Kuna nyingine inaitwa YIP MAN kacheza jamaa yake aliyecheza naye kwenye ip man 3&2 kama sikosei
Hii ni noma Sana Ina mkono wa kufa mtupu naikubali Sana.
Ina ngumi Kali mnoooPia "The Return of Chen zhen", ni hatari hiyo movie
Inaitwa IP MAN LEGACY jamaa anajiita MASTER Z kama sijasahauKuna nyingine inaitwa YIP MAN kacheza jamaa yake aliyecheza naye kwenye ip man 3&2 kama sikosei
Inaitwa IP MAN LEGACY jamaa anajiita MASTER Z kama sijasahau
BATISTA yumo
tyson alisukuma makombora mpaka basi lkn mchina ni mchina tu.
wing chun ni hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachina wanajua sanatyson alisukuma makombora mpaka basi lkn mchina ni mchina tu.
wing chun ni hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachowapendea hata story telling wako vzr, Don Yean real anajuaJamaa anaondoka baada ya dk nne tyson anatoka anamuangalia haamini kama jamaa kapangua kombora zote zile aisee.
Donnie yen ni muigizaji mzuri sana wa action
Yap nishaikumbuka hiyo spl kiukweli walipata msala kina tony na mwenzake saimon yung jamaa alikua hapigikiNdo huyu dogo namsema yulo timamu sana.
Kwenye SPL II alicheza adui,aliwasumbua sana akina tony jaa na mwenzie wuu jing kwenye ile scene ya mwisho alichapa sana.
Hii master z kuna ile scene ta jamaa na tony jaa na ile ya jamaa mwishoni kabisa pale bar wamecheza vizuri sana