Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mwanamuziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amekutana uso kwa uso na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo harrison Mwakyembe na Naibu Waziri Juliana Shonza kwenye kikao walichoka kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
HABARI ZA JIONI LEO TUNA MOVI MPYA TENA YA KICHAWI NA YA KUTISHA "Kundi la vijana ambao wanaenda katika msitu mmoja kwa nia ya kushoot movie yao wanakumbana na matukio ya kuogopesha kwa kuwa...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Wakuu embu nijuzeni maradona ni shoga. Kuna clip nimeona huko Inst kwenye account ya nurs_et.. jamaa flani maarufu wa kuchoma choma nyama huko kwa nchi ya trump alimaarufu #saltbae. Maradona...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wakuu!!! Mbunge wa Mikumi na msanii mkongwe Professor Jay kaachia ngoma mpya inayoitwa "Pagamisa" ikiwa na maana pambana/endelea kupambana. Kwa kifupi ngoma ni Kali na hizi ni baadhi ya...
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Hizi ni baadhi nyimbo bora kabisa kuwahi kuimbwa na wasanii kutoka marekani 1. The chainsmokers ft codplay - Something just like this 2.Ed Sheeran - Castle on the Hill 3.kygo&Selena Gomez -...
4 Reactions
18 Replies
9K Views
Balaa jingine kutoka Tandale, Dar es salaam, Tanzania African Beauty_diamond Platnumz ft Omarion (swahili verse by Omarion imetuliaaaa....)
2 Reactions
57 Replies
15K Views
Mwenyekiti wa CCM James amewaambia Basata na Wizara ya Utamaduni na michezo iwe inaelimisha wasanii badala ya kuwafungia miziki yao
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jaman nataka kujua kwaito Fulani hiv inapigwa kila sherehe yan.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu mwenye na picha hizo azitungike humu. Itapendeza sana..... Inanikumbusha mbali sana.....
0 Reactions
16 Replies
10K Views
K.K.K by Roma ft Nicolazo Verse1:Roma Wameweka mpira kwapani tayari nishawanawa Ka napiga halafu nafinya namficha shinji kagawa Suka weka kushoto maninja wakachimbe dawa Nina ngunga kama...
0 Reactions
32 Replies
17K Views
Mbona anamchezea hivi na kumgeukia Drake aisee!!!
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar wana jamvi Kwanza niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.Nchi hii naona ina promote ushoga kupitia tamthiliya zake kama THE PROMISE,kuna jamaa anaitwa Takong linavaa nguo za...
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Maiko Zulu is a Zambian musician, human rights activist and a recognized International labour organisation child ambassador to Zambia. His work both in the music industry and human rights arena is...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, hawa vijana ni hazina ya Taifa, hivi mshawahi kuwasilikiliza na michano yao ya hatari? Mimi binafsi nawafananisha na MaMc walipita kama Kwanza Unit (Kwanzania), Imam Abas, Traveller mtoto...
1 Reactions
34 Replies
15K Views
Haya ni maneno ninayokumbuka sana kwenye nyimbo yake ya MAMA.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI CHANZO : BURE SERIES SEHEMU YA KWANZA Msichana mrembo mwenye asili ya Kihindi, Nahra Patel alikuwa akilia huku akikimbia kwa kasi...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
kuna muvi zifuatazo nataman kuzipata hapa mwanza mtu anaefahamu maduka yanayouza muvi hizi hapo mjini anielekeze tafadhal... (1)jigsaw (2)final destination...
0 Reactions
1 Replies
606 Views
Huyu mama Mbilia Bell staili yake ya uimbaji, sauti, mwonekano wake (sura na shepu), huwa ananiacha hoi kweli. Hasa vibao vyake vya Boyaye, Nadina, Nakeyi Nairobi na Ekoswai wapi huwa navihusudu...
5 Reactions
44 Replies
8K Views
Habari wakuu[emoji113] Naomba mwenye nyimbo za David Dengo ziitwazo umejawa na rehema na Who is greater than jehova Anitumie Pia naomba nyimbo ya kinondoni revival choir iitwayo Maombi ya Yabesi...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Assalam alaykum watanzania wenzangu Nimekuwa mfuatiliaji wa muziki. Kwangu muziki una thamani yake ya kipekee. Kwani naelewa wazi kuwa una nguvu kubwa sana katika kufikisha ujumbe. Ikiwa una...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom