Sawa me nimeomba iyo cos sikuimalizia nilikuwa shule kipindi ichoItakusaidia nini kuna hadithi nzuri nyingi za hivi sasa
Si zania iliandikwa true storyStory za mshana jr hizi
You R.I.P jose!!!!!Nani huyo aliyetunza gazeti tangia 2007 aje akupe muendelezo?
OkayYou R.I.P jose!!!!!
mimi hapaNani huyo aliyetunza gazeti tangia 2007 aje akupe muendelezo?
Shukrani mkuu nimekusoma umenikumbusha mbali sana aise japo kuwa nilikua Dogo kimtindo kila week ilikuwa inanitoka 200 ya kukununua gazetmimi hapa
jamaa aliendaga kufanya kazi kanda ya ziwa akitokea tanga akapata mke akaoa kumbe ni mtoto wa moja wa magwiji wa kichawi akatakiwa kutolewa kafara
kwao tanga ikajulikana kafa na hata kwa watu wa pembeni
sasa yeye kuna bibi mmoja anaitwa b BI NYANKONGO alikuwa rafiki yake sana wakawa wanapatana sasa kumbe huyo bibi ndo jaji mkuu katika hiyo mahakama akaea anapata wkt mgumu sana kutoa hukumu
mbele anatokea mtoto mwingne wa mchawi anatokea kumpenda jamaa hivyo anaplani master watoloke katika huo mji wa kichawi demu anaisaliti familia yake ya kichawi
misukomiuko inayowapata inafanya hii simulizi kuwa moto wa kuotea mbali
ni story ya kweli ilitokea miaka ua 60 to 70 huko mwanza kipindi hicho jamaa ni jank tu now anekuwa mzee ndo akawa anasimulia hiyo storyà
Aise Jamaa alifaliki R.I.PYou R.I.P jose!!!!!
hongera kwa muendelezomimi hapa
jamaa aliendaga kufanya kazi kanda ya ziwa akitokea tanga akapata mke akaoa kumbe ni mtoto wa moja wa magwiji wa kichawi akatakiwa kutolewa kafara
kwao tanga ikajulikana kafa na hata kwa watu wa pembeni
sasa yeye kuna bibi mmoja anaitwa b BI NYANKONGO alikuwa rafiki yake sana wakawa wanapatana sasa kumbe huyo bibi ndo jaji mkuu katika hiyo mahakama akaea anapata wkt mgumu sana kutoa hukumu
mbele anatokea mtoto mwingne wa mchawi anatokea kumpenda jamaa hivyo anaplani master watoloke katika huo mji wa kichawi demu anaisaliti familia yake ya kichawi
misukomiuko inayowapata inafanya hii simulizi kuwa moto wa kuotea mbali
ni story ya kweli ilitokea miaka ua 60 to 70 huko mwanza kipindi hicho jamaa ni jank tu now anekuwa mzee ndo akawa anasimulia hiyo storyà
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us