Huyu jamaa amejiwekea desturi sikuhizi kutoa nyimbo baada ya karne nzima,utadhani hana mashabiki ukimilinganisha na mpinzani wake, anajitahidi kutoa nyimbo na aim yake kubwa ni kutoa nyimbo ambayo...
Naona hawa kwese sports wame dominate sehemu kubwa ya vipindi.. Hata game za EPL jumamosi wanachukua feed kwa hawa jamaa..au Kuna uhusiano wa TV 1 na hawa jamaa?
Kwa wale wote ambaye ni wapenzi na wafuatiliaji wa tamthiliya ya siri za familia tukutane apa tujuzane na tujadili yanayojiri kwa pamoja
Karibuni sanaa
Baada ya kilio chanu cha muda mrefu nilichokisikia huku JF kuhusu watu kukataa kuangalia Bongo Movie nimeona niulize Swali hili:
Jamani watanzania wenzetu kwanini hamuangalii bongo movies...
Wasalaam wakuu,kuna wimbo nineusikia mahali fulani na baadhi ya mashairi yake ndio haya
Wimbo ni wa gospel
....
Mimi ninae rafiki,
Pendo lake la ajabu kwangu
Alikubali mauti,ili anipate mimi
Kwake...
Mabibi na Mabwana Nawakaribisha Kusikiliza Audio Mpya ya Kwake Diamond Platnumz Ft. Omarion , Wimbo Unaitwa "African Beauty"
DOWNLOAD HAPA ILI KUSIKILIZA AUDIO : Diamond Platnumz Ft. Omarion -...
Mabibi na Mabwana nawakaribisha kutaza Video Mpya ya Kwake Diamond Platnumz Ft. Omarion , Wimbo Unaitwa "African Beauty"
BONYEZA HAPA LINKI HI VIDEO : Diamond Platnumz Ft. Omarion - African...
Pipo, msaada wajameni! juzi nikiwa nasikiliza ka-radio kangu, mara nikasikia wimbo fulani amazing na wataratibu, Rnb fulani ya kibongo. siyo mzuri wa kukariri mashairi lakini nakumbuka kiitikio...
Habari zenu wadau wa tasnia ya mziki wetu wa Bongo flavor. Huu ni uzi maalumu kwa ajili kutupia Bongo flavor za kitambo ili Kukumbushana enzi zetu.
Unachotakiwa zama kwenye music store yako weka...
wapenzi wa Biggie. embu tuambiane ni nyimbo gani unaipenda yake?
Mi binafsi silali bila kusikiliza "Juicy"
[Verse Two:]
I made the change from a common thief
To up close and personal with...
Habari wana JF.... leo nataka kuanza kuwaletea simulizi kali na yenye mafunzo ndani yake. Simulizi hii ni ya ukweli kama ilivosimuliwa na mtunzi wa simulizi hii ndugu Rashid Karume ambae kwa sasa...
Hivi karibuni nimejaribu kufikiria nikaona kumekua na upungufu wa ma sponsor kwenye masuala ya entertainment haswa muziki hivi nini inaweza kuwa sababu.
Je wameona mziki haulipi au ni nini?
In my life I have always been an achiever . Always a good getter. I flourished at becoming good at all I did. Always good enough . A perfect son. A lastborn son. I got certificates for them. I got...
Mwezi juni mwaka jana, mfalme wa msituni, alitangaza mtandaoni kuachia album yake aliyoiita 7 jours de la semaine (siku saba za wiki au wiki nzima),.
Jina.
Jina la album hii likimaanisha wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.