SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI
CHANZO : BURE SERIES
SEHEMU YA KWANZA
Glorious Worship Event (GWE) lilikuwa moja ya matamasha ya kusifu na kuabudu yaliyokuwa...
Huyu bwana mdogo anajiona anajua sana hip hip,yaani anajiona kama vile kazaliwa new york.anatakiwa ajue hip hop ni utamaduni wa waafrika waliopelekwa america kipindi cha slave trade,so katika...
Leo kwa Mara kwanza nimepata fursa ya kuangalia Tamthilia ya "Huba" Kwa Kell wanajitahidi sana na wanastahili pongezi!
Lakini kuna jambo moja wanatakiwa mbele ya safari walirekebishe. Kuna...
Umofia
Haya ni baadhi ya Matamasha nayotamani sana kuja kwenda yashuhudia Tanzania. Na hizi ni long term goals za miaka 3 ijayo nilizojiwekea lazimma nije hudhuria matamasha yake:
Zanzibar...
Achananeni na vipaji nendeni mkasomee kazi yenu. Kipaji kitakufanya upatie kidogo na kukosea sana kwenye kazi.
Tamthilia za waphilipino na wahindi kwenye luninga zetu zinatofautisha vipaji vyenu...
Kama uliwahi kucheza mziki kwa kuigiza wanavocheza kwenye TV halafu ukaenda kucheza mbele ya kioo, njoo tufanye mazoezi ya huu wimbo. Halafu jumamosi tukutane beach party kuoneshana maufundi...
Kwanza nitoe rai kwa Basata na TCRA hii video ndani ya wiki isionekane hewani ni kinyume kabisa na maadili ya mtanzania
Na pia video zote kutoka nje zisizo na maadili ya nchi yetu zipigwe...
Baada ya kipindi kirefu watu wakilalamika kua instagram inaongoza kwa kunyonya mb nyingi hivyo vifurushi kuisha mapema, sasa vodacom wameamua instagram iwe free kama facebook
Utaipata huduma ya...
Kwa wale wapenzi Wa kuangalia movie!!! binafsi Mi ni mpenzi sana Wa kuangalia movies na nishaangalia nyingi sana ila bado cjakutana na movie Kali kuliko series za bourne ,ukianzia identity yenyewe...
.
Na Sangu joseph
.
Kwanza nianze kukupongeza Msanii Diamond platinumz kwa juhudi unazozifanya hasa kwenye Sanaa yetu ya Muziki nchini maana burudani peeke iliyobakia kuiwakilisha nchi yetu...
Episode 1 "Ogygia"
T-Bag anaachiliwa toka kifungoni na anapata picha inayo muonesha Michael yuko katika jela mpya nyingine.
T-Bag anaiyonyesha picha kwa Lincoln,ambaye anagundua neno la siri...
Uyu jamAa huenda akawa ana tumia ndumba maana haiwezekani jamaa tangu tulipo anza sema atapotea soon lkn wapi stl jamaa yuko na anaongoza kwa Ku hut
Ona kina darasa, man fongo, alikiba, Mr blue...
Asante daimond kwa nyimbo hii kali sana..acha waendelee kubana mapimbi wale.
but hii age restricted iondoeni kwenye youtube siyo nzuri.
naona hii beat kijana Laizer hajausika hapa tafadhali sana...
Hey guys ,,naomba mnitajie nyimbo nzuri zenye kuleta hisia ,,yaan unausikiliza wimbo mpaka unajisikia vizuri ,,,ziwe za kizungu,kiarabu,kiswahili,,mnaweza rusha hapa au unaweza taja jina la nyimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.