Massu by TP OK JAZZ.....Enjoy

Massu by TP OK JAZZ.....Enjoy

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,246
Reaction score
1,883
1) Massu tozalaki kotambola eh.
Tozalaki misato na groupe.
Toyebanaki manso ya mokili.
Tokabwanaki po na nini eh.
Matongi elekaki biso mbeka eh.
1).masu tulikuwa tukitembea pamoja eh
tulikuwa watatu kwenye kundi
tulijuana katika maisha yetu
tulitengana kwa nini eh
maneno yalizidi kati yetu eh


2) Massu tozalaki kotambola eh.
Tozalaki misato na groupe.
Toyebanaki manso ya mokili.
Tokabwanaki po na nini eh.
Matongi elekaki biso mbeka eh.

2).masu tulikuwa tukitembea pamoja eh
tulikuwa watatu kwenye kundi
tulijuana katika maisha yetu
tulitengana kwa nini eh
maneno yalizidi kati yetu eh

3) Massu tozalaki kotambola na yo.
O inventele nga nde makambo.
Makambo ezanga moto na makolo.
Okumbisi nga ngambo epayi ya mwasi ya ngana eh.
Massu, talaka bato yo okofinga eh.

3) Masu tulikuwa tukitembea pamoja
umenisingizia mimi matatizo.
mambo yasiyo na kichwa wala miguu
umenisababishia matatizo kwa mwanamke wangu eh.
Massu, uwe unatazama nawatu wa kuwateta eh.

4) Massu tozalaki kotambola na yo.
O inventele nga nde makambo.
Makambo ezanga moto na makolo.
Okumbisi nga ngambo epayi ya mwasi ya ngana eh.
Massu, talaka bato yo okofinga eh.

4) Massu, tulikuwa tukitembea pamoja.
umenisababishia mimi matatizo.
mambo yasiyo na kichwa wala miguu
umenisingizia matatizo kwa mwanamke wangu.
Massu, angalia na watu wa kuwateta.
Ala..

5) Eloko ebomaki bokamarade kaka songisongi.
Eloko ebomaki bokamarade kaka songi songi.
Soki na zui ya ngai moto.
Akotuna ngai, apesi ngai nini.
Ako tuna ngai, lobi nalambaki nini.
Akotuna ngai, lobi nalataki nini.
Akotuna ngai, biro ya mobali nini.
Massu, talaka moto yo oko tonga eh.

5) jambo linalouaga urafiki ni umbea x 2...
kama nikimpata mtu wangu(mpenzi).
ananiuliza, amenipa nini.
ananiuliza jana nilipika nini.
ananiuliza, jana nilivaa nini.
atauliza. Kazi ya huyo mwanaume ni ipi.
Massu, angalia mtu wa kumtukana.

6) Eloko ebomaki bo kamarade kaka makambo eh ya motindo yahi.
Eloko ebomaki bo kamarade kaka makambo eh ya motindo yahi.
Otonga moto eh, otiya ngai na kati.
Ofinga moto eh, otiya ngai na kati.
Oseka moto eh, kombo na ngai na kati.

6) jambo linalovunjaga urafiki ni mambo ya namna hii.x 2
unapomteta mtu eh, unanitia mimi kati.
unapomtukana mtu eh, unanitia na mimi kati(unanitaja)
unamcheka mtu eh, unanitia kati.

7) Soki ba tuni yo,
obandi nayo koyangana eh.
Massu, talaka moto yo okotonga.

7) wakikuuliza,
unaanza kukataa.
Massu, angalia mtu wa kumteta.
 
Back
Top Bottom