Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,230
- 10,094
Jaman habarini ningependa kuuliza kama ambavyo tumezoea kila siku wasanii karibia kote duniani huimba nyimbo kwa ajili ya kuwasifu wakina mama. Je ningependa kuuliza kuna mtu ata mmoja anaujua wimbo wowote ulioombwa kuwasifu wakina baba maana sio kila siku tunasikiliza za kuwasifu wakina mama tu japo wamefanya kazi kubwa kutulea toka tumboni
Lakini pia kuna wababa wengine wameplay part kubwa ya maisha yetu ningependa kama wimbo huo upo mtu antajie au LA siivyo wasanii wajaribu kuwakumbuka wababa kama ambavyo ule wimbo wa zamani wa "WANAUME TUMEUMBWA MATESO KUHANGAIKA" Maana kila siku nyimbo ni nani kama mama Christian bela,harmonize mama,kayumba mama,tupac dear mama n.k
Ningependa kuwe na usawa japo ba wababa wakumbukwe maana nahuzunikaga sana kuwa kila siku nasikiliza nyimbo za kumsifu mama tu naona kama baba namkatili.Mwisho kabisa nawapenda wote baba na mama asanteni.
Lakini pia kuna wababa wengine wameplay part kubwa ya maisha yetu ningependa kama wimbo huo upo mtu antajie au LA siivyo wasanii wajaribu kuwakumbuka wababa kama ambavyo ule wimbo wa zamani wa "WANAUME TUMEUMBWA MATESO KUHANGAIKA" Maana kila siku nyimbo ni nani kama mama Christian bela,harmonize mama,kayumba mama,tupac dear mama n.k
Ningependa kuwe na usawa japo ba wababa wakumbukwe maana nahuzunikaga sana kuwa kila siku nasikiliza nyimbo za kumsifu mama tu naona kama baba namkatili.Mwisho kabisa nawapenda wote baba na mama asanteni.