Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Album imeachiwa tarehe 20 april 2018. Kama tayari umesha isikiliza karibu tufanye review ya hii album. Ni moja kati ya album kali nilizo sikiliza mwaka huu mpaka sasa hivi. Track list: My...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
movie tayari imeanza kuonyeshwa kwenye majumba ya sinema duniani kote na inategemewa kuvunja rekodi ya box office ,tutegemee hata black panther itapitwa hapa mana hata black panther imo ndani yake...
1 Reactions
1 Replies
820 Views
Kuburudika kiasi yake baada ya kazi wiki mzima.
0 Reactions
2 Replies
626 Views
Tokea nisikilize TBC Taifa sasa yapata mwezi marejeo ya vipindi vya Pwagu na Pwaguzi mchana saa saba kasoro robo na jioni saa kumi na mbili kasoro robo siku za jumatatu mpaka ijumaa, kiukweli...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mzalendo ameachia ngoma nyingine inayokwenda kwa jina la Fyatua Bomu. Najiuliza huyu jamaa ndio msanii pekee, au raia pekee alieamua kuongea hadharani bila uoga?
1 Reactions
3 Replies
3K Views
HABARI ZA LEO MPENDWA! STORY YA UJAMBAZI NA UJASUSI!! LAZIMA UITAZAME HII ACTION MOVIE YA HD QUALITY BOMBA KABISA!
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu Baada kocha mzambia Lwandamina kuondoka kinyemela leo tumepata taarifa kwamba timu ya Yanga imepata kocha Mpya kutoka ufaransa mwenye asili ya Kongo DRC. Kwakuwa huyu kocha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habar wandug, naomba msaada kwa mwenye wimbo wa O-ten ft Hard Mad-Voice mail anitumie mana nimeutafuta sana mtandaon cjaupata. najua JF ndio kila kitu Sent from my HUAWEI Y625-U32 using...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
habari za leo , filamu ya leo inahadithia maisha ya mama anaeteseka sana, anavyo kutana na familia yenye uwezo yakumsaidia anagundua na ku fufunua siri kubwa ya hio familia.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Huu muziki umekuja kwa kasi sana na kujizolea umaarufu Mkubwa kwenye media na baadhi ya wadau haswa vijana lakini huu mziki naliona kaburi lake 2018 kwa sababu zifuatazo 1. Wadau wakubwa wa muziki...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Inapatikana U-tube(youtube) ====
1 Reactions
0 Replies
670 Views
Moja ya album bora kabisa za Hip Hop mbaka sasa kwa mwaka 2018. Production on point & carefully structured. Cole na flow ya hatari ndani ya mzigo huu mpya huku akiwa Na maudhui ya hatari ikiwa...
1 Reactions
1 Replies
943 Views
Muziki wa Bongofleva tangu uanze miaka ya 90 mwishoni umefanikiwa kuibua majina mengi makubwa, lakini tofauti na ilivyo sasa kipindi huu muziki unaanza ilikuwa ili utoboe ni lazima uwe na album...
4 Reactions
74 Replies
13K Views
Angekuwepo rafiki nisingewaza, rafiki kipenzi ninayempenda x2 hayupo tena duniani swahiba,nliyempenda toka kumoyo swahiba.... Alikuwa ni kijana mwenzetu Jebby akishirikiana na afande sele miaka...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
As a being I've always wished To be a majestic king One so strict If you mess, like a disturbed bee You end up with a sting. I've always envied David, It's a mystery how he managed To kill...
0 Reactions
1 Replies
486 Views
Igweeeeeee,Umuofia kwenu Mwangaluka wamayo na wababa,mwadila...olemhola,ulichiza Yego baba...yego kutiki Saita...saayu,haidomaa...haidori Shimboni shafo Wazee nimeona ni vema nianze kwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
MARY MARIAM (01) BEKA MFAUME Alizaliwa nje ya ndoa. Baba yake hakuwahi kumwona ingawa aliamini yuko hai. Alisikia tu akiambiwa baba yake ni Mwarabu. Aliamini hivyo kwa sababu hata damu yake...
1 Reactions
30 Replies
15K Views
habari wana jamvi, kama kichwa kilivojieleza hapo.. napenda kujua jina la wimbo mmoja ulinivutia sana nikiwa mdogo ila nimesahau jina lake. moja ya mistari yake ilikua ikiimbwa hivi "pilipili ya...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Good news tuliyokua tukiisubiri gunners hatimae imekua mzee kinganganizi babu wenger aamua kustep down at the end of season. Hatuna cha kukumbuka zaidi ya stress zako Arsene Wenger to leave...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Wadau na wapenzi wa movies especially Hollywood movies nimeona ni vizuri nikashare na nyie my 25 sio mbaya nawe ukacomment au ukamention za kwako, vigezo nilivyotumia kupata hii top 25 list ni...
2 Reactions
62 Replies
12K Views
Back
Top Bottom