Bongo Stand up comedy show

maroon7

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
11,142
15,130
Wakuu kama unakipaji cha kufanya stand up comedy au kuna mtu unamfahamu na ni mbunifu anaweza kufanya punchline kali basi niPM. Soon nakuja na hii kitu na tayari nimeshaweka miundombinu including kununua usafiri kwa ajili ya comedians kwa ajili ya kufanya show miji yote mikubwa, tayari director na producer wa vipindi vya show zetu ili kuruka kwenye tv kila wiki wapo tayari na soon mtaanza kuona kazi zetu.
Hii ni habari njema kwa wapenda live show za stand up comedy na haya ni mapinduzi, mtashuhudia vipaji vingi vikiibuliwa ambavyo vitaenda kimataifa.
 
Napenda sana stand up comedy ila kwa bongo nashangaa tunashindwa sana.. comedians wengi ni kawaida sana.. hii imenifanya niwe mpenzi wa comedians wa kenya kwenye churchill show wakina profesa hamo.. ila big up mkuu kwa hili kaza uibue vipaji..
 
Mhhh, binafsi si mchekeshaji na pia nahofia utapata watu dizaini ya MC Pilipili. Bongo hakuna a true Comedian yaani asilimia kubwa ya comedians wa hapa ni opportunists, hawachekeshi na their humor is so fucking pathetic. Ngoja nimtumie Le Mutuz a.k.a. Mr. Makinikia huu ujumbe wako kwani yeye kidogo anachekesha kwa vituko na uvaaji wake akiwa stejini. Jiadhari anaweza kuja kavaa dera aliloshonesha kuwa boxer.
 
Hii project ili materialize au ilifanikiwa kufarik kabla haijaanza ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom