Hii story inaanzia hapa Wakala wa kifo alivyowatesa polisi katika kesi ya aina yake
Kisa na mkasa cha mauaji ya William na Lilian.
Mwezi wa 8 mwaka 2003, Yung alikuwa hana makazi ya kuishi baada...
Kwa wale waliokuwepo enzi hizo hiki kitu kilivutia sana!
=================================================
Yalaiti napenda pasi kifani
tafauti sikutilii moyoni
sikuachi leo na kesho peponi
Ha ha...
Wakuu heri ya pasaka. Katika kipindi hiki cha pasaka huwa naguswa sana na wimbo wa aleluya kuu. Nadhani wimbo huu ni tone moja karibu madhehebu yote ya kikristu duniani. Naomba mwenye nao aniwekee...
Littleton, Colorado
Ilikuwa tarehe 30, mwezi wa 12 mwaka 1978, ambapo kama kawaida uwa ni msimu wa saruji katika maeneo mengi nchini Marekani ambapo saruji inakua ikianguka, ikiwa ni siku ya...
Hii story inaanzia hapa Wakala wa kifo alivyowatesa polisi katika kesi ya aina yake
Siku iliyofuata ripoti ya daktari ya kiuchunguzi kuhusu ule mwili wa kijana uliokutwa hotelini inaletwa kwa...
Hii story inaanzia hapa Wakala wa kifo alivyowatesa polisi katika kesi ya aina yake
Tarehe 27, mwezi 8 mwaka 2003.
Ilikuwa ni muda wa mapumziko kwa ajili ya chakula katika kituo kidogo cha...
"wana Jf huyu kiumbe sio wa sayari hii yani katoa ngoma hot na fire kama
1,African beauty
2,baikoko
3,iyena
Na hii ya juzi ambayo kashirikishwa na mtoto wake Kwangwaru kweli na APA...
Nusu fainali ya kwanza ya kombe la Azam ni kati ya stand united Vs Njombe Mji inayo chezwa mda huu 16:15 hrs.
Kitu cha kushangaza team ya Njombe Mji imeenda na wachezaji 13 tu, yaani 11 ndio...
You Are the Reason
Calum Scott
YOU ARE THE REASON LYRICS
[Verse 1]
There goes my heart beating
'Cause you are the reason
I'm losing my sleep
Please come back now
And there goes my mind racing...
Katika pitapita zangu kwenye baadhi ya mitandao mbalimbali, nimekutana na taharifa ya kufunguliwa kwa nyimbo za Roma ambazo hapo awali tuliambiwa zimefungiwa coz zimemomonyoa Maadili ya...
Habari za jioni wadau.
Kwa wale wazalendo wa nyimbo za hapa nyumbani maarufu kama bongo fleva mtakua mmeusikia wimbo mpya wa msanii Diamond Platnumz.
Mimi sio mshabiki wa huyu msanii ila hii...
Kwangu mimi ni:
Game over man
Dear dictator
Acts of vengeance
Till death do us apart
Na nyingine nilizozisahau na nyingine zipo still kwenye downloads..
Nimesikitishwa sana na kwa kiasi kikubwa mno mara baada ya kusikia ya kwamba Mwanamuziki wa Ngiama Makanda Werrason na Bendi yake ya ' Maison Mere ' wanakuja ' Kutumbuiza ' nchini Tanzania kwa...
Leo nimepata muda basi nili check mawingu TV walikuwa na event mkoan huko so katika kutoa appreciation zao kwa msanii , jina mtoto wa mama said basi nilikuwa na subili nione kama watapiga nyimbo...
hakika Koffi Olomide ni mwamba katika mziki
Alidor lyrics
The reality is unreal, Saint-James, Didi Stone, organise a reunion for your mother, so she can take it easy
Baby you told me that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.