Nyimbo Mpya ya Nash MC ZIMA (Lyrics)

Nyimbo Mpya ya Nash MC ZIMA (Lyrics)

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,523
Reaction score
2,164
Artist = NASH MC
song = ZIMA

lyrics writer = snipa

Hiyo mistari inayoitwa taarifa ya Habari oya ZIMA !
Ile ya ku unga unga mibovu ya kizushi sijui nini ''Gorge anarudi Bush ZIMA !''
Wachanaji wasio na vina hizo ngoma zote ZIMA

DJ unataka hela, aisee sina kwenye kipindi chako wimbo wangu zima,
Hata Redio yenu kucheza kazi zangu wala sio lazima

Oya nanii P the MC washa TV bunge la katiba huwa siangalii ZIMA !
Weka ata Mieleka Ya John Cena
Good Music sitaki ZIMA Kwaito ZIMA, Kiduku ZIMA !

Nyimbo za Mapenzi zenye mambo ya Kishenzi siziwezi ZIMA (eeeh)

FNL na XXL ZIMA !
POWER J powered by day ZIMA !

''mpigie kura msanii unaemtaka kwenye tuzo za kili''
Tangazo kama Hili hakuna cha kusubiri ZIMA !


''Baba unasemaje ?'' ZIMA !

Antvirus yangu mi ndo inaua wadudu ya Mheshimiwa yule mwenye Vurugu Tayari imeisha Tubu Harakati bubu ZIMA !

Hotuba ya Mkwele aliyoweka msimamo wa chama chake Mbele ZIMA !

Azam ndo mabingwa habari za Yanga mara Sijui Simba ZIMA !

Watangazaji wanaigana ''ama nini !dizaini kama !'' ushoga mtupu Vipindi vya mchana sisikilizi ZIMA

''kuchapiwa siri ya ndani'' hayo maneno alisema nani ? Oya Richard analeta Utani ! ZIMA !

Wakichana kiswahili wanaskika kama kichina kingereza ndo wanaweza nikasema aisee ZIMA X2 !
+++++++END+++++++

chambuzi fupi !

Aliposema

''mistari ya ku unga unga sijui nini Gorge anarudi bush''

kamaanisha Stamina ! Aniesma maneno hayo kwenye wimbo Agano Jipya


''Antivirus yangu ndo inaua wadudu ya mheshimiwa yule mwenye vurugu tayari imeisha tubu ''

Hapa anamaanisha Mh SUGU ! wakati akiwa na beef na Ruge kwa wanaokumbuka walitoa jina hili wakiwa pamoja na Vinega

''Hotuba ya MKWELE aliyoweka msimamo wa chama chake mbele''

Nadhani inaeleweka !

Lyrics nimeandika snipa !
Marekebisho allowed !
Nadhani inaeleweka !​
 
Last edited by a moderator:
kwa mistari hii ana matumaini ya kufanikiwa kimuziki
 
kwa mistari hii ana matumaini ya kufanikiwa kimuziki

Kafanikiwa sana maana kuna watu wake kina sisi ambao kwetu ni Hip Hop halisi kaongea ukweli mtupu, alafu kumbuka kufanikiwa kimziki sio tu kupata shows na hela lakini kuna kukubalika na watu
 
nash msanii pekee mwenye V.V.U.
Mwanahiphop wa THT.
Msanii pekee anayejua kiswahili vizuri kama hutaki zimaaa!!
 
UCHAMBUZI WA UHAKIKA
anapozunguzia mistari inayoitwa taarifa ya habari anamaanisha mistari ya ROMA anachana sana juu ya matukio.
#ya kuunga joj karudi bush ni stamina anagushi sana line zake
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Anaposema]#Anaposema [/URL] GOOD MUSIC ZIMA ni mwanafa ambaye ana moto wake KEEPING GOOD MUSIC ALIVE.
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Anaposema]#Anaposema [/URL] FNL ni FRIDAY NIGHT LIVE ya EATV na XXL ni CLOUDS FM.POWER JAM NI YA EA RADIO.
#pia alipochana ANTIVIRUS yake ndo inaua wadudu ya yule mh mwenye vurugu imetubu harakati bubu -anamaanisha harakati zake za kupambana na wanyonyaji wa muziki kama clouds etc ndo zipo imara kwa sababu SUGU alishamalizana na RUGE.
watangazaji kuigana n kama ukimskilza dulla wa eatv/ea radio katka planet bongo na mchovu na watangazaji weng wanaigana maneno ama nin dizain kama mi sielew
tuishie hapo
 
Artist = NASH MC
song = ZIMA

lyrics writer = snipa

Hiyo mistari inayoitwa taarifa ya Habari oya ZIMA !
Ile ya ku unga unga mibovu ya kizushi sijui nini ''Gorge anarudi Bush ZIMA !''
Wachanaji wasio na vina hizo ngoma zote ZIMA

DJ unataka hela, aisee sina kwenye kipindi chako wimbo wangu zima,
Hata Redio yenu kucheza kazi zangu wala sio lazima

Oya nanii P the MC washa TV bunge la katiba huwa siangalii ZIMA !
Weka ata Mieleka Ya John Cena
Good Music sitaki ZIMA Kwaito ZIMA, Kiduku ZIMA !

Nyimbo za Mapenzi zenye mambo ya Kishenzi siziwezi ZIMA (eeeh)

FNL na XXL ZIMA !
POWER J powered by day ZIMA !

''mpigie kura msanii unaemtaka kwenye tuzo za kili''
Tangazo kama Hili hakuna cha kusubiri ZIMA !


''Baba unasemaje ?'' ZIMA !

Antvirus yangu mi ndo inaua wadudu ya Mheshimiwa yule mwenye Vurugu Tayari imeisha Tubu Harakati bubu ZIMA !

Hotuba ya Mkwele aliyoweka msimamo wa chama chake Mbele ZIMA !

Azam ndo mabingwa habari za Yanga mara Sijui Simba ZIMA !

Watangazaji wanaigana ''ama nini !dizaini kama !'' ushoga mtupu Vipindi vya mchana sisikilizi ZIMA

''kuchapiwa siri ya ndani'' hayo maneno alisema nani ? Oya Richard analeta Utani ! ZIMA !

Wakichana kiswahili wanaskika kama kichina kingereza ndo wanaweza nikasema aisee ZIMA X2 !
+++++++END+++++++

chambuzi fupi !

Aliposema

''mistari ya ku unga unga sijui nini Gorge anarudi bush''

kamaanisha Stamina ! Aniesma maneno hayo kwenye wimbo Agano Jipya


''Antivirus yangu ndo inaua wadudu ya mheshimiwa yule mwenye vurugu tayari imeisha tubu ''

Hapa anamaanisha Mh SUGU ! wakati akiwa na beef na Ruge kwa wanaokumbuka walitoa jina hili wakiwa pamoja na Vinega

''Hotuba ya MKWELE aliyoweka msimamo wa chama chake mbele''

Nadhani inaeleweka !

Lyrics nimeandika snipa !
Marekebisho allowed !
Nadhani inaeleweka !​

hakuna tatzo
 
Last edited by a moderator:
"Nash nilizaliwa kuwa Mc,
Nandio maana Niko hapa kwenye nafasi hii wajibu wangu nautambua kuelemisha na kuburudisha Jamii"


Washairi wananiita shaban Nash Robert mc

"Kwa haya madini wananiita mwadui ata sijui mi kama na almasi"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom