Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 799
Mtanisamehe lakini najua wengi wenu humu JF mlikuwa Joni visomi na najua pia kuwa ambao hawakusoma mlikuwa mabaharia,na of course wengi wenu mnatokea mikoani na Dar mekuja miaka 1- iliyopita... lakini vile vile nilitaka kuwafahamisha kuwa early 80's kulikuwepo hili kundi la KU na sie wengine tulikuwepo siku ile ya jumamosi walipokuja CINE CLUB kurekodi video yao ya MSELA
Masela hawa wako wapi sasa...!!
Kwa wale tuliokuwa tukifwatilia kwa karibu muziki huu wa kizazi kipya wakati unaanza kuchipua,tutaungana mkono kuwa vijana walitokea mbali kiana na bila shaka katika harakati zao za kuukuza muziki huu walikutana vizingiti vingi na vya kila aina,mfano naweza kumtolea rafiki yangu Robert ambaye ilifikia wakati wazazi wake wakawa wanaingia na Radio zao chumbani ilimradi tu kumnyima bwana mdogo haki zake za msingi tena za kikatiba za kusikiliza muziki aliokuwa akiuf*gilia eti kwa maelezo kuwa muziki huo ni wa kihuni na usiokuwa na maadili hata kidogo.
Hapa kushoto ni KU Crew,katikati ni Terry kutoka HBC na kulia ni Mr II.Enzi hizooooo
Lakini kadri miaka ilivyokuwa ikizidi kusonga na wasanii kuendelea kuwa wabishi na kuachia mipini mipya tena kwa hela ya ngama waliyokuwa wakiidunduliza kwa taaabu kubwa, huku wakiwa hawapati maslahi yoyote ya maana zaidi ya ujiko tu...hatimaye wasanii walianza kuongezeka taratibuu jambo lililokuwa likiwachanganya zaidi wazazi wengi waliohisi vijana wamechanganyikwa.
Left ni Saigon na katikati ni Dola Soul kutoka the Diplomatz,kulia kwao ni Mr Paul...enzi hizoooooo
Yote hayo yalichangiwa na wengi tu kuanzia waandishi,vituo vya radio, mapromoter na kadhalika.....Jambo kubwa la kujiuliza wengi wa waanzilishi wa vita hiyo kubwa ya kuupigania muziki huu hawajulikani walipo.
Na leo hii itakuwa si vibaya hata kidogo tukiweza kuwakumbuka kwa pamoja wachache tu ambao mchango wao hata kama ni mdogo lakini umeweza kuifikisha Bongo Flava hapa tulipo na kuweza kuufanya muziki huu uwe kioo cha muziki wa vijana kwa Afrika Mashariki na Kati.
Hapa kushoto ni Caz T kutoka (BANTU POUND GANGSTER),katikati ni Bonny Harmony kutoka(AFRO REIGN),na kulia ni Rashid Ziada (KR) kutoka GWM ambaye pia ni mwasisi wa kundi la Wanaumeela TMK.
Kati ya tutakao wakumbuka wengine wanaendelea na muziki na wengine hatuko nao duniani kwa sasa, wengine hatujui walipo na wanafanya nini! tunajua wengi wangependa kujua wako wapi maselaaaa?
JE UNAWAKUMBUKA MASELA HAWA ?
Saleh Jabir
Adili a.k.a. Nigga One (R.I.P)
Afro Reign
K. U Crew
Bantu Pound
4 Kreuz Flava
Hard Blasters
Weusi Wagumu Asilia3
Sos B (ameongezwa na tony-serena znz)
Rhymson (KU Crew)
E-Attack
Fresh X
Kool Mooccc
Columba Mwingira - mawingu Band
OJ - Mawingu Band
Sindila
De-Plow-Matz
II Proud
G.W.M.
WATANGAZAJI WA RADIO (RADIO 1)
Master t
Mike mhagama
MAPROMOTER
Kim Magomelo (Kim & the Boyz)
STUDIOS
Container la Master J
Don bosco Studios
Sound Crafters
Je unazikumbuka video hizi za kwanza kwanzaaaaaa ?
1.Oyaa Msela oyaaaaa (Mawingu Band)
2.Usiige mambo ya mjini (Hard Blasters)
3.Kukurukakara zako (Sos B)
KUMBI
Kilimanjaro pool side
FM Club (zamani Lang'ata Social Hall)
Silent Inn club (umeongezwa na Frank Suura)



Masela hawa wako wapi sasa...!!
Kwa wale tuliokuwa tukifwatilia kwa karibu muziki huu wa kizazi kipya wakati unaanza kuchipua,tutaungana mkono kuwa vijana walitokea mbali kiana na bila shaka katika harakati zao za kuukuza muziki huu walikutana vizingiti vingi na vya kila aina,mfano naweza kumtolea rafiki yangu Robert ambaye ilifikia wakati wazazi wake wakawa wanaingia na Radio zao chumbani ilimradi tu kumnyima bwana mdogo haki zake za msingi tena za kikatiba za kusikiliza muziki aliokuwa akiuf*gilia eti kwa maelezo kuwa muziki huo ni wa kihuni na usiokuwa na maadili hata kidogo.
Hapa kushoto ni KU Crew,katikati ni Terry kutoka HBC na kulia ni Mr II.Enzi hizooooo
Lakini kadri miaka ilivyokuwa ikizidi kusonga na wasanii kuendelea kuwa wabishi na kuachia mipini mipya tena kwa hela ya ngama waliyokuwa wakiidunduliza kwa taaabu kubwa, huku wakiwa hawapati maslahi yoyote ya maana zaidi ya ujiko tu...hatimaye wasanii walianza kuongezeka taratibuu jambo lililokuwa likiwachanganya zaidi wazazi wengi waliohisi vijana wamechanganyikwa.
Left ni Saigon na katikati ni Dola Soul kutoka the Diplomatz,kulia kwao ni Mr Paul...enzi hizoooooo
Yote hayo yalichangiwa na wengi tu kuanzia waandishi,vituo vya radio, mapromoter na kadhalika.....Jambo kubwa la kujiuliza wengi wa waanzilishi wa vita hiyo kubwa ya kuupigania muziki huu hawajulikani walipo.
Na leo hii itakuwa si vibaya hata kidogo tukiweza kuwakumbuka kwa pamoja wachache tu ambao mchango wao hata kama ni mdogo lakini umeweza kuifikisha Bongo Flava hapa tulipo na kuweza kuufanya muziki huu uwe kioo cha muziki wa vijana kwa Afrika Mashariki na Kati.
Hapa kushoto ni Caz T kutoka (BANTU POUND GANGSTER),katikati ni Bonny Harmony kutoka(AFRO REIGN),na kulia ni Rashid Ziada (KR) kutoka GWM ambaye pia ni mwasisi wa kundi la Wanaumeela TMK.
Kati ya tutakao wakumbuka wengine wanaendelea na muziki na wengine hatuko nao duniani kwa sasa, wengine hatujui walipo na wanafanya nini! tunajua wengi wangependa kujua wako wapi maselaaaa?
JE UNAWAKUMBUKA MASELA HAWA ?
Saleh Jabir
Adili a.k.a. Nigga One (R.I.P)
Afro Reign
K. U Crew
Bantu Pound
4 Kreuz Flava
Hard Blasters
Weusi Wagumu Asilia3
Sos B (ameongezwa na tony-serena znz)
Rhymson (KU Crew)
E-Attack
Fresh X
Kool Mooccc
Columba Mwingira - mawingu Band
OJ - Mawingu Band
Sindila
De-Plow-Matz
II Proud
G.W.M.
WATANGAZAJI WA RADIO (RADIO 1)
Master t
Mike mhagama
MAPROMOTER
Kim Magomelo (Kim & the Boyz)
STUDIOS
Container la Master J
Don bosco Studios
Sound Crafters
Je unazikumbuka video hizi za kwanza kwanzaaaaaa ?
1.Oyaa Msela oyaaaaa (Mawingu Band)
2.Usiige mambo ya mjini (Hard Blasters)
3.Kukurukakara zako (Sos B)
KUMBI
Kilimanjaro pool side
FM Club (zamani Lang'ata Social Hall)
Silent Inn club (umeongezwa na Frank Suura)