kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,696
- 2,159
Waungwana clouds FM kimewatokea nini? Mbona haina nguvu kama zamani? Namaanisha frequency zao siku hizi zipo chini sana uki tune station yao inafokafoka tu. Yaani kwasasa wanaopatikana bila kuinua antena ni RFA wasafi na TBC. Wakati mwanzo wao ndio walikua wanapatikana bila kuinua antenna.