Ngwair - Ndani ya Club (Lyrics)

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,445
Niko ndani ya club like
Niko ndani ya club like, niko na chriss na
mose fedha, nami na mabinti na..
DJ D-White anapiga retrack
hakuna anayekaa, wote tunaruka



niko club, mi na honey, tuna'dance
watu wamejaa, na watu wana furaha
twende ma, twende ma usifunge breki
twende down, twende down, jinyonge kama snake
leo uko nami, wasikusumbue
si ni ma VIP wasitusumbue
leo nataka nikupe kile unachotaka
hata gari utapata tukirudi zetu home
tusisahau na alcohol, raha tu usiku huu
N'gwair




KIITIKIO
Niko ndani ya club like, niko na chriss na
mose fedha, nami na mabinti na..
DJ D-White anapiga retrack
hakuna anayekaa, wote tunaruka
Nipo ndani ya club like




UBETI WA PILI
kwenye seat, tumekaa tunapata drink
rangi yake, ya kung'aa ndio inaniua mi
sipatii ghetto, kukaa na huyu binti
kwani ye, ni kifaa sijaona mi
pamba alizovaa, sijui niseme nini
ma'superstar wanashangaa, huyu queen yuko nami
maduu wamekiri, matozi wamedata
mpaka six in the morning, ni mwendo wa Tusker!
oh oh oh ohhh
huyu mami, yaani ni mkali, ana sexy body
oh oh oh ohhh
Mentali, najivinjari
ukinikuta ndani ya club!



KIITIKIO
Niko ndani ya club like, niko na chriss na
mose fedha, nami na mabinti na..
DJ D-White anapiga retrack
hakuna anayekaa, wote tunaruka
Niko ndani ya club like, niko na chriss na
mose fedha, nami na mabinti na..
DJ D-White anapiga retrack
hakuna anayekaa, wote tunaruka




UBETI WA TATU
mami
natoa holla nakucheki kwenye corner
umekaa ulivyovaa mi mwenyewe nabaki like uhh
its ok usikonde, usichoke, tuwe wote usiondoke
unavyo'shake like uhh
jinsi unavyokata
mzee mzima ndo nazidi tu kudata
its all rule baby sema unachotaka
usione hatari kwangu vyote utapata
wala usiwe na shaka
nataka ugundue, ujue utambue
utanue na mimi, kwa ulimi nichimbe madini like uhhh
kwenye floor kisha kwenye kitanda
vumilia kinanda, nikihesabu hizo shanga, c'mon
we kwangu ni wa pekee na..
penzi lako tamu na..
usisahau kuniachia your number
and your name oh..
demu sio siri unanipa starehe
na wiki ijayo nitafurahi we can do it again
Niko ndani ya club like, niko na chriss na
mose fedha, nami na mabinti na..
DJ D-White anapiga retrack
hakuna anayekaa, wote tunaruka
Niko ndani ya club like, niko na chriss na
mose fedha, nami na mabinti na..
DJ D-White anapiga retrack
hakuna anayekaa, wote tunaruka
east zoo utatutaka, uhhhh
east zoo utatutaka, uhhhh
Uh
D'White, Frida, deep money, L'Single
Water, Downtown Records, top 20Vol II
Coming Soon, Uh, holla baby
You how we do this, Ngwair, uh, yeah
 
Huu hapa
 

Attachments

  • Ngwair_Ndani_Ya_Club.mp3
    3.8 MB · Views: 24
Kumbe nimesoma sijaelewa wacha nisikilize... Hizi nyimbo za wafokafoka huwa nasikiliza ila nyingi sizielewi what are they talking about
 
Back
Top Bottom