Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kuna nyimbo hazitakuja kupotea vizazi mpaka vizazi kwa sababu maDJ wanarithishana kadri miaka inavyokwenda mbele. Kuna nyimbo moja ya sebene au rumba ya congo nimeisahau inaitwaje lakini itakuwa...
0 Reactions
0 Replies
447 Views
Wadau wa nyimbo za zamani zile Kali Kali Naomba mniandikie hapa chini nataka kumchukilia mzee wangu Flash then nimuwekee nyimbo . Pia na za ki-congo na hata za kizungu za miaka ya zamani zile nzuri.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hadithi hii ni ya kweli Kuna vitu vingine siyo halisi imebidi niviweke ili kuleta radha pia mimi sio mwandishi ila nimeweka tu kwa lengo la kujifunza na kutoa mafunzo kwa jamii ilikuwa siku ya...
1 Reactions
1 Replies
585 Views
Mzuka Wanajamvi! Wimbo mzuri wa Riziki ulioimbwa na K Basil akimshirikisha Bizimana na mwanamama Stara Thomas. Huu wimbo ni special dedication kwa Shujaa wetu mpendwa ndugu Majaliwa Jackson...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
The African Giant, Burna Boy ametangazwa Msanii Bora Afrika katika Tuzo za Muziki za MTV Ulaya (MTV Europe Music Awards – EMA) kwa mwaka 2022, na kuongeza unyoya mpya kwenye kofia yake kubwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Black Panther: Wakanda Forever. Lipi linakujia kwenye fikra zako ukijaribu kuiwaza Afrika bila ya mipaka? Afrika ambayo haitafsiriwi tena na tukio la kihistoria lililotokea Berlin mnamo mwaka...
2 Reactions
2 Replies
725 Views
BEYOND PAIN SEHEMU YA 1 MTUNZI : PATRICK .CK Ni saa kumi jioni nikiwa maeneo ya Kimandolu nikielekea Usa river katika baa iliyotulia ya Roterdam garden mahala panapofanyika vikao vya harusi...
5 Reactions
66 Replies
31K Views
Best song Bad Bunny, Chencho Corleone – “Me Porto Bonito” Harry Styles – “As It Was” Jack Harlow – “First Class” Lizzo – “About Damn Time” MSHINDI: Nicki Minaj – “Super Freaky Girl” Rosalía –...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1 Reactions
1 Replies
405 Views
Top ten Bongo movie series of all time. Licha ya tasnia ya bongo movie kukubwa na changamoto nyingi kama ukosefu wa soko, badget ndogo ya kutengenezea film, Ukosefu wa watu wapambanaji na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kila mtu anajua leo hii kuwa Wasafi Tv na Wasafi FM ndiyo media ambayo zimepata nguvu ya kushabikiwa kwa muda mfupi na kupata watazamaji na wasikilizaji wengi. Huenda labda ushawishi huo umekuja...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Hawa viumbe kila mmoja alikuwa Bingwa kwa Ulingo wake, Mike tyson alisumbua ulingo wa boxing na kujizolea umaarufu kwa kushinda mechi 50 (KO 44). Bruce Lee alisumbua ulingo wa martial arts...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
KIKOKOTOO David Ngocho Samson UTANGULIZI Hakuna aliyejua sababu ya madhila yaliyomkumba mstaafu, tena ambaye enzi za ujana na maisha yake ya Kazi, alikuwa mtu aliyekuwa na nafasi nzuri, na...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Angalizo: Nchi inayotajwa kama Nchi yetu, haina uhusiano wowote na nchi ya Tanzania. Sehemu ya Kwanza Komandoo Mako alikimbia akiwa kashika kidege kidogo kisichokuwa na rubani, baada ya umbali...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Matamasha makubwa ya wasanii tuliyokuwa tunayaona miaka ya nyuma kama Fiesta na mengine ya Vituo vya Redio naona yanazidi kupoteza mvuto, shida nini wadau? Matamasha haya mengi imekuwa kiingilio...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
..Nyimbo zenyewe ni hizi hapa chini. Cc Mohamed Said, Kichuguu
1 Reactions
9 Replies
2K Views
SULUHU CONCERT 2022 Tamasha kubwa maalumu lililoandaliwa na Msanii Lady Jaydee suluhuconcert kufanyika Tarehe 12 November 2022 Hyatt Regency Dar es salaam. #NaSimamaNaMama
1 Reactions
9 Replies
837 Views
Msanii Omary Nyembo aka Ommy Dimpoz ametangaza kuachia album yake leo Ijumaa Nov 4, 2022 ambapo katika kuizundua amesema Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ataongoza shughuli hiyo "Tuna-launch rasmi...
3 Reactions
6 Replies
965 Views
Mtunzi Juma Hiza Sehemu ya 01. Huu ni mkasa ambao sitoweza kuusahau katika maisha yangu mpaka siku nitakayokufa. Kwa jina naitwa Stella ni mtoto wa pili na mwisho kuzaliwa katika familia yetu...
12 Reactions
67 Replies
18K Views
HUYU NDIE MWANAUME[emoji67] 1. Anapenda maisha mazuri na anaamini kuyapata ni kufanyakazi kwa bidii 2. Anapenda mwanamke mwenye akili na utashi wa maisha ili amsaidie kutimiza ndoto zake na sio...
2 Reactions
4 Replies
7K Views
Back
Top Bottom