Wapenzi wa Candy Crush Saga tukutane hapa

Wapenzi wa Candy Crush Saga tukutane hapa

Zeroiez

Senior Member
Joined
May 2, 2013
Posts
181
Reaction score
201
Ni level gani ilikutesa mpaka ukafikia hatua ya kutaka kuifuta hii game?
3943ad79b1a638b04555b9da3e964cfe.jpg
 
Kwanza hii gemu wakati ndio inaanza sikuielewa coz nilikuwa natumiwa sana fesbuku ila ilikuwa kama kirusi ilinipa shida sana mpk Leo naichukia
 
Kwanza hii gemu wakati ndio inaanza sikuielewa coz nilikuwa natumiwa sana fesbuku ila ilikuwa kama kirusi ilinipa shida sana mpk Leo naichukia
Pole sana mkuu... Ina utamu wake tena sana hasa ukiilewa
 
Ingia playstore kisha download then connect na fb yako
 
Pole sana mkuu... Ina utamu wake tena sana hasa ukiilewa
Hilo game niliachana nalo mana lilikuwa linanipotezea muda kichizi. Nilikuwa kama teja. Nashkuru nilifanikiwa kusema na moyo wangu nikali unstall
 
Hilo game niliachana nalo mana lilikuwa linanipotezea muda kichizi. Nilikuwa kama teja. Nashkuru nilifanikiwa kusema na moyo wangu nikali unstall
Mimi nimekuwa chid benz kwenye hii game....lol
 
Uwiiiiiiiii mimi hata level 100 sikufika na nikaifuta.
Siku hizi hata muda wa kucheza game sina [emoji13]
Ukii download upya utaendelea palepale ulipoishia mwanzo kama ulikua ukicheza "online"
 
Nimefika level fulan nimeshindwa kutusua nikaamua kilifuta
 
Back
Top Bottom