Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,451
- 2,464
Huyu jamaa naweza kusema ni Roma wa Kenya, siku 3 viewers 1.3M kwa mwana hiphop haijatokea hapa Afrika Mashariki.
Tumezoea kuona pigo hili kwa kina Mondi na Kiba wasanii ambao wanaimba. Ni msanii gani toka TZ wa hiphop amefikia hii?? Jibu ni hakuna hata kwa Kenya hakuna Mgenge amewahi fikia hii.
Huenda mashairi yake ndio yamechangia au kitendo cha BBC kumriport kimeboost hiyo video yake? Karibuni jamvini
Tumezoea kuona pigo hili kwa kina Mondi na Kiba wasanii ambao wanaimba. Ni msanii gani toka TZ wa hiphop amefikia hii?? Jibu ni hakuna hata kwa Kenya hakuna Mgenge amewahi fikia hii.
Huenda mashairi yake ndio yamechangia au kitendo cha BBC kumriport kimeboost hiyo video yake? Karibuni jamvini