Hunishindi.Good girl hii nyimbo naipenda sana..
Its not easy(mama).Marekebisho kidogo mkuu, hayo maneno yapo kwenye wimbo wa its not easy
Na nimoja kati ya wimbo alioimba kwa hisia kali hata akiwa jukwaan anavaa uhusika yote aliyo onywa na mama yake talikuja kumtokea hadi akamkumbuka mama na ndio unaweza kuita "Its not essay" au mama.Lucky dube - it's not easy
Verse ya mwisho kabisa anatoa hayo maneno kwa uchungu huku anasikitika.