NAKONDA SABABU WEWE.
Kwanini nijiadhibu, kama kweli sikupendi
Nikavumilia tabu, kwako imenasa gundi
Kukuacha najaribu, moyo wangu siushindi
Huku kukonda nakonda, Ila sababu ni wewe.
Kila unacho...
• Ace hood-hustle
Mama need house,
Babe need some shoes
Hustle, hustle hard!.. hustle, hustle hard!
Hakaika kila niisikiapo nyimbo hii ni lines hizo ambazo naweza kuziimba kwa sauti ya juu...
Tuzo zinazotolewa muda huu kupitia UTV wapo live mgeni rasmi ni Mh, waziri balozi Pindi Chana.
====
Wasanii waliochaguliwa kuwania Tuzo ya Mwanamuziki Bora wa Hiphop
Kalajeremiah
Bill_nass...
Wakuu,
Nafatilia tuzo za Muziki Tz ,aisee kinachoendelea hazina Radha kabisa.
Zinarushwa kupitia king'amuzi Cha Azam, sinema zetuaaa
#nashauri,warejee nyuma zilivyokuwa.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Tuzo za Muziki Tanzania zinatolewa kwa ajili ya wanamuziki mahiri na sio maarufu.
Mhe. Chana amesema hayo katika Usiku...
Makaburi yamezika ndoto nyingi, ndio! wala sina uwezo kulikataa hilo ila tu ninalo la kuongezea kwenye hilo. Kama ilivyo kwa makaburi pia mapenzi nayo yamechangia sehemu nyingine kubwa ya kuzika...
Malkia wa Muziki wa #BongoFleva kutoka Label ya WCBWasafi, Zuhura Othman Soud, 'Zuchu' ameng’ara kwa kushinda Tuzo nyingi zaidi katika Tuzo za Muziki Tanzania TMA2022 zilizotolewa Usiku wa Aprili...
Msanii wa Muziki wa Asili Elizabeth Malinganya ndiye ambaye ameibuka kinara kwemye kinyang’anyiro cha Tuzo ya Msanii Bora wa Kike Muziki wa Asili.
Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kike wa...
Hello fellas!
Baada ya safari ya Simba Sc kuishia mbele ya Wydad wamekuja watu wengi ambao hawaufahamu mpira vizuri au labda ni mashabiki nyanya ambao wanaitusi Simba na kuimwagia lawama.
Jambo...
Moja
KIJIJI cha Tung’aine kinapatikana mkoani Mara katika wilaya ya Tarime mpakani kabisa na nchi jirani ya Kenya. Huko unapatikana mto mkubwa unaojulikana kama mto mesani. Ni katika bonde kubwa...
Nyota wa Bongo Flava kutoka Tanzania, #DiamondPlatnumz ameendelea kushikilia rekodi ya kuwa msanii wa Afrika ambaye kazi zake zinatiririshwa (Streamed) zaidi kupitia YouTube akiwa na 'Streams'...
WAVULANA JILINDENI NA MABINTI JICHUNGENI
(Epsode 01)
Kijana aliyesoma miaka 17 kutoka shule ya msingi mpaka chuo kikuu bila kuwahi kutongoza mabinti, kuzini na mabinti wala kujichua aandika...
Namsikia Maulid Kitenge akiejea Wasafi FM akiwa na Gerald Hando.
Nadhani mtakumbuka kilichompata Hando pale hivi karibuni. Maulid kaanza na upembuzi wa magazeti lakini leo kaingia kwenye upembuzi...
Database of Movie Dialogs
You Only Live Twice (1967) | It's a movie | Find on IMDB
Full transcript in English languagePermalink here (line 1)
Calling Cape Com. Cape Com?
This...
Kama haujaiona hii Movie nashauri iangalie ni movie moja Nzuri sana (Good Story; Good Actions; and a Bit Emotional) kwa kuogopa kutoa Spoilers ngoja nikupe Theme Song yake kama Dondoo...
Siku chache baada ya kuachia ngoma mpya ya “Red Ruby Da Sleeze”, Rapa huyo kutoka Marekani ameweka wazi ujio wa Label kupitia #QueenRadio inayoruka kupitia Amazon Amp.
Amesema Lable hiyo itakuwa...
Twende kazi,
Songea Ilikuwa mwaka 2011 majira ya saa Tisa mchana nikiwa na rafiki yangu mudy watoto wa wanajeshi tukiwa tunatoka tution....tution tulikuwa tunasoma mtaa wa pili kutoka mtaa wa...
Wakuu kwema natafta movie Kali za kijasusi , ikiwezekana wazee wa black market wawemo , drug dealer , kusalitiana na kugeukana , bila kusahau kuwe na vyuma ( risasi) za kutosha , movie ziwe...
Ilikuwa tarehe 25 mwezi wa 5 mwaka 2012 safari yangu ya kwanza kwenda South Africa, nikiambatana na dadaangu ni Mdogo kwangu tukielekea kwa madiba, tena ikiwa yeye dadaangu ndo mwenyweji wangu uko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.