Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Simulizi: Kaburi la Mwanamuziki Mtunzi: Robert Heriel WhatsApp 0693322300 Sehemu ya 1 “Kazi yangu bila shaka kila mmoja wenu atakuwa ameifanya vizuri, nilifurahishwa na Richard, yeye aliimaliza...
8 Reactions
135 Replies
31K Views
.
1 Reactions
0 Replies
192 Views
Wakuuu vip, Nani mwenye ngoma za hawa jamaa Chuchu sound ya kipind kile cha kina MAO SANTIAGO! =============== ===============
1 Reactions
42 Replies
26K Views
Tafsiri ya kitabu The Merchant of Venice. 1939. SHYLOCK (SHAILOKI) NA ANTONIO SHYLOCK, Myahudi, alikaa Venice (mji mmoja wa Uitalia). Alikuwa mkopeshaji fedha wa namna mbaya kabisa. Yaani yeye...
0 Reactions
2 Replies
337 Views
Ni Joe Kusaga tena… Waswahili husema mwenye nacho huongezwa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezwa. Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikita zaidi kwenye tasnia ya...
24 Reactions
152 Replies
7K Views
Dc ilianza mwaka 1930 na marafiki wawili harry donenfield na jack Leibowitz ,dc ilikuwa ni magazine inayachapicha habari za kijamii na pornografia hii ikapelekea baadhi ya watu ktk kampuni...
1 Reactions
0 Replies
259 Views
Napenda kuwatakia maandalizi mema ya Sabato. Sabato ikawe njema kwenu nyote. Sabato yako ikawe njema kupitia uinjilishaji huu kupitia nyimbo Uzi huu utahusisha nyimbo za SDA pekee, karibuni...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Mara ya mwisho ku peak ilikua 2011, taarab ilikua juu sana. Ila baada ya pale naona imepotea, nina miaka mingi sijasikia hit song ya taarab. Whyyyy, hizi amapuano sijui singeli sijawai zielewa...
2 Reactions
52 Replies
1K Views
Karibu kwenye mzigo huu mpya kabisa, By CK Allan 0746 266 267 Viumbe hatari... Dangerous creatures 1 Mwaka 2030 Sauti ya televisheni ilisikika, nilikodoa macho kwa utulivu mkubwa nikiwa...
3 Reactions
39 Replies
4K Views
MOVIE KALI SANAA WANAJESHI WA MAREKANI WALIOMBA POOH 😂😂🔥🔥 Wamarekani walimuomba dokta atengeneze dawa ambayo itawafanya wanajeshi kwenye uwanja wa mapambano wasiweze kuonekana lakini mwisho wa...
1 Reactions
2 Replies
482 Views
Na D. Kingdon. HADITHI YA WAKURYA WA TANGANYIKA WAKATI ule mvua ilikwishaanza; lakini majani yalikuwa yangali makavu, ingawa sehemu zingine zilikuwa na majani mabichi. Vivuli vya mawingu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Feeling nostalgic 🥺 Binafsi, wazazi walipenda mno muziki, nimekua nikisikiliza na kucheza muziki toka utotoni, memories ni nyingi. Franco / Le TP OK Jazz - Mario...
33 Reactions
378 Replies
9K Views
Who's your best cast for the character of ZEUS in the next God of War Series. 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10.
1 Reactions
4 Replies
381 Views
Habari wakuu Ningependa kujulishwa sehemu za starehe wanapopiga hizi nyimbo za kabila la kijaluo hususani nyakati za weekend. Nawasilisha.
3 Reactions
24 Replies
868 Views
1 Reactions
25 Replies
605 Views
Naongea na nyinyi mnaojiita wasanii wa nyimbo za Injili (Gospel Artists), vikundi vya kwaya na bendi. Nyinyi mnaotunga na kuimba nyimbo za Injili, nyimbo za sifa na kuabudu lakini maisha yenu ni...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Starehe - Ferooz & Prof J “Starehe mnazipenda ila mwisho wake mbaya, wengi wameteketea kwa kuendekeza umalay**a , vipimo vinaonyesha ni kweli umeathirika, I am very sorry kupoteza nguvu ya Taifa”...
10 Reactions
77 Replies
2K Views
HADITHI FUPI - S01E01 "KANGA" - [Rudisha Kwa Mhusika] Mtunzi. Xavery Luoga (Mkandarasi) Na. +255672493994 ___________________ Atuganile Chamse, mrembo aliyeshindana na mumewe kwa muda mrefu...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
MOVIE KALI YA KUTISHA 🔥🔥 Mtoto wa AJABU movie Kali ya kutisha Sio kila mtoto wa kuishi naye wengine ni majini wazazi walijuta kwanini walimuokota huyu mtoto 🔥🔥🔥 Hii movie usipokimbia basi wewe...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Justin Kalikawe, ni moja ya waasisi wa muziki wa reggae ya Kiswahili. Na moja ya wasanii wa muziki wa Kiswahili waliosumbua sana mwanzoni mwa miaka ya 1990. Justin Kalikawe, alitamba zaidi na...
22 Reactions
133 Replies
46K Views
Back
Top Bottom