Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,733
- 4,050
Baada ya watu kusema nyimbo za diamond anazoproduce laizer zinakua na ubora mdogo kulingana na level yake naona kaamua kubadirisha producer kwenye African beauty ft omarion!!
Diamond sasa hao ndio producers wa level yako huyo laizer inataikiwa awe kama msaidizi tu, huu wimbo unasaund vizuri na unaquality nzuri, mixing na mastering nzuri safi
Diamond sasa hao ndio producers wa level yako huyo laizer inataikiwa awe kama msaidizi tu, huu wimbo unasaund vizuri na unaquality nzuri, mixing na mastering nzuri safi