Mwanamuziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amekutana uso kwa uso na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo harrison Mwakyembe na Naibu Waziri Juliana Shonza kwenye kikao walichoka kwa...
HABARI ZA JIONI
LEO TUNA MOVI MPYA TENA YA KICHAWI NA YA KUTISHA "Kundi la vijana ambao wanaenda katika msitu mmoja kwa nia ya kushoot movie yao wanakumbana na matukio ya kuogopesha kwa kuwa...
Wakuu embu nijuzeni maradona ni shoga. Kuna clip nimeona huko Inst kwenye account ya nurs_et.. jamaa flani maarufu wa kuchoma choma nyama huko kwa nchi ya trump alimaarufu #saltbae. Maradona...
Habarini wakuu!!!
Mbunge wa Mikumi na msanii mkongwe Professor Jay kaachia ngoma mpya inayoitwa "Pagamisa" ikiwa na maana pambana/endelea kupambana. Kwa kifupi ngoma ni Kali na hizi ni baadhi ya...
Hizi ni baadhi nyimbo bora kabisa kuwahi kuimbwa na wasanii kutoka marekani
1. The chainsmokers ft codplay - Something just like this
2.Ed Sheeran - Castle on the Hill
3.kygo&Selena Gomez -...
K.K.K by Roma ft Nicolazo Verse1:Roma
Wameweka mpira kwapani
tayari nishawanawa
Ka napiga halafu nafinya
namficha shinji kagawa
Suka weka kushoto maninja wakachimbe dawa
Nina ngunga kama...
Habar wana jamvi
Kwanza niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.Nchi hii naona ina promote ushoga kupitia tamthiliya zake kama THE PROMISE,kuna jamaa anaitwa Takong linavaa nguo za...
Maiko Zulu is a Zambian musician, human rights activist and a recognized International labour organisation child ambassador to Zambia. His work both in the music industry and human rights arena is...
Wakuu, hawa vijana ni hazina ya Taifa, hivi mshawahi kuwasilikiliza na michano yao ya hatari? Mimi binafsi nawafananisha na MaMc walipita kama Kwanza Unit (Kwanzania), Imam Abas, Traveller mtoto...
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA
IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI
CHANZO : BURE SERIES
SEHEMU YA KWANZA
Msichana mrembo mwenye asili ya Kihindi, Nahra Patel alikuwa akilia huku akikimbia kwa kasi...
kuna muvi zifuatazo nataman kuzipata hapa mwanza mtu anaefahamu maduka yanayouza muvi hizi hapo mjini anielekeze tafadhal... (1)jigsaw (2)final destination...
Huyu mama Mbilia Bell staili yake ya uimbaji, sauti, mwonekano wake (sura na shepu), huwa ananiacha hoi kweli.
Hasa vibao vyake vya Boyaye, Nadina, Nakeyi Nairobi na Ekoswai wapi huwa navihusudu...
Habari wakuu[emoji113]
Naomba mwenye nyimbo za David Dengo ziitwazo
umejawa na rehema na Who is greater than jehova Anitumie
Pia naomba nyimbo ya kinondoni revival choir iitwayo Maombi ya Yabesi...
Assalam alaykum watanzania wenzangu
Nimekuwa mfuatiliaji wa muziki. Kwangu muziki una thamani yake ya kipekee. Kwani naelewa wazi kuwa una nguvu kubwa sana katika kufikisha ujumbe. Ikiwa una...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.