Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

The giant Julius mwenye urefu wa futi 7 na nchi 5 aliyezaliwa wilayani Chato miaka 26 iliyopita ametajwa kuwa ndiye binadamu mrefu zaidi nchini Tanzania kwa sasa. The giant Julius amesimulia...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Mimi ni mpenzi wa Muziki aina cha Chakacha , Leo nilikuwa natazama katika youtube nikapata vibao vifuatavyo . Tafadhali angalia hizo chakacha Spider – Ningejua Mzee Yusuf – Unanyodo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi ndo vipindi vikubwa vya burudani kwa sasa. XXL-Adam Mchomvu,KenedyTheRemedy,Meena Ally,MamyBaby.cloudsfm Empire-Bdozen,Jonijoo.Efm The switch-Lilommy,ray,amygal.Wasafi fm Kura yako...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Oohh..leo nimepata muda kidogo asubuhi hii. Nimeutumia muda wangu wa masaa mawili kutazama movie ya The Huricane iliyoigizwa na mwigizaji maarufu Denzel W..Hii ni movie ya maisha ya aliyekuwa...
2 Reactions
1 Replies
350 Views
Kabla mwaka haujaisha una list ngapi ya game nzuri za kwenye simu yako iwe Android au iOS , Kuna hili game linaitwa BUS SIMULTOR ULTIMATE limeletwa na kampuni ya ZUUKS GAME . Lina nafasi ya 600+MB...
3 Reactions
0 Replies
587 Views
Japo ziko black and white, kuna movies zina akili na waigizaji mahiri sana. jaribu udownload bluray na utafute subtitles kutoka subscene.com harafu uenjoy movie hizi kali. 1. Gone With The Wind...
14 Reactions
226 Replies
61K Views
#TBT Album gani ya Bongo hasa zile za kitambo ilikuwa kali kiasi cha kushindwa kuskip hata ngoma moja. Najua Album zilikuwa zimeenea sana.. Mimi Album ya A.K.A Mimi ya Albert Magwair kwangu...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Vita imana na 1 Kilo Google zinagoma ku download
1 Reactions
12 Replies
1K Views
RIWAYA: JANGA MTUNZI: richard MWAMBE SEEMU YA 1 I Saa 5: 7usiku… DAR ES SALAAM MVUA ILIYOAMBATANA NA RADI iliendelea kunyesha kwa hasira katika jiji la Dar es salaam, hakukuwa na nyota hata...
7 Reactions
67 Replies
19K Views
Mtangazaji wa kituo cha redio cha East Africa Radio kwa zaidi ya miaka 13 akitambulika hasa katika kipindi cha Planet Bongo, Abdalah Ambua a.k.a Dulla planet Ambua ameachia wimbo wake wa kwanza...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Miaka kadhaa iliyo pita nilikuwa na tabia ya kwenda bichi, haswa ile beach ya msasani kupitia pale chole au kwenye kituo maarufu kinachojulikana kwa jina la Macho {kutokana na hospitali maarufu ya...
9 Reactions
176 Replies
37K Views
Ndugu,tafadhali rejea kichwa cha mada hapo juu.Asante
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wadau nimepata wazo la kutengeneza muvi linalomuhusu yule jamaa wa kisomali na kichwa cha habari hapo juu ndio jina husika. Lakini kabla ya kuingia mzigon nimeona nije kushea na wanangu...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Kumekua na utamaduni kwa baadhi ya wafadhili, kufadhili timu hizi pacha kwa wakati mmoja ( Simba na Yanga) mfano mzuri, ni Bia ya Kilimanjaro, Sport pesa CRDB, POSTA BANK(hawa wote wamewahi...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Wazee walio sema SOMA! elimu ni adhina isio pokonywa walikua sahihi sana.. Watu wadini pia wanalao wanasema usimtegemee mwanadamu kwasababu binadamu hufa .. Wote tunajua kua ugali wa Haji...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Je simu yako Ina uwezo wa ku run game zenye nafasi kubwa kuanzia 1GB na kuendelea!?? Nakupa list ya game nzuri kwa huu mwaka 2021 1:TRAINZ SIMULTOR 3 2:OFF ROAD TRUCK 3:.......... Fuatilia hii...
1 Reactions
2 Replies
672 Views
Big brother Naija inaisha leo tuendelee kupeana taarifa nani atanyakua kitita cha pesa siku ya leo na kupata umaarufu na pesa
1 Reactions
2 Replies
883 Views
Ni kwa namna gani mtu anaweza kutengeneza kama film yenye viwango vya juu pia vile vile yenye na maudhui mazuri ili kuwavutia watazamaji wa kazi hio, mtu anatakiwa atumie mbinu zipi kuhakikisha...
1 Reactions
1 Replies
644 Views
Kwa Jinsi ligi kuu bara ilivyoanza na jinsi ushindani unavyoendelea ni mambo mazuri sana. Nazipongeza sana Club ndogo kwenye ligi hii ambazo watanzania wengi walizoe kuona zikifungwa magoli Mengi...
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…