Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nliona video ya huu wimbo mwaka 2007, Moja ya mistari yake unaimbwa, (usione twaendeshaa, tunafanya kazii) ×2..video yake ntaipata wapi
0 Reactions
0 Replies
408 Views
American Top 40 [03/18/2023] 36 40 Nicky Youre/Dazy - Sunroof 01 [3 weeks @ #1] 42 34 39 Doja Cat - Vegas (From "Elvis" Soundtrack) 01 [3 weeks @ #1] 33 39 38 Reneé Rapp - Too Well 38 02 29 37...
2 Reactions
3 Replies
872 Views
“Nina Idea kadhaa nilikua nataka nziipeleke kwenye vituo vya TV, Naomba kujuzwa mambo haya.. -Nifanyeje ili niwafikie wahusika wanaohusika na kupokea Ideas(labda content managers, production...
1 Reactions
8 Replies
490 Views
Mtajwa hapo juu alikuwa msanii wa kaole sanaa group mbona simsikii yupo kweli?
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Hii ni Moja ya muvi Bora za wakati wote... Mark Dacascos alitembeza mkono kwenye hii muvi mwanzo mwisho.... Huyo Rasta fundi gereji muoga muoga.... Ni Moja ya ubunifu Bora kabisa kuwai kutokea...
27 Reactions
422 Replies
18K Views
SEHEMU YA KWANZA. Nikiwa nimerudi kutoka shuleni nilikutana na mama nje ambaye alinambia tumepata mgeni ambaye atakua akitusaidia kazi za ndani yaani dada wa kazi, kutokana na uchovu na fimbo za...
14 Reactions
127 Replies
16K Views
NITAKUPA TU SEHEMU YA 001 ********* Alihisi ilikuwa sauti ya mwanamke, sauti ambayo mwanzo alidhani haikuwa ya mwanamke kutoka na usiku ule kuwa vigumu. Lakini sauti ile bado ilikuwa ikisikika...
2 Reactions
76 Replies
10K Views
SEHEMU YA KWANZA: JINA langu naitwa Togolai Mahimba, ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba wa baba yetu, Sinai Mahimba ambaye kwa sasa ni marehemu. Baba yetu alifariki miaka mitatu iliyopita...
14 Reactions
258 Replies
177K Views
Long story short wanaanza vizuri tu episodes 5 za mwanzo mpaka mwenyewe utapenda. Akishapata kijiji sasa ndio dharula zinaanza, mara mbuzi wangu wameingia kwenye shamba la watu, mara mtoto...
13 Reactions
90 Replies
4K Views
Watu wa mziki tukutane kidogo kwenye hii battle. Ngwair She got gwan vs Mb Dog Latifa. Ipi ilikuwa hatari zaidi? #forgive me
0 Reactions
0 Replies
364 Views
SIMULIZI: PENZI LANGU SEHEMU YA 01 ANZA ...Mkoani Tabora walionekana watu wawili ambapo Kwa kuwatazama tu ni kama vile walikua wapenzi ambao wamuda mrefu sana wakati huo mwanamke alikua...
2 Reactions
32 Replies
13K Views
Mimi AWE katisha.
0 Reactions
1 Replies
273 Views
Nakumbuka mwaka 2015 nimemaliza form six yangu baada ya matokeo kutoka nilifaulu vizuri nikafanya application za mikopo na vyuo. Mungu mwema mkopo nilipata japo asilimia chache sana kama 3% hivi...
5 Reactions
12 Replies
827 Views
Huyu atakuwa kabila gani?
3 Reactions
72 Replies
3K Views
Baraza la sanaa Tanzania sijaona kazi yenu kama madudu ndo haya mnamefeli. Jaribu kujipanga upya. Diamondplatnumz ,alikataa kushiriki tuzo zenu afu mkampa tuzo ya heshima😁 mko sawa na utendaji...
1 Reactions
4 Replies
537 Views
Mambo vipi wakuu. Ebwana kuna movie moja niliwahi kuiangalia miaka mingi sana iliyopita,yani kitambo sana sikumbuki hata ilikuwa stesheni gani ya TV. Bahati mbaya umeme ukakatika hivyo sikupata...
8 Reactions
50 Replies
2K Views
Baada ya kuona kitabu cha pili na cha nne, sasa tuone cha kwanza. hadithi hizi zote unaweza kuzisoma bure ndani ya maktaba app, ipo playstore.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Yaaa Ilahi Mola wangu nibariki Niongezee ridhiki Unitoe kwenye dhiki Si wa moja wala mbili Kama vile pilipili Naomba nipe kibali Siitafuti huruma Hata nikiwa kiguma Ningali najisukuma Na wala...
1 Reactions
8 Replies
440 Views
Hii video inaonyesha jinsi nilivyocheza mission za kwanza ambazo ni Prologue, Franklin and Lamar, Repossession Complicatio, Stolen Boat and Father Son ila mission ya stolen boat ndo ambayo...
0 Reactions
4 Replies
744 Views
Back
Top Bottom