Nimpole, mnyenyekevu, handsome, tajiri mwenye mke na watoto wa3 ana miliki club kubwa (Truth) na maarufu ndani ya NYC (New York City), but behind closed door ni drug dealer mkubwa mjini...
Movies/Sinema/Series nyingi pendwa na zenye kutamba unakuta zimegewa a.k.a ambazo hufanya watu wasijue jina halisia...
Leo nataka watu mtaje a.k.a /majina ya utani ya hizo sinema wengine...
Bagaili ya mambo yote, lengo la mwandishi kuandika kisa hiki anisi siyo kuwapa daawa wasichana makahaba waliyoamua kutumia miili yao kama njia ya kujipatia kipato, la hasha!
Bali ni kueleza kwa...
Hii haikustahili kuwa hapa lakini kabla matokeo ya Big Brother Africa ambapo Mtanzania mwenzetu Richard amefanikiwa kuingia Fainali nadhani tujaribu kutoa mawazo kabla matokeo rasmi hayajatolewa...
Kwanza shikamoni wakubwa waliochini ya hapo habari zenu ndugu.
Kwa majina naitwa Aman Ibrahim mimi ni msanii na mwandishi pia wa nyimbo.
Kiukweli nina kipaji cha muziki japo naelewa kuwa wapo...
Hello, JF Members,
Kama wewe ni shabiki mkubwa na number one die hard fan wa Hilary Swank na Alan Ritchson basi hii movie ya Ordinary Angels (Malaika wa Kawaida) sio ya kukosa.
Ordinary Angels...
Wazee, mnakumbuka Horror moja ya kitambo 2002 inaitwa "28 Days Later" inamuhusu mwana mmoja ameamka hospital alikua kwenye coma karibia mwezi mzima anakuta Hospital hakuna ata mtu mmoja. Sio...
Wakuu,
Tafadhari sana usilike wala ku reply chochote katika uzi huu kwani ukireply au kulike utanikosesha milioni 10 niliyobeti kuwa uzi wangu ukikaa miaka mitatu hakuna aliyereply wala ku like...
Hii ni thread maalum ya kukuunganisha na mastory mbalimbali ya zamani, nyingi zikiwa ni zile tulisimuliwa na Deborah Mwenda akisaidiwa na Eddah Sanga kwenye kipindi cha Mama na mwana, Radio...
Muda si mrefu wasanii wa Bongofleva watasitisha utaratibu wa kuwaruhusu wasanii wa singeli kufanya singeli versions za nyimbo zao kwa sababu kila wakifanya, singeli version zinakuwa hit kuliko...
Hello Wana JF.
Naombeni mniongezee list ya series Nzuri kulingana na series nilizobahatika kuangalia.
Series nilizowahi kuangalia ni Kama ifuatavyo
1.Tyrant
2.Ozark
3. 24
4. Queen of the south...
Sitaisahau hii siku ni miaka mingi 1988 , pale Drive inn Cinema zilipo ofisi za Zantel,Msasani.
Tumetoka mtoko wa jioni na mzee wetu kuangalia filamu ambayo siikumbuki ila ninachoku.buka kabla...
Ni Wimbo wa Roman Catholic unaanza na mtu anaongea maneno harafu wanaanza kuimba wimbo unaitwa Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu utuhurumie sisi na Dunia nzima
Ntaweza kuupakua wapi!? msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.