Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,595
Kumekua na utamaduni kwa baadhi ya wafadhili, kufadhili timu hizi pacha kwa wakati mmoja ( Simba na Yanga) mfano mzuri, ni Bia ya Kilimanjaro, Sport pesa CRDB, POSTA BANK(hawa wote wamewahi kufadhili Simba na Yanga kwa wakati mmoja) anacho kifanya manara kwa kukejeli bidhaa zinazo fadhili Simba ni dhahiri zinagusa mfadhili direct hali inayoweza kupelekea uwezekano mdogo kwa wafadhili hao kuwekeza fedha katika timu ya Yanga, hii inatokana na jamaa kupondea bidhaa za wafadhili hao, mfano mzuri ni Mabasi ya Africarrier kwa kuyakeji na picha za hovyo pia amekua akikejeli jezi zilizo na nembo ya Vunjabei pamoja na Mo, ikumbukwe wafadhili hawa wanaweza au wangeweza kuwekeza kwa Yanga kama walivyo fanya kwa mtani wake
Hivyo manara anaiponza yanga pasina kujua
Hivyo manara anaiponza yanga pasina kujua