Kama una Channel ya YouTube tukutane hapa

Kama una Channel ya YouTube tukutane hapa

Jackson94

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2016
Posts
505
Reaction score
600
Njoo uongeze Subscriber, Views hapa.

Sheria za uzi huu
- Subscribe Channel yangu kwa kubofya [emoji117] link hii JvS - Copy & Paste na mimi nita Subscribe kwenye Channel yako.
- Weka Link ya Channel yako ili tuweze kusubscribe kwenye Channel yako (Kumbuka na wewe ku Subscribe kwenye Channel za link zilizo tangulia.

- Subscribe for Subscribe
- View for View.
Maoni ya kukatisha tamaa Sitaki kama huna cha kuandika Uzi huu haukuhusu.

Karibuni sana.
 
Nimependa idea yako, japo wenzetu walianza zamani...

Sina Channel YouTube ila natoa Support yangu kuanzia kwa mtoa Mada na wote wenye Channel YouTube watao comment hapa!
 
Nimependa idea yako, japo wenzetu walianza zamani...

Sina Channel YouTube ila natoa Support yangu kuanzia kwa mtoa Mada na wote wenye Channel YouTube watao comment hapa!
Nashukuru sana kiongozi wangu bofya JvS - Copy & Paste ili u Subscribe Channel yangu.
 
Unapataje Channel ya You Tube kwanza..!!?? Ungeanza na hilo ili endapo wengi watafanikiwa kufungua, sapoti itakuwa kubwa kwa sababu wengi watakuwa na channel huko.

Maoni ya kukatisha tamaa ndo changamoto zenyewe, so usiyakatae. Kuwa na ngozi ngumu kijana. Unaposema SITAKI, wakati kila mtu yupo kwake na simu au laptop yake, anaandika anachotaka na huna lolote la kumfanya sijajua unamaanisha nn..!!
 
Unapataje Channel ya You Tube kwanza..!!?? Ungeanza na hilo ili endapo wengi watafanikiwa kufungua, sapoti itakuwa kubwa kwa sababu wengi watakuwa na channel huko.

Maoni ya kukatisha tamaa ndo changamoto zenyewe, so usiyakatae. Kuwa na ngozi ngumu kijana. Unaposema SITAKI, wakati kila mtu yupo kwake na simu au laptop yake, anaandika anachotaka na huna lolote la kumfanya sijajua unamaanisha nn..!!
Asante kwa kuni sahihisha kiongozi wangu.
 
Unapataje Channel ya You Tube kwanza..!!?? Ungeanza na hilo ili endapo wengi watafanikiwa kufungua, sapoti itakuwa kubwa kwa sababu wengi watakuwa na channel huko.

Maoni ya kukatisha tamaa ndo changamoto zenyewe, so usiyakatae. Kuwa na ngozi ngumu kijana. Unaposema SITAKI, wakati kila mtu yupo kwake na simu au laptop yake, anaandika anachotaka na huna lolote la kumfanya sijajua unamaanisha nn..!!
 
Back
Top Bottom