VERSE 1:
Yoh, yoh, yoh
Ndani ya Bongo mambo super hapana ubongo
Ingawa sometime Bongo chungu kama sifongo
Nafanya makaratee kama machinga mtaa wa Congo
Kimtindo mtindo nakata ngebe vimtima nyongo...
Habari zenu wakuu, yoyote mwenye kuwa na nyimbo hizi, wa Voice Wonder ft Banana Zorro ule unaitwa "mama yele" na wimbo wa zamani wa kundi la Wana Njenje unaitwa Maua naomba tafadhali ....
Katibu mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania bwana Farid Kubanda maarufu kama Fid Q amesema ndani ya kipindi cha miaka 4, Rais samia ametoa Trilioni 13 kwa ajili ya maendeleo ya muziki na sanaa...
Hello shalom people of God, my name is John am 26 I live in Dar es salaam Tz, I'm a Gospel singer minister with a big vision to reach out nations with my music I believe through my music many...
Muvi hata isifiwe iwe kali kivipi nikishaona star ni mwanamke anaetembezea kipigo wanaume huwa sina time nayo kabisa.
Kiuhalisia mwanamke mtu mzima mwenye miaka 28 anaweza kupigwa vizuri kabisa...
Ninaandika nikiwa na masikitiko makubwa kuona maumbile ya wanawake yanatumika kwenye mambo ya kijinga. Miaka ya hivi karibuni tasnia ya uchekeshaji (comedy) imezidi kuchanja mbuga na kufanya...
HADITHI:LUKUNGU(UPANDE WA PILI WA SARAFU)
MTUNZI: RAJONCE JOHN
MWANDISHI: RAJONCE JOHN
WHAT'SAPP:0673049321
UMRI:MIAKA 18+
SEHEMU YA KWANZA.
Usiku mmoja wenye upepo zaidi ya siku nyingine za wiki...
Series zao wanaingiza sana mambo ya WOKE, kutaka kulazimisha mwanamke aonekane anaweza kazi maalum za wanaume, kuingiza sana mambo ya upinde, kuchochea ubaguzi, n.k.
Naombeni series za nchi...
THE LAST VOYAGE OF THE DEMETER(2023)
Chimbuko la hadithi:
Ashukuriwe Mungu kwa kutupatia zawadi ya sanaa hapa duniani. Sanaa ni burudani ya muhimu mno katika maisha yetu ya kila siku. Hebu...
Kukuwa kwa tasnia ya bongo move sio jambo lakumtegemea mtu au taasisi ni kutumiya akili tuu.
Sasa hivi watu wanaotumika kweny uigizaji ni wale waliokwisha kuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii...
Hii tamthilia inafanya vizuri kwa sasa Ina trend sana YouTube visa vyake ni usaliti,maisha ya ndoa,unafki w marafiki,ulevi,uwongo..
Kwa sasa tuko episode ya 70.karibun tujadili tunaoifuatilia.
Tunaendelea tulipoishia ...
Baada ya Crew inayoitwa disabled jay Rapers Group kuvunjika baada ya mtu mfupi ( stacha cool) kuzinguana na wezake "jb" mkuu wa majaji na dj snoks a.k.a zungu la unga...
KUTOKA DISABLED JAY RAPERS GROUP HADI KUJIITA " MABAGA FRESH"..
Katika ulimwengu ambao mara nyingi huhusisha mafanikio na ukamilifu wa kimwili na kiakili, ni muhimu kufahamu kuwa kuna watu wenye...
Tumalize huu ubishi ulioenea mtandaoni. Je, kati ya malkia wa bongo fleva Shilole a.k.a Shishi baby na msanii chipukizi (underground) anayeheshimika Juma Jux nani mkali zaidi?
Kwa wale...
Wakuu inakuaje, nina amini kila mtu yuko vizuri kiafya au sio wakuu.
Sasa leo nawaletea mada muhimu, na yenye kueleweka vizuri kwa kila mtu atakaesoma thread hii. Mada hii inamhusu rapper maarufu...
Tafadhali naomba ukiwa kama mwana Wenge BCBG yake JB Mpiana uniambie ni kwanini Nyimbo hizi Nne zifuatazo haziishi Utamu na wala hazichuji miaka nenda rudi?
1. Champion Kapangala ( Sebene )
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.