Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 33,661
- 97,354
Wakuu habari.
Kila siku uwa najiuliza, mbona hii sekta ya Bongo movie haikui kabisa? Yaani miaka nenda rudi ipo palepale?
Mfano, angalia muvi za Shumileta au Nsyuka za horror miaka ile na angalia za recently, tofauti ni ndogo sana.
Niliangalia movie za wenzetu za mwaka 1950 bado acting yao hatuwezi ifananisha na yetu wakati kuna tofauti zaidi ya miaka 70.
Zamani nilidhani tatizo ni technology kwamba yetu ndogo, ila nimegundua sio issue iyo tu. Camera wanazo nzuri tu, na vifaa vingine vipo vizuri tu.
Mimi naona tatizo kubwa hapa ni wasanii wenyewe kutokua serious, wengine kulazimisha vipaji, elimu za wale walio nyuma ya camera (camera man, producers, na crew members wengine) maana hawa nao wana play role kubwa sana.
Ushauri badala ya kuoneshana Instagram kwamba wana maisha mazuri, wangejitahidi kupata elimu kusomea vitu kama u-producer, u-director, etc ata kwenda nchi za jirani kuchukua course.
Tasnia ya muziki Tanzania inaenda vizuri sana na we’re proud of that ila movie, dah!, tunadorora sana.
Kila siku uwa najiuliza, mbona hii sekta ya Bongo movie haikui kabisa? Yaani miaka nenda rudi ipo palepale?
Mfano, angalia muvi za Shumileta au Nsyuka za horror miaka ile na angalia za recently, tofauti ni ndogo sana.
Niliangalia movie za wenzetu za mwaka 1950 bado acting yao hatuwezi ifananisha na yetu wakati kuna tofauti zaidi ya miaka 70.
Zamani nilidhani tatizo ni technology kwamba yetu ndogo, ila nimegundua sio issue iyo tu. Camera wanazo nzuri tu, na vifaa vingine vipo vizuri tu.
Mimi naona tatizo kubwa hapa ni wasanii wenyewe kutokua serious, wengine kulazimisha vipaji, elimu za wale walio nyuma ya camera (camera man, producers, na crew members wengine) maana hawa nao wana play role kubwa sana.
Ushauri badala ya kuoneshana Instagram kwamba wana maisha mazuri, wangejitahidi kupata elimu kusomea vitu kama u-producer, u-director, etc ata kwenda nchi za jirani kuchukua course.
Tasnia ya muziki Tanzania inaenda vizuri sana na we’re proud of that ila movie, dah!, tunadorora sana.