Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama wewe ni mpenzi wa filamu mkongwe ebu weka neno kwa huyu mwamba hapa! Binafsi ni mhusika wangu namba moja kwa kumchukia.
4 Reactions
6 Replies
438 Views
Nimpole, mnyenyekevu, handsome, tajiri mwenye mke na watoto wa3 ana miliki club kubwa (Truth) na maarufu ndani ya NYC (New York City), but behind closed door ni drug dealer mkubwa mjini...
13 Reactions
57 Replies
2K Views
Movies/Sinema/Series nyingi pendwa na zenye kutamba unakuta zimegewa a.k.a ambazo hufanya watu wasijue jina halisia... Leo nataka watu mtaje a.k.a /majina ya utani ya hizo sinema wengine...
5 Reactions
84 Replies
3K Views
Bagaili ya mambo yote, lengo la mwandishi kuandika kisa hiki anisi siyo kuwapa daawa wasichana makahaba waliyoamua kutumia miili yao kama njia ya kujipatia kipato, la hasha! Bali ni kueleza kwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mwenye vibao kama hivyo vyenye ujumbe pamoja na melodies kali naziomba
1 Reactions
2 Replies
236 Views
Hii haikustahili kuwa hapa lakini kabla matokeo ya Big Brother Africa ambapo Mtanzania mwenzetu Richard amefanikiwa kuingia Fainali nadhani tujaribu kutoa mawazo kabla matokeo rasmi hayajatolewa...
2 Reactions
102 Replies
18K Views
Kwanza shikamoni wakubwa waliochini ya hapo habari zenu ndugu. Kwa majina naitwa Aman Ibrahim mimi ni msanii na mwandishi pia wa nyimbo. Kiukweli nina kipaji cha muziki japo naelewa kuwa wapo...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello, JF Members, Kama wewe ni shabiki mkubwa na number one die hard fan wa Hilary Swank na Alan Ritchson basi hii movie ya Ordinary Angels (Malaika wa Kawaida) sio ya kukosa. Ordinary Angels...
8 Reactions
18 Replies
830 Views
inaitwa hurry up tomorrow kuanzia hii wake me up na Sao Paulo kamshirikisha bidada kutoka Brazil anaitwa Anita Album kalii sana.
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Wazee, mnakumbuka Horror moja ya kitambo 2002 inaitwa "28 Days Later" inamuhusu mwana mmoja ameamka hospital alikua kwenye coma karibia mwezi mzima anakuta Hospital hakuna ata mtu mmoja. Sio...
1 Reactions
1 Replies
385 Views
Kina sinza pazuri na genge lake. Hawa hapa chini.....
0 Reactions
0 Replies
311 Views
Wakuu, Tafadhari sana usilike wala ku reply chochote katika uzi huu kwani ukireply au kulike utanikosesha milioni 10 niliyobeti kuwa uzi wangu ukikaa miaka mitatu hakuna aliyereply wala ku like...
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Hii ni thread maalum ya kukuunganisha na mastory mbalimbali ya zamani, nyingi zikiwa ni zile tulisimuliwa na Deborah Mwenda akisaidiwa na Eddah Sanga kwenye kipindi cha Mama na mwana, Radio...
21 Reactions
73 Replies
48K Views
Muda si mrefu wasanii wa Bongofleva watasitisha utaratibu wa kuwaruhusu wasanii wa singeli kufanya singeli versions za nyimbo zao kwa sababu kila wakifanya, singeli version zinakuwa hit kuliko...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Wajuzi Roga Roga, Tonydigital na wengineo naomba kueleweshwa tofauti ya hawa wapiga gitaa wawili ni yapi ( solo vs lead guitar)
0 Reactions
2 Replies
327 Views
Hello Wana JF. Naombeni mniongezee list ya series Nzuri kulingana na series nilizobahatika kuangalia. Series nilizowahi kuangalia ni Kama ifuatavyo 1.Tyrant 2.Ozark 3. 24 4. Queen of the south...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
Sitaisahau hii siku ni miaka mingi 1988 , pale Drive inn Cinema zilipo ofisi za Zantel,Msasani. Tumetoka mtoko wa jioni na mzee wetu kuangalia filamu ambayo siikumbuki ila ninachoku.buka kabla...
29 Reactions
150 Replies
5K Views
La kayote, Le Baron, za, Heritiel wata, Assoccie, MH, traveling love za Fally ipupa, Kama kuna mtu ana ngoma Kali kama hizi, tushindane,
0 Reactions
1 Replies
270 Views
Baada ya ile ajali tuliopata siku kadhaa zilizopita hii ndiyo nyimbo inayonibariki zaidi, hakika Mungu ni mwema nitamshukuru siku zote👇👇
1 Reactions
8 Replies
888 Views
Ni Wimbo wa Roman Catholic unaanza na mtu anaongea maneno harafu wanaanza kuimba wimbo unaitwa Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu utuhurumie sisi na Dunia nzima Ntaweza kuupakua wapi!? msaada...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom