Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Anaitwa James Cameron kazaliwa Agosti 16,1954(70) nchini Canada sehem iitwayo Ontario. Kwenye sanaa ambayo alianza kuifanya mwaka 1978 yeye ni mhariri, mwandishi na muongozaji wa filam na tamthlia...
2 Reactions
0 Replies
350 Views
Nilikuwa youtube hapa nasikiliza ngoma mbalimbali zilizopendwa. Ukaingia wimbo wa Hunifahamu ulioimbwa na Dully Sykes, mwishoni Dully anataja mwaka 2005 ambao ametoa wimbo huo . Nikashtuka leo...
9 Reactions
13 Replies
819 Views
Nayajua Maisha yangu mpaka TONGWE kama muvii..oooh kaa tayar...oooh... action...oohh.... Naanza mwisho kwenda mwanzo.... NGOMA Ina goooo...goooo.. nayajua Maisha yangu mpaka tongwe Kama muviiii...
8 Reactions
132 Replies
4K Views
JINA LA SIMULIZI.......................LISA WHATSAPP.....................0628924768 SPONSORED BY.. SIMULIZI ZA DULLY SURA YA .......................................1&2 SURA YA 1 “Paah!” Kofi...
8 Reactions
1K Replies
405K Views
Jina langu ninaitwa Soka (sio jina halisi) na kwetu ni huko Moshi uchagani. Nilisoma kwa shida na kufanikiwa kupata elimu ya Sekondari na kisha kujiunga na mafunzo ya ualimu katika chuo cha...
58 Reactions
807 Replies
171K Views
Ndugu zangu wahaya. WIMBO huu unapendwa sana na WATANZANIA ulikuwa maarufu enzi hizo na mpaka sasa ni maarufu. 1. Naomba history yake. 2.Naomba mashairi yake. 3.Naomba tafsiri yake. 4. Naomba...
1 Reactions
18 Replies
7K Views
Hawa ni baadhi ya watu ambao wanaweza kucheza character ya Avatar Aang kwenye filamu za Avatar ATLA, Je kwako yupi anafaa zaidi? 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. This is parody...
1 Reactions
2 Replies
284 Views
Wakongo wakiwa kwenye ubora wao walitutendea haki wapenda LIVE SHOWS. Hadi hadi wapiga gitaa na vyombo vingine wana mizuka ni laana. 1. Werrason and his group in Zenith, Paris 2002...
3 Reactions
17 Replies
609 Views
Ukiachana na msiba wa Zahara basi huu ni msiba mwingine ambao unazidi kutuumiza na kutupunguzia vipaji ndani ya Afrika. Yolanda Nyembezi amefariki akiwa na umri mdogo kweli tena akiwa kwenye peak...
2 Reactions
10 Replies
743 Views
devil stays movie Download After the sudden tragic loss of his daughter following an exorcism, a renowned heart surgeon refuses to face the reality that his child has died, despite declarations...
2 Reactions
1 Replies
290 Views
1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. This is just a parody 🤣 don't take it seriously 🙄
1 Reactions
3 Replies
314 Views
1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10.
2 Reactions
12 Replies
552 Views
Jamani wakulungwa hatujambo humu! Natumai wote mko powa kabisa, jamani kuna uyu mwanadada anaitwa Lady Isa nakumbuka kuna kibao chake kimoja nilikuwa nakipenda sana kama sikosei ni tamaa iliua...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Muigizaji maarufu wa Korea Kusini, Kim Soo Hyun, yuko katika hatari ya kupoteza zaidi ya dola milioni 13 baada ya madai kuibuka kwamba aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji Kim Sae...
0 Reactions
1 Replies
471 Views
Natafuta mtu wa kufundisha mdogo wangu music production Dodoma aniachie namba
0 Reactions
0 Replies
259 Views
Wadau, True story movies zinakuwa nzuri na zenye mafundisho ya maisha tunayoishi kila siku, Weka list yako ya movie yoyote unaijua ambayo ni tukio la kweli lililotekea past au ni story ya mtu ya...
11 Reactions
92 Replies
15K Views
Top 50 war movies. 1. Saving Private Ryan (1998) 2. Apocalypse Now (1979) 3. Full Metal Jacket (1987) 4. Platoon (1986) 5. Black Hawk Down (2001) 6. Das Boot (1981) 7. The Thin Red Line (1998)...
7 Reactions
30 Replies
16K Views
Kama una bando la kutosha, anza mdogo mdogo. Futa ambazo tayari. Halloween Halloween 2 Halloween 3 Halloween 4 Halloween 5 Halloween: The Curse of Michael Myers Halloween H20 Halloween...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni Professional African painting artist, kuanzia Leo nitakua naleta Mfululizo wa Makala mbalimbali kuhusu fani hii ya Uchoraji, kuwafanya Watanzania waijue vyema Sanaa hii, ikibidi kuipa...
4 Reactions
19 Replies
6K Views
Niko underground ndani ya town sina papara/ full mkoba taratibu ndani ya msafara/ usilete mkwara ipo siku nitatawala/ wakati umefika nimekita kama namadala / kenge wengine wote mi nawaona mafala/...
1 Reactions
4 Replies
754 Views
Back
Top Bottom