REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 5,246
- 11,459
Kiufupi tu, tunaomba huyu kijana mrudisheni apambane. Mnataka kipaji gani, kama mnataka pesa uwepo wake mnahisi utawaharibia ushindani kwakua anajua sana kwaiyo watu hatutapiga kura semeni.
Hicho ni kipaji kinaitaji endelezwa na kipaji anacho so ana uwezoAnaimba kawaida.. binafsi namuona wa kawaida tuu sanaa
Atoe gitaa .anaimba kawaida sana wabongo sijui wakojeLabda tuu kimuonekano kama anatia huruma... Ila anaimba kawaida
Kwa anayefahamu muziki, hapo hataangalia sana jinsi alivyoimba bali hiyo sauti! Ni very powerful voice, na ni wachache sana wanakuwa na sauti yenye nguvu namna hiyo!! Hiyo ni sauti ya kuzaliwa nayo, mengine YOTE yanafundishika!Anaimba kawaida.. binafsi namuona wa kawaida tuu sanaa
Hicho ndio kitu pekee Hamis anacho vocal haimbii puani kijana yupo vizuri hawa kina madam Lita wanaangalia business siyo vipaji uyu dogo uwepo wake wanahisi atawaharibia biashara cause watu hatutatizama wengine so ushindani utapotea dawa dogo atoke tuanze bahatisha bahatishaKwa anayefahamu muziki, hapo hataangalia sana jinsi alivyoimba bali hiyo sauti! Ni very powerful voice, na ni wachache sana wanakuwa na sauti yenye nguvu namna hiyo!! Hiyo ni sauti ya kuzaliwa nayo, mengine YOTE yanafundishika!
Ana uwezo kuliko wengine? Hayo ni mashindano so huruma wekeni pembeniHicho ni kipaji kinaitaji endelezwa na kipaji anacho so ana uwezo