USIFE HARAKA MPENZI WANGU
HANA haraka anapotembea, ukimtazama anaonekana kujiamini sana. Tabasamu mwanana linaupamba uso wake, lakini mavazi yake yanaonesha asivyo mtu wa dhiki! Hata kama siyo...
UTANGULIZI
Berlin, Ujerumani
SONJA VERBRUGGE HAKUWA anafahamu kwamba leo ingelikuwa ni siku yake ya mwisho kuishi duniani. Alikuwa anatembea kwa taabu kuwapita watalii waliokuwa wamefurika kwenye...
20 years ago today, Beyoncé released her debut solo single ‘Crazy In Love’ featuring Jay-Z.
The Grammy-winning classic reached #1 on the Billboard Hot 100 and remained atop for 8 weeks. It was...
Simulizi hii ilitolewa humu ndani kwa sababu nilisema kwamba nataka kuitolea kitabu hivyo nikaisitisha lakini watu wakaomba thread ifutwe hivyo mods wakaitoa.
Kuna watu ambao wamenicheki pm na...
Hello wana JF,
Nawaletea baadhi ya movies/series ambazo si za kutazama na watoto 🔞 yaani ni movie ambazo hazifai kutazama hata na wazazi wako, zingine haifai kutazama hata na wana 🤣🤣🤣msije...
Mimi Ni mpenzi mkubwa Sana WA muvi za mapenzi..zipo nyingi nzuri..but ninazo zipenda Sana Ni The Notebook,a walk to remember,dear John..40 and the first date..just go with it.shrek...
Nimeandaa uzi huu hususani kukumbushana juu ya asili yetu wanadamu. Maana mbali na uwepo wetu hapa duniani lazima kuna UKUU/UFALME ambao ndio unatuongoza ktk maisha yetu ya kila siku kwa misingi...
Mgaga wa kienyeji aliishi kanisani, alitumika kanisani.
Akajificha humo.
Sijui ni kitu gani alikuwa anakifikiria.
Sijui kwanini aliamua kutokukaa kwenye makazi yake kama mganga.
Na kwanini...
Nimejiridhisha na kwa mafanikio hizi ndo nyimbo Tani Kali zaidi za amapiano kuwahi kutengenezwa Tanzania
1. Single Again - Harmonize
2. Mama Amina - Mario
3. Ticha- Harmonize
4. Shetani -...
Binadamu tunatofautiana sense of humour meaning kitu kinaweza kuwa funny Kwa mtu mmoja kikawa cha kawaida kwa mwingine.
Lakini mawazo yawengi huwa mara nyingi yanakaribia ukweli.
Kwangu Mimi best...
Kendrick Lamar yupo wapi? Lilikuwa swali la muda mrefu kwa wapenda Hip Hop Duniani kote!
Wengine labda walichoshwa na rap hizi za kina Lil Pump, Tekashi69.
Baada ya kimya kirefu, Kendrick Lamar...
Nakumbuka ilikuwa mwaka mwezi wa saba nikazini na mdada mmoja hivi ilikua usiku kucha basi bhana kuna muda tulicheza show lkn wazungu hawakutoki demu akasema toa condom nikagoma wote tulikuwa...
Habari wanajamii forums,
Mimi ni kijana ninayependa masuala ya utangazaji, na kutokana na nafasi iliyotangazwa na wasafi media ya mashindano ya kutafuta watu wenye kipaji cha utangazaji, nikaona...
Episode 01
Ulikua usiku mzuri ambapo kulikua na mawingu angani yaliyochangia kuleta ubaridi. Nilivaa sweta swetu zito lililonikinga na baridi ile, tayari ilikua saa tatu na dakika kumi siku ya...
WATOTO WASIOZALIWA
1. LETTER TO MY UNBORN CHILD - 2 PAC
Pac anamwandikia barua mtoto wake ambaye bado yupo tumboni mwa mama yake na KUMWAMBIA UKWELI kuhusu dunia hii.
Mistari ambayo inanigusa...
Msanii huyo kutoka #Nigeria, ameendelea kuweka rekodi Kimataifa kupitia ngoma hiyo aliyomshirikisha #SelenaGomez akikaa kileleni kwa wiki 27 katika wiki 50. Kati ya ngoma 50, hakuna msanii yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.