Marie-Jose by Lokasa ya Mbongo

Marie-Jose by Lokasa ya Mbongo

MissM4C

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
1,741
Reaction score
1,006
Marie Jose alimfanya nini lokasa, nyimbo hii alikuwa anaipenda sana dingi miaka ya 1993 nikiwa std 1, krismas dingi alikuwa akiwenda kanda na kuirudisha nyuma mpaka tuliposinzia,

Je, nani anayo lyrics ya kiingerexa ya wimbo huu?
 
Hii album nadhani imetoka kama sio mwaka 1989 basi 1990, ilivuma sana hii album na ukiacha wimbo huo kuna ule wa Helena. Ninao huo wimbo wa Maria Jose ambao aliimba Balou Canta ila utunzi wake Lokassa ya Mbongo kwenye kundi la Soukous Stars.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom