Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Simulizi za kusisimua na fundisho kwa vijana:kijana alivyoingia kwenye mtandao wa wizi wa magari – Safari ya Subaru Legacy ya Gongolamboto hadi Arusha Baada ya kumaliza kidato cha nne mwaka 2019...
4 Reactions
53 Replies
5K Views
[Chorus – Phyno] Chineke Nna emegokwa nwa ogbenye Ezege Everyday by day I just dey celebrate oh (eh) Everything I do e just dey penetrate oh I just want to say o thank you Jehovah oh See I'm...
0 Reactions
3 Replies
423 Views
SURA YA KWANZA MLANGO WA TANO MIAKA MITATU BAADAE TSS HQ-DAR ES SALAAM Nchi ilikuwa imetulia na kurejea katika hali yake ya utulivu kama ilivyokabidhiwa na waasisi wa taifa...
0 Reactions
2 Replies
672 Views
Karibuni sana wapenzi wa simulizi, Leo naitambulisha kwenu simulizi hii iitwayo "MWACHENI AISHI." Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya maisha kwa ujumla, vimbwenga...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
SURA YA KWANZA: DAMU YA UFALME Mimi ni Triza, binti wa saba wa Mfalme Himza wa Peru. Katika kasri letu kubwa lenye kuta nene za dhahabu na mawe mazito, mimi na dada zangu tumeishi maisha ya hofu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ferre Gola - Marathon Hatari
0 Reactions
13 Replies
657 Views
GOLDEN BOY SEHEMU YA 1 MWANDishi NI JAXWIZZY What'sapp no 0793538082 Jua lilikuwa linatua kwa upole, likipaka anga la Istanbul kwa rangi ya dhahabu na machungwa. Bahari ya Marmara iling'aa...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Mtunzi: Washawasha Ilikuwa ni jumamosi moja tulivu,nikiwa nimetulia mjengoni naangalia match ya man utd ambayo nayo alipigwa na kuzidi kutuchanganya sisi mashabiki wake wa kuvuta kwa manati...
4 Reactions
14 Replies
26K Views
Wakati Dr. Dre anapelekewa Eminem ili amsaini, alimshangaa, hakuwa akiamini kama Mzungu huyo angeweza kuchana kama watu weusi lakini alipomsikiliza, sasa akawa na uhakika alimpata mwamba, mtu...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Salamu wakuu kwenye jukwaa la burudani. Maisha ya mwanadamu ni mafupi, hivyo hata kama hatuna kipato kikubwa hatuna budi kujitafutia furaha sisi wenyewe maana muda hausimami na umri unaenda. Si...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Mtunzi Prince Oscar. "We Doreen," mama aliniita kwa sauti ya ukali. Sikutegemea kumkuta yuko macho muda huo japokuwa alikuwa chumbani kwake. Ilikuwa saa nne usiku. Kwa kawaida mama ikishafika...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
MOVIE ITAKAYO KUTOA MACHOZI MWAKA 2025 Movie Kali yenye historia ya kweli ndani yake baharini Kuna Tisha sana kijana aliyekufa na kukufuka baada ya kushindwa kujiokoa kazini 👇🏾...
2 Reactions
5 Replies
950 Views
Tangu udogoni ndie alikua rapa wangu pendwa kabisa karibu nyimbo zake zote nilikua nazijua kama si kuziimba Siku Moja nakumbuka nilisevu hela kidogo kidogo nilizokua napewa za shule nikaweza...
2 Reactions
0 Replies
657 Views
Hadithi: MAJARIBU Mtunzi:Mwaki Ze Done (0653814440) UTANGULIZI: Ni hadithi inayomzungumzia kijana mdogo wa kuitwa majaribu. Wakati akijaribu kuyakimbia matatizo yake akakutana na majaribu...
2 Reactions
15 Replies
10K Views
Scott baada kukosea kumuua mtu ambaye asiyenahatia alikasirika na kuamua kuachana na Ujambazi ila kilichomkuta hakutamani Tena kuishi Nchini marekani. Movie kamili 👇 👇 👇 https://youtu.be/WItzfpp8ysE
0 Reactions
3 Replies
389 Views
Hi! once again fellas, mimi ndiye yule mwandishi wa simulizi za kijasusi kama ULIMWENGU WA WATU WABAYA, I WANT TO DIE JUDGE, GEREZA LA HAZWA, NYARAKA NAMBA 72, JIJI LA KAMARI, NAFSI ZILIZO...
7 Reactions
222 Replies
92K Views
Yafutayo ni Mashair ya muda mrefu yanayoishi Hadi sasa.; Babylon System Lyrics We refuse to be What you wanted us to be We are what we are That's the way it's going to be, if you don't know You...
1 Reactions
0 Replies
330 Views
Nnapo flow Kama slow motion Ni -soo utadhani abortion Natokea Lake Victoria Flow zaidi ya Indian Ocean Na-make Hit Songs Bila msaada wa Promotion Huku na-spit Mother Tongue Maiki nai-grab kama...
2 Reactions
5 Replies
400 Views
Lyrics Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu Tanzania Jina lako ni tamu sana Nilalapo nakuota wewe Niamkapo ni heri mama wee Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote. Tanzania...
4 Reactions
6 Replies
20K Views
Je, umewahi kushuhudia au kusikia kuwa Bamedi kaolewa? Leo nimeona niwashuhudie habari hii niliyopitia, ambapo kwa dhamiri yangu toka moyoni nilikusudia kumuoa binti mmoja ambaye ni bamedi na...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom