Heshima kwenu wadau wa JF.
Ninachelea kusema kuwa ninafurahi sana kuona vijana wenzangu wa kitanzania hasa waandishi wa vitabu vya fasihi kwa lugha ya kiswahili.
Mnamo 15/4/2018 watanzania...
Series mpya ya kiswahili! ina hadithia mahusiano ya binti Hariri na mchumba wake Aaron. Familia yake Aaron hawamtaki Hariri na wamempangia msichana mwingine wa kuoa! checki hapa kupata episode...
INASIKITISHA LAKINI NI FUNZO PIA
Umemuomba akutumie picha ya utupu.
Akakuambia siwezi nauheshimu mwili wangu siwezi kufanya hicho kitu.
Ukambembeleza na kumsihi kwa maneno matamu yenye ulaghai...
UBETI WA KWANZA
Switch s2kizzy baby
Habari oo habari habari habari habari oo habari oo
Habari habari habari habari ooo
Mpenzi ni kama una demu mmoja
Wapenzi ni kama una demu wawili
Kucheat...
Habarini wanajamvi.
leo nimewaletea tv series kali za muda wote na ratings zake.
1. Planet earth II ( 2016) : ratings 9.5
2. Band of brothers (2001) : ratings 9.5
3. Planet earth (2006) ...
Nayaandika haya kwa uchunguzi sana kwa jinsi hawa waandaaji wa show ya Werrason Noel Ngiama Makanda aliyekuja Dar wiki mbili zilizopita.
Kwanza walisema show itachelewa kwa sababu Werrason...
wakuu kwa wale wapenzi wa hizi mambo kutoka king'amuzi pendwa cha DSTV...week hii ni week ya mwisho yaani Final na walioingia final ni
1.Tobi
2.Miracle
3.Cecee
4.Alex
5.Nina
Je unampigia nani...
Mtanisamehe lakini najua wengi wenu humu JF mlikuwa Joni visomi na najua pia kuwa ambao hawakusoma mlikuwa mabaharia,na of course wengi wenu mnatokea mikoani na Dar mekuja miaka 1- iliyopita...
Heri ya mwaka mpya wajameni.
Naomba kuuliza, nani waanzilishi wa Bongo HipHop/Flava? Mimi nakumbuka mara ya kwanza nasikia tapes za Saleh Jabri akirap juu ya beats za kama Vanilla Ice etc...
(8) MESHAMAZING Nitulize official Video4K - YouTube
Hii ni video ya mshindi wa super nyota 2017 Mbeya anayeitwa Meshamazing inayokwenda kwa jina la NITULIZE kama ilivyoongozwa na muongozaji...
Baba mzazi wa mwanamuziki Jay Moe Famous, Mzee Mchopanga amefariki dunia mchana huu.
Mzee Mohammed Hamis Mchopanga 1948-2018
Innah Lillah wa innah ilayh rajiun
Habari wana JF leo nimeona nitoe ya moyoni mwangu kuhusu Bongo Movie. Kumekua na matusi mengi na malalamiko mengi sana kuwa Bongo Movie hamna kitu na watu hawapendi kutazama Bongo movie. Mm...
1. Ousofia in London
2. Borat
3. Don't mess with Zohan
4. The Dictator
6. Problem Child
7. Friday ( Ice Cube and Chris Turker)
8. Joshua Tree
9. Nutty Professor all
10. Mo money
Bwana mdogo wangu Aslay, ni wazi kuwa unajitahidi sana kufanya kazi nzuri kimuziki na unashika nafasi mbalimbali za music chat hapa nchini.
Tungo zako na Matumizi ya sauti yako yanaonyesha ni...
Niadje ndugu unaesoma Uzi huu kwa wakati huu?.. Wakorea wanasifika sana kwa utunzi mzuri wa story ktk season zao. Je ni season gani kali uliyowahi kuitazama ukaipenda? Tutajie jina la season...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.