Mvua zilizonyesha kuanzia majuzi zimezua mambo mengi ndani ya jiji la dar ikiwemo wananchi kukosa makazi na hii ni kutokana na nyumba zao kusombwa na mafuriko. Pia mvua hizo zimesababisha...
Siku zote nimekuwa nikidownloa moves/ series kwa kutumia uttorents. But kwa wiki mbili sasa kila nikijaribu kudownloa wananiletea link flan hivi ili nilipie. Je kuna mabadiliko yeyote wameyafanya...
Wadau mm ni mshabiki sana wa movie za series na miongoni mwao ni hii ya traveller na the event zimeishia wapi?zote zimekomea season 1 .Ambae anaweza kuinsaidia kupata muendelezo series hizo...
Walio wengi wa wasichana wanakibilia peny kipato na kuwaacha wapendwa wao wakiyalaan mapenz. Na wao kwa bahat mbaya walioweng hawafanikiw kilichowapelek kule tatzo nini? Kufunguka ruksa ila xo mapovu
Jean de Dieu Makiese a.k.a. Madiluu alizaliwa May 28, 1952 katika jiji la Léopoldville ambayo ndio Kinshasa ya leo na kufariki dunia siku kama ya leo yani August 11, 2007.Madilu alianza kuimba...
So who was/is your favorite artist and which album could you not live without? Do you think the Marsalis have been good or bad for jazz?
Having just rediscovered a Miles Davis recording of "So...
Mambo vipi wakuu...
Nina request moja kwenu,Mimi ni muumini mkubwa sana wa jogging kipindi cha asubuhi na ili inoge huwa napenda kusikiliza nyimbo kali zinazonifanya nisichoke kwa haraka
Ombi lenu...
Aman iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa hapo juu.
Yule mnyama mtoto wa mama richad ajulikanaye kama mavoko leo ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la RUDI ambayo kamshilikisha...
Mwaka 1990, ni moja kati ya mwaka uliokuwa na mahangaiko mengi kisiasa na kiuchumi pia. Leo nimeona nijuze katika historia kwa mwanamasumbwi gwiji duniani wa uzito wa juu kulambishwa sakafu ya...
Pepe kalle alikuwa mkongo lkn ana moyo wa kizalendo na mapenzi makubwa kwa Tanzaniania kuliko watanzania wenyewe.kwa nyimbo zake kama Yanga Afrika, na Hidaya hakika alituthamini watanzania kuliko...
Muziki wa bongofleva umefanya mapinduzi sana kuanzia mwanzoni mwa miaka 2000 mpaka sasa, zifuatazo ndizo nyimbo bora za bongofleva zenye ujumbe ambazo hupaswi kuacha kuzisikiliza...
1...
Habari!
Kwa wale waliojaaliwa kuwa na king'amuzi cha dstv, kuna channel no 136 huwa kuna vipindi vya jamaa wanafanya miujiza nk! Mmoja anaitwa the carbonaro effect na Dynamo magics! Hivi kwa watu...
Hakuna ubishi kwamba huu muziki ndiyo unaosumbua zaidi kwa sasa duniani!! Chart mbali mbali duniani zimekuwa zikimezwa na huu muziki, Kuanzia Billboard, Uk top 40 na nyinginezo!
Imefika wakati...
Habari wana jf, nina mpango wa kufungu kitu kinachoitwa Library ( yaani kwa ajili ya kuuza filamu ) sasa nilikuwa nina ombi moja kwenu wakuu wangu mnisaidie list za muvi kali iwe ni sirizi au hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.