B Dozen katudanganya

B Dozen katudanganya

herman joshua

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
2,298
Reaction score
3,985
Nkiwa kama moja ya wapenzi wakubwa wa kipindi cha XXL ya Clouds nlimsikia B Dozen akisema Nandy ni msanii aliyeongoza album yake ya the African Princess kuwa streamed Boomplay, kitu ambacho ni uongo.

Najua isingekuwa rahisi kumtaja Diamond as number one, ila siyo adanganye umma wa Watanzania, hasa ambao hawafuatilii mitandao ya kijamii.

2253679_78721694_2234606556833921_1833111662966959819_n.jpg
 
Clouds TV na East African radio presenters wanaishi maisha magumu sana......yaani wanajitahidi na kua makini wasizungumzie WCB na Diamond.
Hata kwenye interview,interviewer akitaja Diamond ama WCB kwa bahati mbaya ama nzuri jamaa wanaanza kuweweseka.

Issue ambayo inanichekesha ugomvi wa Diamond kwao wameuchukilia personal wakati wenzao wanauchukulia kupiga pesa.
Ni ujinga sana unamponda mtu na kujifananisha naye wakati amekuzidi kila kitu kuanzia pesa hadi dhambi.
"Chuki humpata yule anayechukia"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
OK OK,hawajamaa nadhan sikuhizi wanatoa huduma kwajili ya wananchi waishie vijini sana ,nawasio wasomi.kama wangekua wanatambua kwamba leo hii dunia village basi wasingejisahau sana ....vip uwanja wa sokoine ccm wanampango gani hua wanadai niwao....naona timu zinahamia kucheza kwa mtwa mkwawa
npo mbeya mwamba 88.5 clouds fm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo uliyoweka wewe ni ya Kenya sio ya Tanzania
Mondi anaongoza kuanzia Tanzania mpaka Kenya kwenye takwimu za boomplay wangekuwa wa kweli kuliko kujidanganya watu walikuwa wanawachora tu kulikuwa naubaya gani kusema ukweli nandy kashika nafasi ya 2 bila kumtaja wa 1?
 
Mondi anaongoza kuanzia Tanzania mpaka Kenya kwenye takwimu za boomplay wangekuwa wa kweli kuliko kujidanganya watu walikuwa wanawachora tu kulikuwa naubaya gani kusema ukweli nandy kashika nafasi ya 2 bila kumtaja wa 1?
Diamond amewaloga??

Diamond anaongoza Kenya na kwa Tanzania ni Nandy..
Screenshot_20191230-153104~2.jpeg
 
Sasa jombii Mbona hiyo uliyoeeka Ni ya Kenya? Ama siku hizi Ukambani kumekuwa madongo kuinama?
Usipende kukurupuka fanya uchunguzi kwanza
 
Wakati unasema dozen na mondi wanachukiana,kumbuka bdozen kamfollow mond na mond amefollow back,ni washkaji kwenye instgram.
 
OK OK,hawajamaa nadhan sikuhizi wanatoa huduma kwajili ya wananchi waishie vijini sana ,nawasio wasomi.kama wangekua wanatambua kwamba leo hii dunia village basi wasingejisahau sana ....vip uwanja wa sokoine ccm wanampango gani hua wanadai niwao....naona timu zinahamia kucheza kwa mtwa mkwawa

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaaa kuhusu hapa sokoinne platinum na Tulia wametuaidi kapeti jipya ko tutakosa burudan ya soka kwa mda
 
Wakati unasema dozen na mondi wanachukiana,kumbuka bdozen kamfollow mond na mond amefollow back,ni washkaji kwenye instgram.
cjasema dozen wanauadui na diamond naomba usome vzuri

Pia b dozen kumfollow mond sio ndo kwamba n marafiki coz cjawahi ona like ya b kwenye post ya mond
 
Back
Top Bottom