Wapenzi wa Hiphop tulitegemea baada ya diss track ya P Mawenge na Unju angekuja na diss track ya kumjibu ila imekuwa tofauti, naona Unju kaachia track yenye maudhui mengine. Sina hakika kama hii...
Huyu jamaa alikuwa ni bonge sio sana sema ana mwili wa kibabe fulani.Alitamba sana miaka ya 2000s
Nakumbuka alishawahi kuwa ngoma inazungumzia kuwa anawapenda mademu wasiopenda chapaa na kitu...
poleni na pilika pilika za hapa na pale,Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kwa kwenye nyimbo hizo za KINYAMWEZI kutoka kwa muimbaji MWINAMILA kutoka tabora,
nawasilisha Msaada it afadhali.
Habari wanajambo, mimi ni mpenzi kiasi wa kuangalia movie lakini kutokana na majukumu ya hapa na pale sikuwa na muda wa kuangalia.
Kipindi hiki ni cha kukaa nyumbani kutokana na hali halisi ya...
Kama wewe ni mpenzi wa filamu basi lazima utakuwa umewahi kuangalia filamu zilizotengenezwa na kuwapa wahusika wakuu nafasi ya kucheza kama watu wenye uwezo wa juu wa kufikiri
Leo tuwaangalie...
Wakuu kwemaaa...leo naweletea top 5 ya mawe mazito yenye miendelezo yakibabee
Kuna vyuma hatari sana vilivyopikwa vikapikika na miendelezo yote huwa inasubiriwa kwa hamu sana japo story huwa...
BARAKOA YA MARIOO
Na, Robert Heriel
Hivi ndivyo ilivyokuwa, kama ilivyosemwa na watu wa kale yakuwa shida haina adabu. Ndivyo ilivyotokea kwangu.
Haya sasa tulieni niwasimulie, tena mtege...
1️⃣ "Shape Of You" - Ed Sheeran (2,468 BILLION Streams)
2️⃣ "Rockstar" - Post Malone ft 21 Savage (1,874 BILLION Streams)
3️⃣ "One Dance" - Drake ft Wizkid & Kyla (1,837 BILLION Streams)
4️⃣...
U.S Marine Ray Garrison anapoamua kwenda mapumzikoni baada ya kumaliza mission ya ukombozi jijini Mombasa. Watu wanaohitaji maelezo ya kijasusi kuhusu mission ile wanakatisha vacation yake na...
EATV: hawa jamaa hawajapata mtu wakuziba pengo la Sam Misago. Tbway anaogopa kuuliza baadhi ya maswali. Ubishoo mwingi sana.
CLOUDS: Hawa jamaa wameona isiwe case wakaona wapige c&p kwa TVE...
The first East Africa album trending in Nigeria for two months non stop by @harmonize_tz who recognized as the number one ☝ artist in East Africa right now ,what so special about this album, got...