Salaam kwenu.
Naulizia hiyo movie hapo juu kwa mwenye direct link au hata torrent ambayo sio CAMRip au WebCam iwe HD naomba anijuze please.
Natanguliza shukran.
KUNA LA KUJIFUNZA HAPA
Nakumbuka siku moja nilipigiwa simu kwenda kumuona jamaa fulani niliyekuwa nataka ashughulikie suala langu la N.G.O ninayotaka kuanzisha.
Jamaa akanipanga niende kuonana...
Ndugu zangu,
Mwanamziki wa kizazi kipya wakuitwa ROSA LEE ametoa wimbo mpya unaojulikana kama "I AM NOT FINE" ...Ndani ya wimbo huo ...Mimi nimependea mistari ifuatayo ambayo kiukweli ni ujumbe...
Short thread! Wadau nimezikumbuka sana ngoma za Lunduno zilizokusanya wasanii wengi sana rappers katika movement ya Tamaduni music 2005-2015. Ngoma zao nyingi zilikuwa zinatoa darasa na kumpa...
NILINUSURIKA KUCHOMWA MOTO 2
Kelele za watu wakiongea kwa nguvu apigwe! Apigwe! Apigwe! zilizidi. Wakati huo napambana sanaa kujitetea kuwa huyu mwizi mimi simjui, na sielewi kwanini...
KALI KUTOKA AM RECORDS
Hapa kuna majina mawili; MANECKY na BOB MAKNECKY na hizi ndizo kazi kali kutoka AM RECORDS;
1. NIMEDATA - JUX
2. NAPATA RAHA- JUX
3. NITASUBIRI - JUX
4. UTANIUA - JUX
5...
MKASA WA KWELI; KIBUYU CHEUSI
MWANZO
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
Kwa majina naitwa justice simangwa mkazi wa mkoa wa songwe katika wilaya ya mbozi kijiji cha...
[14:58, 18/02/2017] Ibrahim Masimba: NITAKUPA TU
SEHEMU YA 001
Mwandishi Ibrahim Masimba
*********
Alihisi ilikuwa sauti ya mwanamke, sauti ambayo mwanzo alidhani haikuwa ya mwanamke kutoka na...
Ilikuwa ni majira ya pata saa Saba usiku,nikiwa katika hali ya usingizi mzito sana gafla nilishtushwa na sauti ya mke wangu.
Mke wangu aliipaza sauti yake kwa nguvu sana kuashiria hali ya hatari...
Matairi meusi ya ndege ya shirika la ndege la kimataifa la Kenya (Kenya airways) yaligusa taratibu katika ardhi ya uwanja wa kimataifa wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere, jijini Dar es salaam...
Verse 1 (Wahu)
sikiza mpenzi
mi nikueleze
yalo moyoni ni mengi si machache
roho yangu imejaa uchungu
you never miss the water till the well is running low
imekuwa muda
tangu tuonane
nilitaka sana...
Baada ya Harmonize kutoka hadharani na kutamba kwamba, hataongea na Msanii yeyote wa Afrika Mashariki ambaye hamiliki gari aina ya Range Rover! Leo Diamond Platnumz ni kama amerusha kijembe kwa...
Ni muda mrefu sana kwenye hizi anga za simulizi, sasa hatimaye nimerejea na hadithi hii.
Kwa wale wageni, waweza tazama hizi ... ni kazi ya mikono yangu ...
KALI KUTOKA AM RECORDS
Hapa kuna majina mawili; MANECKY na BOB MAKNECKY na hizi ndizo kazi kali kutoka AM RECORDS;
1. NIMEDATA - JUX
2. NAPATA RAHA- JUX
3. NITASUBIRI - JUX
4. UTANIUA - JUX
5...
Habari za muda huu wapendwa.
Nimekuja kwenu naomba mnijuze kuhusu muvie iwe single au series ambayo ni nzuri kuangalia mkiwa na mpenzi wako tu. Yaani ambayo iko romantically [emoji39].
Mimi kuna...
Nilikuwa kwenye daladala jioni hii na buzuki time hewani redioni. Umechezwa huo wimbo zaidi ya dakika 8 kwenye ile sebene tu. Kuingia youtube wimbo una dakika 12:40.
Sasa mdau wa muziki kuna...
Moja ya mistari yake unaimbwa hivi, "maji yakimwagika hayazoleki, itabidi ukakae ufikiri, yaliyotokea ukiri"...kuna binadamu wa ajabu...
Na huo wimbo Sio wimbo wa taarabu
Mwenye kujua kuna la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.