Kanye2016
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 3,019
- 3,201
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu Kwa mara nyingine tena yule mwanadada mwenye sauti nyororo na ya kuvutia ameachia Jisong lake jipya linaloenda kwa jina la Haachi.
Kwa harakaharaka tu toka Rarua itoke ambayo ilikuwa ni moja ya Hit song ambayo ilikaa kwenye chati kwa miezi kadhaa, wapenzi wa muziki pamoja na mashabiki wake wengi walikua na hamu ya kusikia atakuja na kichupa gani kingine. Kama kawaida yake hajawahi kutuangusha hii nyimbo Mpya imesimama sana na nampongeza sana kwa kazi anayofanya.