Ipo humu jf, ni wewe kufukua tu.Hongera sana mkuu kwa kuwa na ARCHIVE nzuri
Asante sana!
Alijuta sana alipozeeka. Ngozi inajikunja ikawa kwama mlemavu. Mungu huwa hasemi uongo......Pamoja na umaarufu kwenye maisha yake yote,
Bado ckumkubali na wala ctamkubali kwa kitendo Chake cha kuukana uhalisia wake na kujibadilisha kuwa mzungu
(Mungu amsamehe)
Maiko alikuwa na ugonjwa huu vitiligo universalis ambao humfanya mtu kuwa na skin lashes kama ameungua motoPamoja na umaarufu kwenye maisha yake yote,
Bado ckumkubali na wala ctamkubali kwa kitendo Chake cha kuukana uhalisia wake na kujibadilisha kuwa mzungu
(Mungu amsamehe)
Alizid kua mmbaya wakati ana ngozi nzuri ruPamoja na umaarufu kwenye maisha yake yote,
Bado ckumkubali na wala ctamkubali kwa kitendo Chake cha kuukana uhalisia wake na kujibadilisha kuwa mzungu
(Mungu amsamehe)
Aliye kuambia ameukataa nani pekua pekua kisa chake utamjua vzurPamoja na umaarufu kwenye maisha yake yote,
Bado ckumkubali na wala ctamkubali kwa kitendo Chake cha kuukana uhalisia wake na kujibadilisha kuwa mzungu
(Mungu amsamehe)
nimesoma darasa moja Na Michael Jackson, hiyo nafasi ya kuonana na Rais aipate wapi? Yupo Kijitonyama hadi Leo anaishi kwa wazazi wakeWakuu mwenye na picha hizo azitungike humu. Itapendeza sana.....
Inanikumbusha mbali sana.....
Alishasema habadiri ngozi kwajiri ya kuuchukia wala kuukana uafrikaPamoja na umaarufu kwenye maisha yake yote,
Bado ckumkubali na wala ctamkubali kwa kitendo Chake cha kuukana uhalisia wake na kujibadilisha kuwa mzungu
(Mungu amsamehe)