Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hebu fikiria hapa una GENTAMYCINE , kushoto una Mshana Jr na katikati kakaaa mkaka wa haja, Bujibuji Simba Nyamaume , Simba halisi wa kiume. Watu wanataka kusikia madini, fanya mabadiliko bro Majizo
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwanza niweke wazi mimi sio mpenzi wa hizi Tamthilia za kifipilino, Kikorea, sijui kituruki zinazorushwa Kwenye hivi vituo vya TV zetu zinazoingizwa maneno ya kiswahili. Nakumbuka nilikua...
1 Reactions
1 Replies
928 Views
SOMA EPISODE 2, POST # 282 SOMA EPISODE 3, POST # 655 SOMA EPISODE 4, POST # 852 SOMA EPISODE 5, POST # 1115 SOMA EPISODE 6, POST # 1656 SOMA EPISODE 7, POST # 1773 SOMA EPISODE 8, POST...
114 Reactions
5K Replies
872K Views
Chombezo : Dunga Dunga Sehemu Ya Kwanza (1) Kila siku katika maisha yangu nilikuwa najiona kuwa mimi ndiye kijana ambaye nilikuwa naongoza kwa kutembea na wanawake katika mtaa wetu wa Magomeni...
3 Reactions
76 Replies
7K Views
Kitu gani kilikufanya uache kuangalia Movi za kibongo? Na una lipi la kuwashauri?
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Wanapenda kusaidiwa ila hawapo tayari kusaidia wapenzi wao, ni wachoyo, wana roho za korosho. Wakipata hela wanaenda club kukesha na wanaume wenzao wakinunuliana vinywaji adimu vya bei mbaya huku...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Kama Kuna mtu ana hii riwaya inaitwa Mkimbizi iliandikwa na Hussein Tuwa (Kama sijakosea) naomba anipatie au aiweke hapa. Niliisomaga zamani sana kwenye magazeti pendwa wakati ule yaliyokuwa...
7 Reactions
36 Replies
8K Views
35 years ago today, Whitney Houston's "Where Do Broken Hearts Go" reached #1 on the Hot 100. It became Whitney's seventh #1 hit in a row, making her the artist with the most consecutive #1's in...
0 Reactions
6 Replies
701 Views
Daah aisee movie za kihindi zamani zilijua kutukamata kulikuwa hakuna watafsiri lakini tulizielewa balaa. Miaka ya 80's huko wazazi wetu na wenyewe walikuwa na mastaa ambao waliwakubali Kama...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jana nlikuwa YouTube naangalia freestyle ya mex cortez kupitia wanene Youtube channel. Chini ya recommendations nikaona video yenye title "Rapcha- Kisanga" Nikajua tu hizi zitakuwa za ma...
3 Reactions
27 Replies
9K Views
Treyzah ni msanii wa muziki wa kisasa ambaye ameweza kuweka alama yake katika anga la muziki wa Afrika Mashariki. Kupitia sauti yake iliyoshiba, mashairi yake yenye maana na usanii wake wa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habariiii members hii ni story moto sana naishusha wala msijali. Hii story nitakuwa kila siku naleta vipande viwili kutokana na muda inaweza kuwa kimoja mchana na kingine usiku. Stay tuned...
13 Reactions
109 Replies
7K Views
Kwahii michano ya Roma mkatoliki kwenye hii Ngoma aliyoshirikishwa na izzo bizness ya Mr Xmas Ni halali jamaa akimbilie marekani maana ni noma Kuna watu wamechanwa humo na hawaelew kama wamechanwa...
3 Reactions
5 Replies
940 Views
Anasema" Mmekataa kusimulia, mema yangu mimi, japo mwayajua mmenyamaza, mkotayari kuelezea ubaya wangu mimi, ili nafsi zenu zifurahi. Mmekataa kuthibitisha, yupi mwenye haki, japo mwamjua...
4 Reactions
4 Replies
844 Views
Namuona sana,anatrend mitandaoni si Tiktok, Facebook Instagram hadi Twitter kwa video zake. Kuna Moja hiyo ameiwekea caption ya "ZA KICHWA". Nyie hii dunia...
1 Reactions
3 Replies
332 Views
THE KENYAN TRIO I GIVE MY DUE RESPECT (CURRENTLY) Natamani sana kusikia kolabo inayobeba vichwa hivi vitatu ninavyovisikiliza zaidi kutoka KE kwa sasa. Nimekuwa nikimwelewa Shinski toka enzi za...
0 Reactions
2 Replies
576 Views
Leo ndio lie pambano kati ya Gervota na Ryan Gracia
0 Reactions
1 Replies
547 Views
Wakuu kwema? Naombeni leo wajuzi mnijuze hawa jamaa wana siri gani? Kiwango chao cha uimbaji ni extraordinary. Nimesikiliza sauti hizi mpaka nikafumba macho kwa utamu. Nini siri ya hawa jamaa...
10 Reactions
36 Replies
3K Views
Wadau na hizi sikukuu ingependeza tungepata nyimbo zenye vibe wakati wa kupata moja moto moja baridi, si unajua pombe=nyama choma=mziki=women, ni vitu vinavyoendana. Mimi nitatupia baadhi Pesa Mr...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Salaam kwenu. Naulizia hiyo movie hapo juu kwa mwenye direct link au hata torrent ambayo sio CAMRip au WebCam iwe HD naomba anijuze please. Natanguliza shukran.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom