Hebu fikiria hapa una GENTAMYCINE , kushoto una Mshana Jr na katikati kakaaa mkaka wa haja, Bujibuji Simba Nyamaume , Simba halisi wa kiume.
Watu wanataka kusikia madini, fanya mabadiliko bro Majizo
Kwanza niweke wazi mimi sio mpenzi wa hizi Tamthilia za kifipilino, Kikorea, sijui kituruki zinazorushwa Kwenye hivi vituo vya TV zetu zinazoingizwa maneno ya kiswahili.
Nakumbuka nilikua...
Chombezo : Dunga Dunga Sehemu Ya Kwanza (1)
Kila siku katika maisha yangu nilikuwa najiona kuwa mimi ndiye kijana ambaye nilikuwa naongoza kwa kutembea na wanawake katika mtaa wetu wa Magomeni...
Wanapenda kusaidiwa ila hawapo tayari kusaidia wapenzi wao, ni wachoyo, wana roho za korosho.
Wakipata hela wanaenda club kukesha na wanaume wenzao wakinunuliana vinywaji adimu vya bei mbaya huku...
Kama Kuna mtu ana hii riwaya inaitwa Mkimbizi iliandikwa na Hussein Tuwa (Kama sijakosea) naomba anipatie au aiweke hapa.
Niliisomaga zamani sana kwenye magazeti pendwa wakati ule yaliyokuwa...
35 years ago today, Whitney Houston's "Where Do Broken Hearts Go" reached #1 on the Hot 100.
It became Whitney's seventh #1 hit in a row, making her the artist with the most consecutive #1's in...
Daah aisee movie za kihindi zamani zilijua kutukamata kulikuwa hakuna watafsiri lakini tulizielewa balaa.
Miaka ya 80's huko wazazi wetu na wenyewe walikuwa na mastaa ambao waliwakubali Kama...
Jana nlikuwa YouTube naangalia freestyle ya mex cortez kupitia wanene Youtube channel. Chini ya recommendations nikaona video yenye title "Rapcha- Kisanga"
Nikajua tu hizi zitakuwa za ma...
Treyzah ni msanii wa muziki wa kisasa ambaye ameweza kuweka alama yake katika anga la muziki wa Afrika Mashariki. Kupitia sauti yake iliyoshiba, mashairi yake yenye maana na usanii wake wa...
Habariiii members hii ni story moto sana naishusha wala msijali.
Hii story nitakuwa kila siku naleta vipande viwili kutokana na muda inaweza kuwa kimoja mchana na kingine usiku.
Stay tuned...
Kwahii michano ya Roma mkatoliki kwenye hii Ngoma aliyoshirikishwa na izzo bizness ya Mr Xmas
Ni halali jamaa akimbilie marekani maana ni noma Kuna watu wamechanwa humo na hawaelew kama wamechanwa...
Namuona sana,anatrend mitandaoni si Tiktok, Facebook Instagram hadi Twitter kwa video zake. Kuna Moja hiyo ameiwekea caption ya "ZA KICHWA". Nyie hii dunia...
THE KENYAN TRIO I GIVE MY DUE RESPECT (CURRENTLY)
Natamani sana kusikia kolabo inayobeba vichwa hivi vitatu ninavyovisikiliza zaidi kutoka KE kwa sasa.
Nimekuwa nikimwelewa Shinski toka enzi za...
Wakuu kwema? Naombeni leo wajuzi mnijuze hawa jamaa wana siri gani? Kiwango chao cha uimbaji ni extraordinary. Nimesikiliza sauti hizi mpaka nikafumba macho kwa utamu.
Nini siri ya hawa jamaa...
Wadau na hizi sikukuu ingependeza tungepata nyimbo zenye vibe wakati wa kupata moja moto moja baridi, si unajua pombe=nyama choma=mziki=women, ni vitu vinavyoendana. Mimi nitatupia baadhi
Pesa Mr...
Salaam kwenu.
Naulizia hiyo movie hapo juu kwa mwenye direct link au hata torrent ambayo sio CAMRip au WebCam iwe HD naomba anijuze please.
Natanguliza shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.