Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Msanii huyo kutoka #Nigeria, ameendelea kuweka rekodi Kimataifa kupitia ngoma hiyo aliyomshirikisha #SelenaGomez akikaa kileleni kwa wiki 27 katika wiki 50. Kati ya ngoma 50, hakuna msanii yeyote...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni asubuhi na mapema. Unaamka na kijiandaa kuelekea kazini kwako. Baada ya kumaliza kujiandaa, unavaa viatu kuelekea kazini kwako. Mara ghafla simu inaita, Unapokea simu ambayo imeingia kwa namba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
ALITAKA KUNIUA Nilikuwa nimekaa chumbani hostel kipindi hicho nasoma chuo mwaka wa pili. Nikapigiwa simu na mama akiwa na furaha kubwa sanaaa. Akaniambia kama ninaweza kwenda nyumbani kwa wiki...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
1. Marquese Scott Huyu ni mmarekani alizaliwa mwaka 1981 November anayecheza dance aina ya Dubstep, popping pamoja na style ya slow motion. Ameisha perform katika stages kubwa kama Ellen shows...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
UPDATE: nimefanikiwa kumpata huyo mrembo Queen Clouds , thanx to John Dilinga , huyu dada alikua dancer miaka ya late 80's and early 90's , enzi hizo ni kuna gazeti la Mfanyakazi ndilo...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
TUCHUKUE LIPI, TULIACHE LIPI ENZI ZA UTOTO - SONGA NIKIRI wazi kuwa miongoni mwa "madundo" ya maana kabisa aliyoyasuka DUKE ambayo sikuyataja kwenye orodha yangu, basi hili limo pia. Turudi...
1 Reactions
2 Replies
987 Views
Sawa, hauna video, lakini hata kwenye redio haukuchezwa pia (a) Ni kwamba wamiliki wa redio zetu pamoja na watangazaji wao hawana uhakika na uhuru wa vyombo vya habari walionao? (b) Au ndo...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Usiku wa Jumamosi ya tarehe 29 mwezi Aprili ulikuwa usiku wa kutolewa tuzo za Muziki Tanzania zilizoandaliwa na kuratibiwa na Wizara inayohusika na Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Baraza la...
1 Reactions
5 Replies
788 Views
TUCHUKUE LIPI, TULIACHE LIPI? STIMU ZIMELIPIWA (COPY MY MOTION) Hii ni segment mpya ambayo itakuwa inaangazia wasanii waliotamka kauli zinazokinzana. Tuanze na John Simon "Mwamba wa Kaskazini, Joh...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Targeted Risk is a Strangers & Freaks side mission in Grand Theft Auto V given by Dom Beasley, involving protagonist Franklin Clinton. It's the 3° mission for Dom Beasley, after the Liquidity Risk...
0 Reactions
0 Replies
895 Views
Assalaam, Napenda kuchukua fursa hii kuwakaribisha ili tushirikiane katika fursa hii ambayo, bila shaka ni njia mojawapo ya kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi miongoni mwetu. Kama unadhani...
1 Reactions
1 Replies
470 Views
Naamka asubuhi, sina hata buku shi ndala Cha kukila sijui, bora hata pa kulala Chumbani matandabui, mende wamefanya utawala Na mjomba panya haelewi, riziki yake hasara Eh kwachakwacha, nakwenda...
1 Reactions
17 Replies
507 Views
NILINUSURIKA KUCHOMWA MOTO 1 Nilikuwa nimekaa zangu sina hili wala lile, mara simu ikaingia kutoka kwa rafik yangu, akanimbia leo unaonaje tukachek mechi pale uwanjani? Nikamwambia sina uhakika...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
MOYO UNA MENGI. Kiukweli ni mapito haya napitia Moyo umeshindwa hauwezi kutulia Mbona kutamka nafusi yanizuia Nimeyabeba mengi ya huzuni moyoni. Natamani kusema na kuyasimulia Lakini sijui nani...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Nahesabu kura
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Dhiki 1 Naomba kuwauliza, majibu yawe mezani Hayano ndoyaniliza, sijui nimekosani Yataka kunimaliza, mwenzenu nitaabani Rafiki niliyenae, katu ataki niwata 2 Amenigomea hasa, hunitoka na kurudi...
1 Reactions
1 Replies
409 Views
Wakuu hii ndo list ya movie zakutisha, kusumbua, mazombi, mauaji, kutesa nk [emoji419]Trauma [emoji419]The human centipede [emoji419]Atrocious [emoji419]A Serbian film [emoji419]Terrifier...
3 Reactions
83 Replies
4K Views
UMASIKINI NI DHIKI, Umasikini ni dhiki, kila siku mashakani, Na tena hathaminiki, mtu kuwa masikini, Fukara hana rafiki, humtenga majirani, Ni dhiki umasikini, Umasikini ni dhiki.. Ukiwa hauna...
2 Reactions
1 Replies
529 Views
Ngoma gai unaikubali kutoka kwa P The MC.
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Mtunzi ni CK Allan Madam President Juni 1998 Ilikua jioni nzuri kabisa ambapo sehemu mbali mbali za jiji la Tanga Kuna Hali ya baridi na mvua nyepesi zilikua zimeanza, nikiwa na Rafiki yangu Jacob...
11 Reactions
217 Replies
31K Views
Back
Top Bottom