwa "Poun Moun Paka Bouge" ndio utajua zaidi.
 
Miaka hiyo hawakuwa hawa pekee na nachelea kusema kwamba Bozi Boziana hakuwa maarufu kihiivyo....

Waliokimbiza sana kipindi hicho walikuwa hawa hapa...

Pepe Kalle
Kanda Bongoman
Aurlus Mabele
Geo Bilongo
Yondo Sister
Shimita
Wenge Musica BCBG
Luciana Demingongo (L'e Neuvielle Generetion band "Zipompapompa")
Lutchana Mobulu
Zaiko Langalanga
Jean Baron

Na wengine...
ha ha ha ha ha nimemkumbuka SHIMITA sana da miaka imeenda
 
Wakuu kuna wimbo nautafuta sana aliemba simfaham, hata album siifaham nakumbuka maneno machache

Mume wangu nimulevi....anakunywa pombe

Mume wangu nimukevi....analewa pombe

Kambelembele maamax2, Kambelembele maamax2


Please naomba msaada anayemjuwa muimbaji
Asee nikukumbuka jina nitakwambia sauti niifahamu kabisaaa
 
Back
Top Bottom