Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Note; hii Ni story ya kweli kabisa imemkuta one of my close friends, nilimuomba kuipost kwa ahadi ya kuficha utambulisho wake na ameruhusu, kuna la kujifunza hapa. Twende kazi. Naitwa Bella (sio...
14 Reactions
230 Replies
32K Views
kama wewe ni mpenzi wa kusikiliza spoken words umeshamsikiliza uyu jamaa wa +254 mwamba Thony Voks, kama bodo mpe sikio kama tayari ipi kali kwako kati ya hizi Thony voks the 1st conversation...
0 Reactions
0 Replies
203 Views
Ukitaka kuielewa kiundani katazame filamu hizi hulk 2003,2008 captain america 1,2,3 ,eternals ,endgame, falcon and winter soldier series ni mbovu imeingiza USD 390mil kwa budget ya usd180mil na...
1 Reactions
0 Replies
217 Views
SIKU YANGU YA KUFA ILIPITA. Na, Robert Heriel Siku ile SIRIEL ndiye Huyo mficha Siri za mungu alinijia nyakati za usiku nikiwa nimelala, alikuja kama ndoto usingizini, nami sikujua yakuwa...
8 Reactions
28 Replies
6K Views
Binafsi sio mfuatilia sana wa hizi Tamthiliya mbili za muda mrefu lakini kila nikipata muda nikaangalia basi nakutana na matukio yale yale, unakaa hujaangalia miezi ukirudi kuangalia hakuna...
3 Reactions
12 Replies
675 Views
Je "wakati wako" myuziki ulihifadhiwa kwa device ipi?
0 Reactions
1 Replies
183 Views
Kila mtu anapenda kufanikiwa kwenye maisha, kila mtu anapenda kupiga hatua zaidi kwenye kila eneo la maisha yake, kuanzia kwenye afya, kazi, biashara na hata mahusiano. Ni rahisi sana kuweka...
15 Reactions
8 Replies
6K Views
MWANETU NENDA SHULENI 1. Wazazi wako zamani, hatukuenda shuleni, Hapo kale tuamini, likuwa chache nchini, Tungelisoma jamani, mengi tungeyajueni, Mwanetu nenda shuleni, unoe wako ubongo. 2...
4 Reactions
6 Replies
415 Views
Habari wakuu.. Naomba msaada wa movie nzuri zenye maudhui ya kiristo ambazo ni inspirational ambazo zinaweza kumjenga mtu kiimani akiziangalia, zenye mafundisho, zisizo na scenes au picha chafu(za...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
▪️ Genre: Action, Sci-Fi, Romance, horror ▪️ Date: 2025 (Apple TV+) ▪️ Rate: Bado 6.8/10 ▪️ Parental Guidance: R (Restricted) ▪️ Origin: USA ▪️ Time: 2hr/ 7min --- STORY BEHIND Katika...
9 Reactions
45 Replies
2K Views
Labda mimi tu ila kusema kweli 2024 sijakutana na movie kali kabisa ata ya kusema hii naenda Cinemax. Deadpool & Wolverine? Venom? Joker? Smile 2? Ghostbusters? Yaani naona kama huu mwaka...
6 Reactions
41 Replies
4K Views
BURUDANI Leo nakuletea uzi wa burudani, lakini pia nakukumbusha kuwa kama uliusikiliza huu wimbo tangu siku ambayo wimbo ulitambulishwa sokoni basi fanya uowe/uolewe/uzae. Usilete visingizio kuwa...
1 Reactions
2 Replies
339 Views
Kimbia, Polisi maskani wakivamia Wakikudandia, hakika hawatakuachia Wakukute umetulia, au kipisi unamalizia Au labda kuna mchizi tu ulikuja kumuulizia Wanapoingia, nakushauri kimbia Wakikudandia...
15 Reactions
42 Replies
7K Views
Kama ni MTAZAMO sidhani kama alistahili labda Hit song ya Darubini Kali. Historia kidogo. Mwaka 2004, Mfanyabiashara Mwandishi wa Vitabu, Eric James Shigongo, alianzisha Shindano la kumtafuta...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Uzi huu ni maalum wa kuwapa maua wana hawa wawili waliojitoa peke yao kuwasemea wananchi kupitia kazi zao za sanaa. Siyo jambo rahisi kwa msanii wa bongo kutunga wimbo wenye content ya kuisema...
14 Reactions
81 Replies
4K Views
Aliyekuwa nyota wa WWE Marehemu Chris Benoit anaonekana akipiga picha kwa ajili ya shabiki katika ofisi ya Dk Phil Astin mnamo Juni 22, 2007, kwa kuitazama watu walidhani ni vile Benoit ni mcheshi...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
SURA YA KWANZA ASUBUHI YA HEKA HEKA Utangulizi. Richard Dawson, mrakibu mwandamizi wa jeshi la polisikanda maalum ya Dar es salaam, miaka mitano tu tangu ajiungena jeshi hilo, lenye jukumu la...
0 Reactions
110 Replies
31K Views
Habari zenu ndugu, mimi huwa nikitafuta wimbo huwa siukosi lakini huu wimbo kwa kweli sijafanikiwa kuupata mpaka sasa. Nimekuja kwenu ambaye anao ninauomba coz ninaupenda sana. Ahsanteni.
1 Reactions
1 Replies
7K Views
Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana JF? Mwaka 2024 ndo tunaumaliza hivyo. Basi nikaona ni vyema kama tukijikumbushia movies na nyimbo ambazo tumezizingatia sana mwaka huu. Binafasi, movies nimecheki nyingi ila hizi...
4 Reactions
2 Replies
661 Views
Back
Top Bottom