umeona eeeh jamaa anastahiliHe is talented hakuna haja ya mashindano ya BSS 2019 wampe dogo tuzo na mkwanja basi
Hapo dogo bado ajakutana na walimu nini unategemea,
Wakimzingua aje uku hotel kubwa kubwa apige hotel kubwa kubwa kipindi tunakuywa wine na whisky yeye anaburudisha kwa gitaa elfu kumi kumi zetu atazichoka
Interview unaenda na ndala?....jiulize!!Ko unataka utuambie ilipangwa au BSS unaruhusiwa kuingia umevaa vizuri tu au??
Unataka a fake wakati yupo really...... Kibarakashia, mavazi yake, jina lake na anapotokea vinaonyesha anaishi maisha gani.Interview unaenda na ndala?....jiulize!!
Ko unataka utuambie ilipangwa au BSS unaruhusiwa kuingia umevaa vizuri tu au??
HahaaaKo ndio nini chinga??
Ko ndio nini chinga??
Kama wewe ni binti sawa. Ila kama ni mwanaume na unaandika ko huo ni ushoga sikufichi mdogo wangu.Ko unataka utuambie ilipangwa au BSS unaruhusiwa kuingia umevaa vizuri tu au??
Hakuna hapo wakumshinda dogo msanii alafu kipaji wampatie tu hiyo 50umeona eeeh jamaa anastahili
😀😀😀😀 duKumbe ni mshindi wako, kwa upande wangu mshindi ni yule wa kusema "kanyaga mademu wa bongo muvi, Shaa wa Master Jay kanyaga"