Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Salaam kwenu. Naulizia hiyo movie hapo juu kwa mwenye direct link au hata torrent ambayo sio CAMRip au WebCam iwe HD naomba anijuze please. Natanguliza shukran.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
KUNA LA KUJIFUNZA HAPA Nakumbuka siku moja nilipigiwa simu kwenda kumuona jamaa fulani niliyekuwa nataka ashughulikie suala langu la N.G.O ninayotaka kuanzisha. Jamaa akanipanga niende kuonana...
20 Reactions
22 Replies
7K Views
Ndugu zangu, Mwanamziki wa kizazi kipya wakuitwa ROSA LEE ametoa wimbo mpya unaojulikana kama "I AM NOT FINE" ...Ndani ya wimbo huo ...Mimi nimependea mistari ifuatayo ambayo kiukweli ni ujumbe...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Short thread! Wadau nimezikumbuka sana ngoma za Lunduno zilizokusanya wasanii wengi sana rappers katika movement ya Tamaduni music 2005-2015. Ngoma zao nyingi zilikuwa zinatoa darasa na kumpa...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
NILINUSURIKA KUCHOMWA MOTO 2 Kelele za watu wakiongea kwa nguvu apigwe! Apigwe! Apigwe! zilizidi. Wakati huo napambana sanaa kujitetea kuwa huyu mwizi mimi simjui, na sielewi kwanini...
1 Reactions
8 Replies
894 Views
KALI KUTOKA AM RECORDS Hapa kuna majina mawili; MANECKY na BOB MAKNECKY na hizi ndizo kazi kali kutoka AM RECORDS; 1. NIMEDATA - JUX 2. NAPATA RAHA- JUX 3. NITASUBIRI - JUX 4. UTANIUA - JUX 5...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MKASA WA KWELI; KIBUYU CHEUSI MWANZO ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… Kwa majina naitwa justice simangwa mkazi wa mkoa wa songwe katika wilaya ya mbozi kijiji cha...
3 Reactions
82 Replies
9K Views
[14:58, 18/02/2017] Ibrahim Masimba: NITAKUPA TU SEHEMU YA 001 Mwandishi Ibrahim Masimba ********* Alihisi ilikuwa sauti ya mwanamke, sauti ambayo mwanzo alidhani haikuwa ya mwanamke kutoka na...
21 Reactions
1K Replies
433K Views
Ilikuwa ni majira ya pata saa Saba usiku,nikiwa katika hali ya usingizi mzito sana gafla nilishtushwa na sauti ya mke wangu. Mke wangu aliipaza sauti yake kwa nguvu sana kuashiria hali ya hatari...
9 Reactions
44 Replies
7K Views
bolingo eza maladie mab?,dokotolo na ngo motema,symptome n'ango souci kasi kisi ezali s? pr?sence ya moto oyo ozali kolula,lokola nalula masiya y? nd? kisi na nga (jesus christ) bolingo lokola...
3 Reactions
133 Replies
41K Views
Matairi meusi ya ndege ya shirika la ndege la kimataifa la Kenya (Kenya airways) yaligusa taratibu katika ardhi ya uwanja wa kimataifa wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere, jijini Dar es salaam...
12 Reactions
210 Replies
83K Views
Verse 1 (Wahu) sikiza mpenzi mi nikueleze yalo moyoni ni mengi si machache roho yangu imejaa uchungu you never miss the water till the well is running low imekuwa muda tangu tuonane nilitaka sana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Baada ya Harmonize kutoka hadharani na kutamba kwamba, hataongea na Msanii yeyote wa Afrika Mashariki ambaye hamiliki gari aina ya Range Rover! Leo Diamond Platnumz ni kama amerusha kijembe kwa...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni muda mrefu sana kwenye hizi anga za simulizi, sasa hatimaye nimerejea na hadithi hii. Kwa wale wageni, waweza tazama hizi ... ni kazi ya mikono yangu ...
21 Reactions
601 Replies
58K Views
KALI KUTOKA AM RECORDS Hapa kuna majina mawili; MANECKY na BOB MAKNECKY na hizi ndizo kazi kali kutoka AM RECORDS; 1. NIMEDATA - JUX 2. NAPATA RAHA- JUX 3. NITASUBIRI - JUX 4. UTANIUA - JUX 5...
0 Reactions
1 Replies
809 Views
Habari za muda huu wapendwa. Nimekuja kwenu naomba mnijuze kuhusu muvie iwe single au series ambayo ni nzuri kuangalia mkiwa na mpenzi wako tu. Yaani ambayo iko romantically [emoji39]. Mimi kuna...
2 Reactions
109 Replies
37K Views
VIREFU VYA MAJINA 1. K.R. _ KAKA RASHID 2. J.O.S.E.P.H. - JIFUNZE, ONA, SEMA, ELIMIKA, PITIA, HAMASIKA 3. LANGA - LYRICAL AND NATURALLY GIFTED AFRICAN 4. RAF MC - REALITY AND FEELING MC 5. BINAMU...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
On Air with Ryan Seacrest
0 Reactions
0 Replies
394 Views
Nilikuwa kwenye daladala jioni hii na buzuki time hewani redioni. Umechezwa huo wimbo zaidi ya dakika 8 kwenye ile sebene tu. Kuingia youtube wimbo una dakika 12:40. Sasa mdau wa muziki kuna...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Moja ya mistari yake unaimbwa hivi, "maji yakimwagika hayazoleki, itabidi ukakae ufikiri, yaliyotokea ukiri"...kuna binadamu wa ajabu... Na huo wimbo Sio wimbo wa taarabu Mwenye kujua kuna la...
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Back
Top Bottom