Nasema haya baada ya siku mbili hivi kutoka kwa ngoma kali sana za wasanii wachanga ama unaweza kuwaita wadogo, wasaniii wenye uwezo halisi wa kutengeneza muziki na mashairi yalioshiba. Wanaopenda...
Wakuu wa JF, nina swali na naomba niliwasilishe kwenu.
Kila wakati nikicheki majukwaa makubwa ya burudani husasani ya muziki huwa kuna ule moshi unapitapita sa nauliza uwa una maana gani?
"swali...
Zimekuwepo lawama nyingi sana dhidi ya maDJ wa redio kutopiga muziki wa dansi na kupendelea bongofleva. Sasa mimi nawaambia acheni kulalamika fanyieni kazi maoni yetu wapenzi wa muziki wa dansi...
*TAFSIRI LINGALA KWA KISWAHILI*
Banga makambo oh
Nga na bangi makambo
Bapekisi nga makasi
Nakeba bandeko
Ogopa matatizo oh
Mimi nimeogopa matatizo
Wamenikataza
Naepuka ndugu zangu
Noki natika...
Ni bahati mbaya sana watanzania hatupendi kukumbuka au kuenzi kazi za wasanii wetu.leo naonyesha mfano kwa kumkumbuka msanii aliyewahi kuwa maarufu JUMA NATURE haswa katika album yake ya UGALI...
Ni usiku wa manane, Diamond yupo chumbani kwake, alikuwa amechoka, usingizi haumpati kwa sababu anaifikiria safari yake atakayoianza kesho kuelekea kwenye matamasha yake nchini Marekani.
Kichwani...
Billboards Charts, wametoa list ya Album bora 100 za muongo wa 2010-2019. Na at the top ni Album ya Kanye Omary west My Beautiful Dark Twisted Fantasy (2010).
Disclaimer: Binafsi mimi mwenyewe...
Habari za saizi wakuuu
Kwa mtazamo wangu na kwanilivyo mskiza vizuri huyu kijana hamisi ndo mshindi wangu wa mwaka huu BSS.
Anajua kupiga guitar na kuimba anajua.
[emoji116][emoji116][emoji116]Video
Mwezi uliopita kabla ya tarehe 16 mmenitumia sms kwamba nikilipa kifurushi cha compact+ mapema kabla hakijaisha nitapata ofa ya Chanel za premium kwa muda wa siku 30 bure.
Kifurushi kilikuwa...
Hi everyone in here,
Kuna siku kwenye college yetu kulikuwa na concert, miongoni mwa wanamziki waliokuja ni the legend Dr. Dre. Baadae baada ya tamasha, nilipata fursa ya kukutana nakuongea naye...
Wakuu kama unakipaji cha kufanya stand up comedy au kuna mtu unamfahamu na ni mbunifu anaweza kufanya punchline kali basi niPM. Soon nakuja na hii kitu na tayari nimeshaweka miundombinu including...
Hapa alikuwa akihojiana na radio citizen ya Kenya, Sikiliza hii sababu ya huyu kijana kuufuta wimbo wa Uno kwenye YouTube.
1. naona kama kiki
2. sababu ingine ukimsikiliza mpaka mwisho utagundua...
Email. nipenguvu@gmail.com
Instagram. nipenguvu
“Ee bwana wangu! Nisahidie mimi mja wako”. Ilisikika sauti ya hofu kutoka kwa mama mmoja akiwa kanisani huku akiwa anatetemeka.Siku hiyo ilikuwa...
Mimi naamini kwamba katika nchi iliyojaaliwa vipaji vya kila aina basi nchi yetu ya Tanzania nayo imo, tena top ten. Kuanzia mziki, actor's wazuri wa film nk. Lakini kitu kikubwa tunachoshindwa ni...
Kiufupi tu, tunaomba huyu kijana mrudisheni apambane. Mnataka kipaji gani, kama mnataka pesa uwepo wake mnahisi utawaharibia ushindani kwakua anajua sana kwaiyo watu hatutapiga kura semeni.
Kwa wanao mfahamu huyu msanii ni moja kati ya wasanii walio chora tatoo nyingi sana mwilini mwake. Haya sasa inasemekana zimeanza kumpa shida anatia huruma. Aisee acheni kabisa.