Hivi karibuni nimeona kwenye baadhi ya vipindi vya Clouds vikirusha madongo na kumpiga majungu Diamond Platnumz.
Ushauri wangu: Clouds kama ngoma za Diamond hampigi kuna haja gani ya kumzungumzia kitu gani kinachowafanya mteseke na Diamond.
Mbona wasanii wengi tu hampigi ngoma zao lakini hamuwazungumzii, mfano Jide inakuwaje kwa Mondi? Achaneni na Mondi, Media kama yenu kushindana na mtu mmoja inaonesha jinsi gani Media yenu ilivyoshuka.
Ushauri wangu: Clouds kama ngoma za Diamond hampigi kuna haja gani ya kumzungumzia kitu gani kinachowafanya mteseke na Diamond.
Mbona wasanii wengi tu hampigi ngoma zao lakini hamuwazungumzii, mfano Jide inakuwaje kwa Mondi? Achaneni na Mondi, Media kama yenu kushindana na mtu mmoja inaonesha jinsi gani Media yenu ilivyoshuka.