Wasanii si vioo vya jamii

Wasanii si vioo vya jamii

Msonjo

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2019
Posts
1,378
Reaction score
2,395
Wakuu salaam

Unajua nimekuwa nikijiuliza hivi ni nani aliyesema msanii ni kioo cha jamii? au kuna maana gani unaposema msanii ni kioo cha jamii? au ni wakati gani msanii anakuwa ni kioo cha jamii?

Kwa ninavyofahamu unapojiangalia kwenye kioo unatakiwa ujione mapungufu yako. Na ndio kazi ya kioo, kama unavaa tai huku ukijiangalia kwenye kioo unaangalia ni sehemu gani haijakaa sawa ili uirekebishe. Na kama unaajiangalia usoni unaangalia ni sehamu gani kuna chunusi au kipele ili ukitumbue.

Sasa hawa wanaoitwa wasanii huwa huo ukioo wao upo wapi? maana si kwa nyimbo wanazoimba (hadi nyingine kufungiwa na BASATA), wala kwa maigizo wanayoigiza,wala kwa mavazi ya ajabu ajabu wanayovaa na mienendo yao kwa ujumla.Ni skendo tu za ajabu ajabu.

Usiseme eti wanaelimisha jamii,elimu gani hasa? na kama ni kuelimisha mbona walimu wanaelimisha lakini hawaitwi vioo.

Na kuelimisha tu haitoshelezi kuitwa vioo,maana wana mapungufu mengi.

Labda wawe ni burudani tu kwa jamii,na hapo ni kwa atakayetaka kuburudika. Lakini kwa vioo vya jamii hapana.
 
Wakuu salaam

Unajua nimekuwa nikijiuliza hivi ni nani aliyesema msanii ni kioo cha jamii? au kuna maana gani unaposema msanii ni kioo cha jamii? au ni wakati gani msanii anakuwa ni kioo cha jamii?

Kwa ninavyofahamu unapojiangalia kwenye kioo unatakiwa ujione mapungufu yako. Na ndio kazi ya kioo, kama unavaa tai huku ukijiangalia kwenye kioo unaangalia ni sehemu gani haijakaa sawa ili uirekebishe. Na kama unaajiangalia usoni unaangalia ni sehamu gani kuna chunusi au kipele ili ukitumbue.

Sasa hawa wanaoitwa wasanii huwa huo ukioo wao upo wapi? maana si kwa nyimbo wanazoimba (hadi nyingine kufungiwa na BASATA), wala kwa maigizo wanayoigiza,wala kwa mavazi ya ajabu ajabu wanayovaa na mienendo yao kwa ujumla.Ni skendo tu za ajabu ajabu.

Usiseme eti wanaelimisha jamii,elimu gani hasa? na kama ni kuelimisha mbona walimu wanaelimisha lakini hawaitwi vioo.

Na kuelimisha tu haitoshelezi kuitwa vioo,maana wana mapungufu mengi.

Labda wawe ni burudani tu kwa jamii,na hapo ni kwa atakayetaka kuburudika. Lakini kwa vioo vya jamii hapana.
Ni VIBURUDISHO vya jamii ie to entertain the state . Hawa wako katika kundi la Iron boys! by Plato..... The iron boys, the dull ones were to be prepared for intellectually less demanding jobs; farmers, carpentry or iron smiths , to add music
 
Unajua nimekuwa nikijiuliza hivi ni nani aliyesema msanii ni kioo cha jamii? au kuna maana gani unaposema msanii ni kioo cha jamii? au ni wakati gani msanii anakuwa ni kioo cha jamii?
Nimekuwa nikiwaza sana tokea zamani.
Kwa ninavyofahamu unapojiangalia kwenye kioo unatakiwa ujione mapungufu yako. Na ndio kazi ya kioo, kama unavaa tai huku ukijiangalia kwenye kioo unaangalia ni sehemu gani haijakaa sawa ili uirekebishe. Na kama unaajiangalia usoni unaangalia ni sehamu gani kuna chunusi au kipele ili ukitumbue.
Kabisa mkuu,wasanii hawa sio vioo vya jamii kwa mambo yanavyoenda.
Usiseme eti wanaelimisha jamii,elimu gani hasa? na kama ni kuelimisha mbona walimu wanaelimisha lakini hawaitwi vioo.
Nadhani kioo maana yake kuwa jamii yenyewe inajiangalia kupitia wasanii.

Mfano kama jamii ina tatizo la wizi maana yake wasanii (vioo) watunge maudhui mengi yanayohusu wizi ili jamii ijione kwenye kile kioo(wasanii)kuwa daah jamii yetu inawizi sasa tujirekebishe.
Na kuelimisha tu haitoshelezi kuitwa vioo,maana wana mapungufu mengi.
Nadhani hata vioo vyenyewe halisi vina maoungufu mengi.kuna vioo vimetoboka toboka lakini tunavitumia.

Kuna vioo ni vyrmbamba hatujioni mazima ila tunavitumia kuangalia japo sehemu ndogo tunapojiona.

Kuna vioo ukijiangalia unajiona bonge kweli ila unakitumia pia.
Labda wawe ni burudani tu kwa jamii,na hapo ni kwa atakayetaka kuburudika. Lakini kwa vioo vya jamii hapana
Nam nadhani pia wanaburudisha lakini pia ni kioo kwa sababu mfano sasa hivi kupitia wasanii tunaona kuwa mapenzi na zinaa ndio imejaa kwenye jamii kutokana na sanaa nyingi kubase huko kwenye mambo hayo

Hivyo hapo tumetumia kioo(msanii) kujua jamii ina nini,kwa hiyo sisi kama jamii sasa tunajiona kuwa jamii yetu inawaza zinaa na mapenzi sana kupitia vioo tunavyojitizamia.
 
Nimekuwa nikiwaza sana tokea zamani.

Kabisa mkuu,wasanii hawa sio vioo vya jamii kwa mambo yanavyoenda.

Nadhani kioo maana yake kuwa jamii yenyewe inajiangalia kupitia wasanii.

Mfano kama jamii ina tatizo la wizi maana yake wasanii (vioo) watunge maudhui mengi yanayohusu wizi ili jamii ijione kwenye kile kioo(wasanii)kuwa daah jamii yetu inawizi sasa tujirekebishe.

Nadhani hata vioo vyenyewe halisi vina maoungufu mengi.kuna vioo vimetoboka toboka lakini tunavitumia.

Kuna vioo ni vyrmbamba hatujioni mazima ila tunavitumia kuangalia japo sehemu ndogo tunapojiona.

Kuna vioo ukijiangalia unajiona bonge kweli ila unakitumia pia.

Nam nadhani pia wanaburudisha lakini pia ni kioo kwa sababu mfano sasa hivi kupitia wasanii tunaona kuwa mapenzi na zinaa ndio imejaa kwenye jamii kutokana na sanaa nyingi kubase huko kwenye mambo hayo

Hivyo hapo tumetumia kioo(msanii) kujua jamii ina nini,kwa hiyo sisi kama jamii sasa tunajiona kuwa jamii yetu inawaza zinaa na mapenzi sana kupitia vioo tunavyojitizamia.
Mkuu tunapo jianagalia kwenye kioo tanatakiwa tujione kama tupo sawa, na pale penye mapungufu tuone kama ni mapungufu ili tujirekebishe.

Sasa hawa wasanii ni vioo vya aina gani ambavyo jamii inajiona lakini haijioni kama inamapungufu bali inajiona ipo sawa tu.

Maana kwa namna hawa wasanii wanavyo wasilisha jamii haiwezi kujiona kuwa inamapungufu.

Hayo mapenzi(ngono) na zina vilivyoenea vinaonyeshwa kama sehemu tu ya jamii.
 
Mungu alimuumba mwanadamu kam kiumbe chenye akili na maarifa ya hali ya juu kuliko viumbe vyote,akampa mwanadamu power to decide what is right what is wrong...

Msanii kuwa kioo cha jamii maanake ni kuwa unapaswa kuchukua mazuri yake tu yale mabaya yake unayoyaona au kuyasikia unajiepusha nayo,kwa Mfano umenyoa mtindo fulani wa nywele ukajiangalia kwenye kioo ukaona hujapendezwa nao obvious utanyoa mpk pale utakapopendezwa na mtindo mwingine that's how Msanii huwa kioo cha jamii chukua mazuri mbaya achana nayo.
 
Mungu alimuumba mwanadamu kam kiumbe chenye akili na maarifa ya hali ya juu kuliko viumbe vyote,akampa mwanadamu power to decide what is right what is wrong...

Msanii kuwa kioo cha jamii maanake ni kuwa unapaswa kuchukua mazuri yake tu yale mabaya yake unayoyaona au kuyasikia unajiepusha nayo,kwa Mfano umenyoa mtindo fulani wa nywele ukajiangalia kwenye kioo ukaona hujapendezwa nao obvious utanyoa mpk pale utakapopendezwa na mtindo mwingine that's how Msanii huwa kioo cha jamii chukua mazuri mbaya achana nayo.
Umeleta maana yako ya msanii,sawa

Sasa kama msanii anamabaya na mazuri na hatuonyeshi mazuri yepi mabaya yepi sasa hapo anakuje ni kioo?

Kioo kinatakiwa kikuonyeshe vizuri pale penye kasoro uone panakasoro na palipo sawa uone pako sawa.
 
Umeleta maana yako ya msanii,sawa

Sasa kama msanii anamabaya na mazuri na hatuonyeshi mazuri yepi mabaya yepi sasa hapo anakuje ni kioo?

Kioo kinatakiwa kikuonyeshe vizuri pale penye kasoro uone panakasoro na palipo sawa uone pako sawa.
Ni wewe na akili yako kung'amua mkuu ila tafsiri niliokupa ndo iyo.
 
Kama msanii ni kioo cha jamii.?
Je Viongozi wa dini ni vioo vya nini?
 
Mungu alimuumba mwanadamu kam kiumbe chenye akili na maarifa ya hali ya juu kuliko viumbe vyote,akampa mwanadamu power to decide what is right what is wrong...

Msanii kuwa kioo cha jamii maanake ni kuwa unapaswa kuchukua mazuri yake tu yale mabaya yake unayoyaona au kuyasikia unajiepusha nayo,kwa Mfano umenyoa mtindo fulani wa nywele ukajiangalia kwenye kioo ukaona hujapendezwa nao obvious utanyoa mpk pale utakapopendezwa na mtindo mwingine that's how Msanii huwa kioo cha jamii chukua mazuri mbaya achana nayo.
Comment yako imenifanya nicheke bila sauti.
Sasa kama lily wyne utachukua mazuri gani tu kwa ku mtizama mwonekano wake?
Waigizaji wa porno graph nao ni wasanii hao nao wana mazuri gani ya kuchukua?
Shame..

Ulianza vzr uliposema Mungu kampa akili mwanadamu ya kujua mema na mabaya.

Sasa huyo mwanadamu kwanini asimfuate Mungu awe kioo chake?
Si ingekuwa bora zaidi?
Afuate alie Kamili kuliko mwenye njia mbili njema na mbaya.
 
Comment yako imenifanya nicheke bila sauti.
Sasa kama lily wyne utachukua mazuri gani tu kwa ku mtizama mwonekano wake?
Waigizaji wa porno graph nao ni wasanii hao nao wana mazuri gani ya kuchukua?
Shame..

Ulianza vzr uliposema Mungu kampa akili mwanadamu ya kujua mema na mabaya.

Sasa huyo mwanadamu kwanini asimfuate Mungu awe kioo chake?
Si ingekuwa bora zaidi?
Afuate alie Kamili kuliko mwenye njia mbili njema na mbaya.
Mkuu hawa jamaa hawaelewi unajua unaposema kioo maana yake unaweza pia kufuata mwenendo wake, maana yake msanii ni kiigizo.

Sasa kwa maana hii huwezi kuwaita hawa wasanii ni vioo. Maana hawastahiki.
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Mkuu hawa jamaa hawaelewi unajua unaposema kioo maana yake unaweza pia kufuata mwenendo wake, maana yake msanii ni kiigizo.

Sasa kwa maana hii huwezi kuwaita hawa wasanii ni vioo. Maana hawastahiki.
Kiukweli kabisa Mm mwenyewe sikubaliani na huo msemo hata kidgo.
Labda kama ni kioo cha jamii flani ya Kisanii sanii sawa lkn sio jamii yote.
Binafsi sina cha kujifunza life style kutoka kwa msanii,labda (m/wa)sanii (a/w)ajifunze kwangu.
 
Sasa hawa wasanii ni vioo vya aina gani ambavyo jamii inajiona lakini haijioni kama inamapungufu bali inajiona ipo sawa tu.
Hapa pia mkuu kuna mambo mawili,kujiona kupitia wasanii,na pia kuchukua hatua juu ya namna ambayo umejiona kupitia wasanii hao.
Wasanii wanaimba na kuigiza yale ambayo yapo katika jamii,kupitia wasanii utajua kuwa jamii hiyo ni mambo gani yanachukua nafasi katika jamii hiyo.
Kwa hiyo hapo kioo kimekamilika,ila sasa hatua ya kujirekebisha unapojiangalia kwenye kioo ni hatua ya pili ambayo hapo pia wasanii wanatakiwa wachukue hatua thabiti.
Maana kwa namna hawa wasanii wanavyo wasilisha jamii haiwezi kujiona kuwa inamapungufu.
Ni kweli mkuu wasanii sasa hivi hawalengi kuelimisha jamii,wanalenga kuingiza kipato,na wameona kuwa kuingiza kipato basi njia kubwa ni kufanya yale ambayo jamii husika inayapenda na kuyafanya kila uchao hivyo wanapotoa kazi zao jamii huzipokea kwa mikono miwili kwa sababu ndo mambo wanayapenda mno,
NI, post: 35312596, member: 570598"]
Mkuu tunapo jianagalia kwenye kioo tanatakiwa tujione kama tupo sawa, na pale penye mapungufu tuone kama ni mapungufu ili tujirekebishe.
[/QUOTE]
Hapana mkuu kujiangalia ni jambo lingine na kujirekebisha ni jambo jingine pia.wewe unaona kuwa ili awe kioo cha jamii lazima akusanye hayo mambo mawili,wakati huo wengine wanaona kuwa sio lazima akusanye mambo hayo mawili.
 
Hapa pia mkuu kuna mambo mawili,kujiona kupitia wasanii,na pia kuchukua hatua juu ya namna ambayo umejiona kupitia wasanii hao.
Wasanii wanaimba na kuigiza yale ambayo yapo katika jamii,kupitia wasanii utajua kuwa jamii hiyo ni mambo gani yanachukua nafasi katika jamii hiyo.
Kwa hiyo hapo kioo kimekamilika,ila sasa hatua ya kujirekebisha unapojiangalia kwenye kioo ni hatua ya pili ambayo hapo pia wasanii wanatakiwa wachukue hatua thabiti.

Ni kweli mkuu wasanii sasa hivi hawalengi kuelimisha jamii,wanalenga kuingiza kipato,na wameona kuwa kuingiza kipato basi njia kubwa ni kufanya yale ambayo jamii husika inayapenda na kuyafanya kila uchao hivyo wanapotoa kazi zao jamii huzipokea kwa mikono miwili kwa sababu ndo mambo wanayapenda mno,
NI, post: 35312596, member: 570598"]
Mkuu tunapo jianagalia kwenye kioo tanatakiwa tujione kama tupo sawa, na pale penye mapungufu tuone kama ni mapungufu ili tujirekebishe.
Tuko pamoja
 
Back
Top Bottom