Note; hii Ni story ya kweli kabisa imemkuta one of my close friends, nilimuomba kuipost kwa ahadi ya kuficha utambulisho wake na ameruhusu, kuna la kujifunza hapa. Twende kazi.
Naitwa Bella (sio...
kama wewe ni mpenzi wa kusikiliza spoken words umeshamsikiliza uyu jamaa wa +254 mwamba Thony Voks, kama bodo mpe sikio
kama tayari ipi kali kwako kati ya hizi
Thony voks
the 1st conversation...
Ukitaka kuielewa kiundani katazame filamu hizi hulk 2003,2008 captain america 1,2,3 ,eternals ,endgame, falcon and winter soldier series ni mbovu imeingiza USD 390mil kwa budget ya usd180mil na...
SIKU YANGU YA KUFA ILIPITA.
Na, Robert Heriel
Siku ile SIRIEL ndiye Huyo mficha Siri za mungu alinijia nyakati za usiku nikiwa nimelala, alikuja kama ndoto usingizini, nami sikujua yakuwa...
Binafsi sio mfuatilia sana wa hizi Tamthiliya mbili za muda mrefu lakini kila nikipata muda nikaangalia basi nakutana na matukio yale yale, unakaa hujaangalia miezi ukirudi kuangalia hakuna...
Kila mtu anapenda kufanikiwa kwenye maisha, kila mtu anapenda kupiga hatua zaidi kwenye kila eneo la maisha yake, kuanzia kwenye afya, kazi, biashara na hata mahusiano.
Ni rahisi sana kuweka...
Habari wakuu..
Naomba msaada wa movie nzuri zenye maudhui ya kiristo ambazo ni inspirational ambazo zinaweza kumjenga mtu kiimani akiziangalia, zenye mafundisho, zisizo na scenes au picha chafu(za...
Labda mimi tu ila kusema kweli 2024 sijakutana na movie kali kabisa ata ya kusema hii naenda Cinemax.
Deadpool & Wolverine? Venom? Joker? Smile 2? Ghostbusters?
Yaani naona kama huu mwaka...
BURUDANI
Leo nakuletea uzi wa burudani, lakini pia nakukumbusha kuwa kama uliusikiliza huu wimbo tangu siku ambayo wimbo ulitambulishwa sokoni basi fanya uowe/uolewe/uzae.
Usilete visingizio kuwa...
Kama ni MTAZAMO sidhani kama alistahili labda Hit song ya Darubini Kali.
Historia kidogo.
Mwaka 2004, Mfanyabiashara Mwandishi wa Vitabu, Eric James Shigongo, alianzisha Shindano la kumtafuta...
Uzi huu ni maalum wa kuwapa maua wana hawa wawili waliojitoa peke yao kuwasemea wananchi kupitia kazi zao za sanaa.
Siyo jambo rahisi kwa msanii wa bongo kutunga wimbo wenye content ya kuisema...
Aliyekuwa nyota wa WWE Marehemu Chris Benoit anaonekana akipiga picha kwa ajili ya shabiki katika ofisi ya Dk Phil Astin mnamo Juni 22, 2007, kwa kuitazama watu walidhani ni vile Benoit ni mcheshi...
SURA YA KWANZA
ASUBUHI YA HEKA HEKA
Utangulizi.
Richard Dawson, mrakibu mwandamizi wa jeshi la polisikanda maalum ya Dar es salaam, miaka mitano tu tangu ajiungena jeshi hilo, lenye jukumu la...
Habari zenu ndugu, mimi huwa nikitafuta wimbo huwa siukosi lakini huu wimbo kwa kweli sijafanikiwa kuupata mpaka sasa. Nimekuja kwenu ambaye anao ninauomba coz ninaupenda sana. Ahsanteni.
Katika jamii nyingi za Kitanzania, ujauzito ni safari ambayo inapaswa kuwa ya wawili, lakini kwa wanawake wengi wa maeneo ya vijijini kama Terrat, safari hiyo inageuka kuwa ya upweke, huzuni na...
Habari wana JF?
Mwaka 2024 ndo tunaumaliza hivyo. Basi nikaona ni vyema kama tukijikumbushia movies na nyimbo ambazo tumezizingatia sana mwaka huu.
Binafasi, movies nimecheki nyingi ila hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.