Ndani matusi matupu watu siku wanaona njia ya kuwakamata nikuimba matusi hii nyimbo ina matusi ya dhahiri kuliko hata ile Nyegezi ambayo sikuona hata sababu ya kufungiwa kwa kuwa haikuwa mbaya kwenda kuifungia ila hii nimeisikiliza mara moja na sidhani kama kuna mtu anaweza kuisikiliza na watoto au watu anaowaheshimu.Ngoma mbovu kinoma..
Hii ni mbinu ya kulazimisha ngoma mbovu iende mjini.Kina dada wamepewa challenge ya kuicheza mshindi kuibuka na donge nono
Alitaka kuzima kiki ya King Kiba na Ndombolo, ndiyo sababu ya haraka zote hizi.Mbinu ya kulazimisha ngoma mbovu iende mjini.
Basi na huko kwenye media yake watakuwa wanaigonga kila baada ya dakika mbili.
Jamaa uwezo umeshaisha. Kinachombeba sasa hivi ni vyombo vya propaganda alivyo navyo pamoja na kudandia kwenye ngoma za wasanii wake akisikia niAlitaka kuzima kiki ya King Kiba na Ndombolo, ndiyo sababu ya haraka zote hizi.
Yaan wew unaeona mashahiri ya diamond ni mabaya na ya alikiba ni mazuri wew ni nani? Ni jaji?(maana hata jaji mwenyewe ni binadamu. Kimsingi wew hater wa diamond)Mlio karibu na Sadala mshaurini kama upeo wake umefika mwisho kwenye kutunga mashairi atafute watu wenye idea mpya wamwandikie yeye abaki kuimba tu.
Msisahau jana King kaachia Good music akiwa kamshirikisha Rude Boy ngoma inaitwa Salute
Ametoa kiki kwa kiba!Kama alikiba angefanya hivi kutoa nyimbo baada ya mondi tu kutoa
Wangesema anatafuta kiki..
Na vipi hii kwa mondi?