Hi
Mimi binafsi huyu jamaa sikubaligi hata kidogo kwanza ana mdomo mchafu hana lugha mzuri mbele za watu hata kwa familia yake ilo lipo wazi
Chaajabu yanga wanaendelea kumbeba kwanini...
Leo nimewatoa madogo kwenda kuangalia movie waliokuwa wanaisubiria kwa hamu sana ya Minecraft
Aisee, sikujua kumbe leo ndio ilikuwa onyesho la kwanza nchi nzima
Huo Mzuka nilioukuta humo ndani...
By SHANWA, 1967.
SURA YA KWANZA
MGENI ANATOKEA
TEGU, mwana wa Goja, alisimama kwenye ardhi iliyoinuka ambayo iliyatenga mabonde ya Ugweno na Usangi, mahali alipozaliwa. Ingawa alikuwa mvulana...
RIWAYA: DHAHAMA
SURA YA KWANZA
Hali ya simanzi ilikuwa imetawala katika eneo zima la kasri la kupendeza la kifalme katika himaya ya Majichungu inayopatikana katika bahari ya...
Huyu Mwanamke sijui wanaume tulimkoseaga nini? Sijui Marehemu Gadner alimfanya kitu gani bibiye? Ama wajomba wengine walimfanyia mambo yapi kiasi kwamba kila chuma lazma avunje yai viza kwa...
MOVIE TIME REVIEW 🔥🔥.
KISASI CHA MAPENZI KILIPELEKEA MBABE SALMAN KHAN AANZE KUTEMBEZA KICHAPO KITAA KIZIMA MOVIE KALI SANA
KAMA UNA MPENZI WAKO SIO MBAYA MKATIZAMA WOTE MAANA HUMO NDANI WATU...
Moja ya habari ya mjini iliyovuma sana wakati wa uchaguzi mkuu oktoba 25 mwaka huu ni kuwepo kwa tuhuma za pesa ambazo Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), FREEMAN AIKAEL...
Huyu bidada kwenye hii alijua kunivuruga!, lala salama huko ulipo!.
Hii R&B hapa bongo binafsi kwangu ndio best R&B ever!, mpaka sasa sijaona mpinzani kuanzia beat mpaka mashairi heko kwako...
Nimeangalia series zifuatazo
1. Game of Throne
2.Tyrant
3. Godfather of Harlem
4. Banshee
5. Ozark
6.Narcos
7.Elchapo
8. 24 jack Bauer
9.Rome
10.Breaking Bad
Naomba mnitajie series nzuri...
Baada ya kuona watu wanazisifia sana hizi series mbili ikabidi nizitafute.
Itoshe kusema breaking bad ni bonge la series.
Game of thrones nayo iko vizuri japokuwa sio kama breaking bad.
Msimu...
Kendrick Lamar's Super Bowl Performance: Record-Breaking Viewership, Mixed Reactions, and Streaming Surge
Introduction
Kendrick Lamar's performance at the Super Bowl LIX Halftime Show has become...
Achana na jamaa anaependa kujiita King,,haja Fanya kitu chochote kwenye Rap Game ya Bongo,,but kwa Ngosha,Bandidu,Jasiri.,mwanamalundi..ndio Real MC kwenye Game,,size yake wengi wapo hoi kwa...
MOVIE KALI YA WEEKEND 🔥🔥
Mfanya Usafi aliyegeuka shujaa mbele ya matajiri baada Maboss wakubwa kutekwa sio poa Iko YouTube
Movie mkono mda wote 🔥🔥🔥 unahitaji kuidownload itafute sasa
Video...
Note; hii Ni story ya kweli kabisa imemkuta one of my close friends, nilimuomba kuipost kwa ahadi ya kuficha utambulisho wake na ameruhusu, kuna la kujifunza hapa. Twende kazi.
Naitwa Bella (sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.